Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

Wacha maongezi nonsense, huwezi kumtetemesha balozi wa USA hata nukta. Mna kitu gani cha kumtisha USA nyinyi?

Fanyeni sasa upuuzi wenu muone cha mtema kuni

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani alitetemeshwa ama alijitetemesha yeye na ujumbe wake, jiongeze angalau hata kidogo. Tafuta ujue hata habari za Daudi na Goliati. Kukabiliana na janga la corona, JPM kawa Daudi na Trump kwa Goliati.
 
Heri umekuwa muungwana. Je tuhuma hukuzisikia kupitia Musiba?
Sio za kweli, huyo musiba anajipendekeza huko ccm baada ya kushindwa kura za maoni,
Tundu lissu hasapoti ushoga hata kidogo
Na hata serikali haiungi mkono ushoga japo ilisema msimamo wa makonda juu ya kupambana na ushoga sio msimano wa wizara.
Lissu anapigania utawala wa sheria, utawala bora,haki za binadamu,maisha bora halisia.
 
Jina lako tu unatakiwa ushitakiwe hukohuko marekani
MATAGA msidhani haya mambo yako gizani. Dunia nzima inayaona - tumieni walau hata asilimia 25% tu ya ubongo ili mpone na kiama ya dunia inayowajia

Haya endeleeni tu lakini msijelalamika hatukuwaambia yakiwakuteni ya kuwakuteni!


 
N

Ndugu yangu ni angalau wao wana demokrasia inayoonekana hata wanawezajivunia mbele ya macho ya dunia sio sisi! Tangu zoezi la kutafta wadhamini lilipoanza matendo na hatua zilizochuliwa na serikali na vikundi vya wahuni ni kielelezo tosha kuwa demokrasia yetu ina shida! Mifano ni kama vile:

1.Kuviba vyombo vya habari midomo visitangaze habari za wapinzani, haya mabo ya kutakiwa kuomba vibali kwanini yaanze leo wakati Tundu Lissu kaanza kufanya mahojiano?? Hivi ni leo ndio tumeanza kusikiliza redio za nje kama BBC, Aljazeera , VoA na nyinginezo?

2.Kuchomwa moto ofisi za CHADEMA mkoani Arusha katika mkesha wa kumpokea Mgombea urais wa CHADEMA, Je kwanini tukio lile lifanywe leo wakati akielekea huko na si siku nyingine zote za nyuma? Je lina lengo la kumpa picha gani yeye na wanachama na wananchi wengine?

3.Kushambuliwa vibaya kwa msafara wa mgombea uraisi wa CHADEMA wilayani Hai na kuharibu hovyo magari yanayotumiwa na chama kwenye shuguli hiyo, Je haya yote yanapangwa na kutekelezwa ili iweje?

4.Hivi leo baada ya kupeleka taarifa mkoani Mbeya kuhusu ujio wa Mgombea urais wa CHADEMA, tayari kumetolewa ruling kwamba kila gari linalojishugulisha na matangazo lazkima lisajiliwe! Je kwanini haya yote yanafanyika baada ya kusikia ujio wa Tundu Lissu je lengo ni lipi?

CCM ilishasema uchaguzi huu ni mwepesi kuliko chaguzi zote zilizopita, sasa mahangaiko yote haya ni ya kazi gani?

Kwa hakika yanayoendelea kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020, unyanyasaji wa misafara ya Upinzani na uminyaji wa kutaka Media za nje na ndani ku- report habari za Uchaguzi hayavumuliki,.....!! Is high time Jumuia ya Kimataifa ikaiangalia Tanzania kwa. Jicho la 3.....!!!
Kuna ulazima wa Tanzania kuwekewa VIKWAZO VYA KIUCHUMI Kama Zimbabwe ya the late Mugabe!!!!
 
Tumia akili na ujiulize kwann wanatumia muda kuangaika na mambo haya. Na kwa kawaida Tl sio kuwa alitakiwa awe anahojiwa juu ya shambulio lake? Kwann hili halifanyiki badala yake mkuu anasema bado wanapata tatizo kumpata? Kuna jambo linaendelea, huu si wakati wa kubeza, tutumie akili.
Kwa hiyo kila anayetumia akili lazima awaze Kama wewe? Kwa nini kuwa mbinafsi kiasi hiki na kujiona wewe tuu ndo mwenye haki ya kutoa maoni?
 
Kuna mda mluwahi mfananisha na kwenu
USA linaendelea kuwa taifa kubwa na la hovyo sana dunia, kila siku kutoa matamko ya siyo kuwa na kichwa wala miguu.

Walionya na kutoa tamko la kuhusu corona kiko wapi? Watuache nani huwa anaingila mambo yao wao ya ndani? Ukitaka kujua USA wakati mwengine ni wajinga angalia aina ya rais waliye naye wakati huu.
 
Kwa hiyo kila anayetumia akili lazima awaze Kama wewe? Kwa nini kuwa mbinafsi kiasi hiki na kujiona wewe tuu ndo mwenye haki ya kutoa maoni?
Naona neno tumia akili ndo limekuwa tatizo.
 
Tunamulikwa kwa taa yenye mwanga mkali mno. Tulistulia kwa Makonda kufungiwa kwenda USA tukatia kejeli sasa tena tunakumbushwa.
CCM mtashinda uchaguzi huu bila shaka yoyote, ondoeni mikono yenu kwenye vyombo vya dola ili tuwasaidie kushangilia ushindi na kuwazomea walioshindwa.

Hapa unajificha. Nenda katoe hoja yako mbofu mbofu insta. Hivi kweli Serikali ndo ipige kibomu ofisi za CHadema Arusha. Kipindi hiki cha kutafuta Kiki. Hata kama umerogwa Basi rogeka vizuri
 
MATAGA msidhani haya mambo yako gizani. Dunia nzima inayaona - tumieni walau hata asilimia 25% tu ya ubongo ili mpone na kiama ya dunia inayowajia

Haya endeleeni tu lakini msijelalamika hatukuwaambia yakiwakuteni ya kuwakuteni!



Mpuuzi tu ndio anayeweza kuamini sinema za Chadema! Na mabwana zao wameshaanza kuwakingia kifua!? Haijarishi watasema Nini...Tz ni yetu sisibwenyewe na tuisbdesha kwa kufuata katiba yetu wenyewe! USA wa'addr3ss' issue zao juu ya mauaji ya weusi mikononi mwa polisi kwanza easier na vihelehele vya kushadadia maigizo na kuyapotezea Mambo halisi yaliyopo kwao!
 
Wapambane na uchaguzi wao kule.

MATAGA msidhani haya mambo yako gizani. Dunia nzima inayaona - tumieni walau hata asilimia 25% tu ya ubongo ili mpone na kiama ya dunia inayowajia

Haya endeleeni tu lakini msijelalamika hatukuwaambia yakiwakuteni ya kuwakuteni!


 
Hivi ni lini AFRIKA tutajitawala wenyewe na kubaki na maamuzi yetu sisi, USA wana moral authority gani kutupangia masuala ya ndani huwa nasikitika sana kuona mTZ anashangilia haya matamshi ya USA afu wakati huo huo anadai SERIKALI haifuati DEMOKRASIA NA UTAWALA BORA, matatizo yetu sisi waafrika tutatatua sisi wenyewe
 
Mpuuzi tu ndio anayeweza kuamini sinema za Chadema! Na mabwana zao wameshaanza kuwakingia kifua!? Haijarishi watasema Nini...Tz ni yetu sisibwenyewe na tuisbdesha kwa kufuata katiba yetu wenyewe! USA wa'addr3ss' issue zao juu ya mauaji ya weusi mikononi mwa polisi kwanza easier na vihelehele vya kushadadia maigizo na kuyapotezea Mambo halisi yaliyopo kwao!
Lissu kawashika MATAGA kunako....
 
US walikuwa na mizengwe hivyo hivyo hata wakati ule walipomfurusha kuzimu dictator Gaddafi.

wakiamua kumfurusha mtu wao hufurusha tu, hata akikimbilia pangoni!
Pia kumbuka msemo wao, “ We don’t have permanent friends but permanent interests”. Kigezo kwao ni maslahi yao yanapoguswa sio kuja kutupa burudani ya roho akina sisi.
 
Hapa unajificha. Nenda katoe hoja yako mbofu mbofu insta. Hivi kweli Serikali ndo ipige kibomu ofisi za CHadema Arusha. Kipindi hiki cha kutafuta Kiki. Hata kama umerogwa Basi rogeka vizuri
Ni wapi nimezungumzia kuhusu kupigwa bomu jengo la Chadema?Je unajua watu wanaoitwa "rogue elements?".Je ulishawahi kusikia askari Polisi aliyeshiriki wizi bila idhini ya IGP?Kama unayajua hayo hutashangaa serikali kuhusishwa na vitu kama hivyo na ndipo ambapo serikali inatakiwa itoke hadharani na kujitenga kama ilivyofanya kwa kutekwa Mo Dewji ambapo kuna mtu ameshatakiwa mahakamani.Simple and clear!!!
 
Back
Top Bottom