Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

USA linaendelea kuwa taifa kubwa na la hovyo sana dunia, kila siku kutoa matamko ya siyo kuwa na kichwa wala miguu.

Walionya na kutoa tamko la kuhusu corona kiko wapi? Watuache nani huwa anaingila mambo yao wao ya ndani? Ukitaka kujua USA wakati mwengine ni wajinga angalia aina ya rais waliye naye wakati huu.
Utaishia kulalamika tu nyuma ya keyboard, inawabidi muheshimu utawala bora na sasa hivi mkubali kushindwa tu na mkishinda basi mshinde kwa halali.

Mkiingiza wizi basi jiandaeni kufundishwa kuruka kichura chura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Just the next day rubbish! All those bombings, drones, and the immemorable Hiroshima and Nagasaki incinerations! Ever said anything about slavery? Now masquerading, police-like to foresee over these useless politicians. That is too low for a Senator.

Anyhow, we now know the political ignorance of these scientifically developed nations. Let them use Trump dote to firstly disinfect their brains.
habari ndiyo hiyo, comrade!

the Americans are watching...
 
Angia kuanza kutafuta wadhamini kwa Wagombea Urais wapi imetumika nguvu mkuu. Au ndiyo mabeberu wanataka kutimiza adhima yao waliyokubaliana na kibalaka wao ya kuhakikisha amani inavurugika Tanzania.

Huyo anawatukana viongozi wa serikali atakavyo wapi amezuia kutoa hizo lugha zake za kifedhuri
Safari hii muguseni Lissu mkione cha mtema kuni. Mkifanya Fyoko Fyoko mnatandikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USA linaendelea kuwa taifa kubwa na la hovyo sana dunia, kila siku kutoa matamko ya siyo kuwa na kichwa wala miguu.

Walionya na kutoa tamko la kuhusu corona kiko wapi? Watuache nani huwa anaingila mambo yao wao ya ndani? Ukitaka kujua USA wakati mwengine ni wajinga angalia aina ya rais waliye naye wakati huu.
Ukishajua tuu kua unavaa mitumba yao wewe na familia yako,pia bajeti 80% inategemea wafadhamili,utajikuta zuzu
 
Acha kuwakoromea USA,hao ndyo wanao-finance hata budget ya Serikali...kumbuka wao ndyo wanao finance Projects mbalimbali kama Malaria (Pamverc),afya,ulinzi,elimu na miundombinu kwa kifupi hawa ndyo source ya maendeleo kwa Tanzania na Dunia kwa ujumla!

Watu waligawiwa vyandarua bure mpaka wakafugia kuku na kuvitumia katika kilimo cha mchicha/mbogamboga. Walibadilishana na makanikia. Butter trade ya vyandarua na mchanga.
 
USA linaendelea kuwa taifa kubwa na la hovyo sana dunia, kila siku kutoa matamko ya siyo kuwa na kichwa wala miguu.

Walionya na kutoa tamko la kuhusu corona kiko wapi? Watuache nani huwa anaingila mambo yao wao ya ndani? Ukitaka kujua USA wakati mwengine ni wajinga angalia aina ya rais waliye naye wakati huu.
Ila mnapokwenda kutembeza bakuri hawawaingikia Mambo yenu ?Mapimbi ya kijani kibichi yanavhekesha Sana
 
Kwa hiyo ze hegi inaweza muhisu mtu kama damu ikimwagika
Kwajinsi chama Cha CCM , kilivyozamilia kuvuruga uchaguzi wa mwaka huu , bila ya shaka mwaka huu tunaandika historia ya watanzania kupelekwa the Hague , sure I tell .
 
Tena naomba marekani satellite zao zote zielekezwe Tanzania Kuna waharifu , wamejipanga kumwaga damu ili wasalie madarakani.
 
Utaishia kulalamika tu nyuma ya keyboard, inawabidi muheshimu utawala bora na sasa hivi mkubali kushindwa tu na mkishinda basi mshinde kwa halali.

Mkiingiza wizi basi jiandaeni kufundishwa kuruka kichura chura

Sent using Jamii Forums mobile app

Balozi wao juzi kati kaufyata alienda ikulu kavaa barakoa. Kumuona JPM hajavaa akavua ya kwake na kuiweka kwenye mfuko wa koti lake. Wakati wakupiga picha akawaamuru wale aliongozanao wavue zao. Wakatii bila kuuliza, hapa mnadanganya USA hakuna kuingilia uhuru wa mtu.
 
Balozi wao juzi kati kaufyata alienda ikulu kavaa barakoa. Kumuona JPM hajavaa akavua ya kwake na kuiweka kwenye mfuko wa koti lake. Wakati wakupiga picha akawaamuru wale aliongozanao wavue zao. Wakatii bila kuuliza, hapa mnadanganya USA hakuna kuingilia uhuru wa mtu.
Wacha maongezi nonsense, huwezi kumtetemesha balozi wa USA hata nukta. Mna kitu gani cha kumtisha USA nyinyi?

Fanyeni sasa upuuzi wenu muone cha mtema kuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishajua tuu kua unavaa mitumba yao wewe na familia yako,pia bajeti 80% inategemea wafadhamili,utajikuta zuzu

Nyie ndio wenye zile akili za mtu mweupe yeyote ni mzungu mhindi au mwarabu/mburushi. Akili za mbarali na mwakaleli.
 
Back
Top Bottom