Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

Limbukeni wewe unafikiri kuongoza nchi ni zile English clubs za sekondari? Huu ni utumwa wa fikra na ustaarabu . Ndio maana mpiga zumari Lissu moja ya agenda zake ni mdahalo.

Muulizeni Lissu anayekejeli kila anapopita maendeleo ya miundo msingi yaliyoletwa na serikali za CCM. Anaenda mbali kusema madaraja, vivuko, meli, Umeme, Viwanda, mabarabara, Reli, tereni, bwawa la kuzalisha umeme , etc viwapigie ccm na wagombea wao kura. Na eti watanzania wale hiyo miundo mbinu, kejeli na dharau zinazo payukwa na mtu aliyekosa maadili kiwango cha SGR.

Na mimi na muuliza Lissu na wewe mlamba miguu yake, watanzania watakula hicho kiingilishi chake au atapigiwa kura na midahalo?
Ukifanya/ukipora KAZI isiyokuwa ya kwako, bali KAZI ya wadau wengine ambao hawajashindwa kuifanya, usisubiri kusifiwa na wale wale uliopora kazi/majukumu yao.

Unataka waelewa wa uchumi wakusifie kwa kupora na kufanya KAZI za sekta binafsi wakati kilichofanyika hakitadumu? Si unaona kinachoendelea usafiri wa mwendokasi, the other white elephants are in the offing. Subiri kidogo.
 
I guess you are a very good brainwashed candidate! Yaani uwezo wa mtu kuongoza unaupima kwa mtu huyo kujua kuongea kiingereza! Mungu tunusuru na dhahama hii!
Kiongozi bila kuwa na skills za communication!
The guy has no leadership qualities but he just a nyapala, period!
 
Ukifanya KAZI isiyokuwa ya kwako, bali KAZI ya wadau wengine ambao hawakushindwa, usisubiri kudidiwa na wale wale uliopora kazi/majukumu yao.
Unataka waelewa wa uchumi wakusifie kwa kupora na kufanya KAZI za sekta binafsi wakati kilichofanyika hakitadumu? Si unaona kinachoendelea usafiri wa mwendokasi, the other white elephants are in the offing. Subiri kidogo.

Acha ujinga wewe ulitegemea mwendokazi ifanikiwe kwa mazongezonge yake. Acha nisiendelee wenye kunielewa wamenielewa. Mbona huulizi na uda za familia unaziona?
 
Acha ujinga wewe ulitegemea mwendokazi ifanikiwe kwa mazongezonge yake. Acha nisiendelee wenye kunielewa wamenielewa. Mbona huulizi na uda za familia unaziona?
Mwendokasi inaendeshwa na serikali. Hivyo ndivyo itakavyokuwa wa SGR and the like. Serikali ya Magufuli inarudia kufanya majaribio ya kilichofanyika na kushindikana miaka 50 iliyopita (1970s)! Nchi iendelee bila kuwa na private setor in its real sense!? No way!
Anayeamini kuwa tutafika popote bila kuwa na a vibrant private sector anapoteza muda. Ni Serikali ya Magufuli hiyo.
 
Kiongozi bila kuwa na skills za communication!
The guy has no leadership qualities but he just a nyapala, period!
How are communication skills equated to the somebody's ability to speak 'kiingereza' only?
 
MATAGA msidhani haya mambo yako gizani. Dunia nzima inayaona - tumieni walau hata asilimia 25% tu ya ubongo ili mpone na kiama ya dunia inayowajia

Haya endeleeni tu lakini msijelalamika hatukuwaambia yakiwakuteni ya kuwakuteni!



Wakanye mbele huko
 
Tunamulikwa kwa taa yenye mwanga mkali mno. Tulistulia kwa Makonda kufungiwa kwenda USA tukatia kejeli sasa tena tunakumbushwa.
CCM mtashinda uchaguzi huu bila shaka yoyote, ondoeni mikono yenu kwenye vyombo vya dola ili tuwasaidie kushangilia ushindi na kuwazomea walioshindwa.
Wangewakumbusha polisi wa Marekani kuhusu mauaji na ukiukwaji wa haki za binaadamu wanaofanya dhidi ya Wamerikani weusi, kwani uhai wa binaadamu una thamani kubwa kuliko kijumba cha Arusha.
 
MATAGA msidhani haya mambo yako gizani. Dunia nzima inayaona - tumieni walau hata asilimia 25% tu ya ubongo ili mpone na kiama ya dunia inayowajia

Haya endeleeni tu lakini msijelalamika hatukuwaambia yakiwakuteni ya kuwakuteni!


Hao mabwana zenu nani aliwahi kuingilia uchaguzi wao?? Mbona Bush mwenyewe alipitishwa kwa figisu!! watuache sisi ni nchi huru, na hatujaomba hela za uchaguzi wasitufokee. Na wao sio wapiga kura huku kwetu, wanawashwawashwa na nini hasa?? au wanataka shoga yao ndio ashinde!?? wamefeli na hawatufanyi lolote
 
Hao mabwana zenu nani aliwahi kuingilia uchaguzi wao?? Mbona Bush mwenyewe alipitishwa kwa figisu!! watuache sisi ni nchi huru, na hatujaomba hela za uchaguzi wasitufokee. Na wao sio wapiga kura huku kwetu, wanawashwawashwa na nini hasa?? au wanataka shoga yao ndio ashinde!?? wamefeli na hawatufanyi lolote
nakumbuka wakati ule hata wapambe wa Gaddafi walikuwa wakisema hivi hivi yaani!
 
nakumbuka wakati ule hata wapambe wa Gaddafi walikuwa wakisema hivi hivi yaani!
Kwa hiyo unafurahia kinachoendelea Libya hivi sasa sio?? Kwa hiyo ndio Kazi aliyotumwa Shoga mwenzao kuja kuifanya huku?? watanzania sio wajinga kama unavyodhani, Lissu amekaa nje muda mrefu na ameandaliwa na mabeberu wakiamini eti atashinda, sasa hashindi na damu haitamwagika, labda ya Mbuzi na kondoo siku ya sherehe, waambie waume zenu
 
Kwa hiyo unafurahia kinachoendelea Libya hivi sasa sio?? Kwa hiyo ndio Kazi aliyotumwa Shoga mwenzao kuja kuifanya huku?? watanzania sio wajinga kama unavyodhani, Lissu amekaa nje muda mrefu na ameandaliwa na mabeberu wakiamini eti atashinda, sasa hashindi na damu haitamwagika, labda ya Mbuzi na kondoo siku ya sherehe, waambie waume zenu
waambieni MATAGA watende haki kwa wote ili tusifike Libya ilipofika.... as simple as that!
 
waambieni MATAGA watende haki kwa wote ili tusifike Libya ilipofika.... as simple as that!
we nani mpaka udhani una uwezo wa kuifikisha nchi Libya? Lissu hawezi kuwa Rais wa nchi hii, hebu weka sawa mindset yako na usije ukadhani eti kaibiwa kura, hell no! watanzania hawana utaratibu wa kuchagua Rais kichaa na mlemavu mwenye hasira ambazo hajui wa kumshushia, ndio eti umfanye awe amirijeshi wa nchi!! si kuna siku akiamka na mahasira utakuta mizinga inaripuliwa kwa kila anayemuhisi alimuumiza!! weka vizuri kichwa dogo, hatuwezi kuchagua chizi
 
we nani mpaka udhani una uwezo wa kuifikisha nchi Libya? Lissu hawezi kuwa Rais wa nchi hii, hebu weka sawa mindset yako na usije ukadhani eti kaibiwa kura, hell no! watanzania hawana utaratibu wa kuchagua Rais kichaa na mlemavu mwenye hasira ambazo hajui wa kumshushia, ndio eti umfanye awe amirijeshi wa nchi!! si kuna siku akiamka na mahasira utakuta mizinga inaripuliwa kwa kila anayemuhisi alimuumiza!! weka vizuri kichwa dogo, hatuwezi kuchagua chizi
wapambe wa ghadafi walimdanganyaga ghadafi hivi hivi. mwisho wa siku ghadafi alikimbilia shimoni na wakuda wakamfukua huko kama fuko.

cha msingi ni kutenda haki sawa vinginevyo NO WAY. Dunia ni kijiji.
 
USA wakafie mbele.
Mbona Trump anawatisha wamarekani kila siku hadi kutangaza kutumia jeshi dhidi ya raia wake kitu ambacho ni kinyume cha sheria na taratibu za Katiba ya USA.

USA na serikali ya Trump kwa sasa ni vilaza tu kama vilaza wengine.
 
Hapa unajificha. Nenda katoe hoja yako mbofu mbofu insta. Hivi kweli Serikali ndo ipige kibomu ofisi za CHadema Arusha. Kipindi hiki cha kutafuta Kiki. Hata kama umerogwa Basi rogeka vizuri
Kuna ujinga mwingi sana unao endelea humu hadi inashangaza mkuu.
Pata muda pitia tu comments kutoka mwanzo hadi hapa utashangaa sana sijui tuna watanzania wa aina gani wanashangaza sana.
 
USA wakafie mbele.
Mbona Trump anawatisha wamarekani kila siku hadi kutangaza kutumia jeshi dhidi ya raia wake kitu ambacho ni kinyume cha sheria na taratibu za Katiba ya USA.

USA na serikali ya Trump kwa sasa ni vilaza tu kama vilaza wengine.
huon anapingwa kila kona na wamarekani? ulishasikia kuna wasiojulikana huko USA? Umeshasikia kuna mmarekan kaharibiwa biashara yake au kafukuzwa kazi kisa kampinga au kamkosoa TRUMP?
 
Hivi ni lini AFRIKA tutajitawala wenyewe na kubaki na maamuzi yetu sisi, USA wana moral authority gani kutupangia masuala ya ndani huwa nasikitika sana kuona mTZ anashangilia haya matamshi ya USA afu wakati huo huo anadai SERIKALI haifuati DEMOKRASIA NA UTAWALA BORA, matatizo yetu sisi waafrika tutatatua sisi wenyewe
Bado wanatuona Africa Kama colony lao tu. Wanaamini kuwa wao ndio jamii pekee yenye haki ya kumtawala mtu mweusi popote pale duniani. Wanaamini kuwa sisi ni watu tulio achwa na Mungu, wanaamini sikuzote Africa ni sehemu ya kuja kuchota maji na shamba la kukusanya kuni kwaajili ya matumizi yao na sivinginevyo.

Kwakutumia mwamvuli wa kupigania haki wanatutumia sisi waafrica wenyewe kuziharibu nchi zetu wenyewe pale tu zinapokataa kutumiwa Kama shamba la kukusanya kuni.
 
who said it?
Kwani hata hicho Kiswahili anakijua? Si unamsikia kila mara na stories zake za utani wa 'kuoa', kuolewa, kuzaa kila apatapo fursa ya kuongea kwenye mikutano ya hadhara?

Pengine hujui kwa nini wenzake tulikuwa tukimuita borer wakati tukiwa UDSM. Mtu asiyejua hata ABC za uchumi, ability to communicate, technological turn around, ataongozaje nchi ikawa na full dynamics kwenye maendeleo?

Mtu asiyejua kuwa katika uchumi wa dunia pesa huzunguka duniani kutoka nchi kwenda nchi nyingine kama tuonavyo hewa na mawingu ya mvua, baridi na joto yakizunguka, atasimamiaje maamuzi sahihi ya kitaalam ya kuongoza uchumi wa nchi?

Mtu asiyekuwa na uwezo wa kutambua kuwa competencies za wananchi ku-mobilise (kuvuta) rasilimali zailizo duniani kuingia nchini mwao ndio chanzo kikuu cha maendeleo katka nchi husika ataongoza nchi iapate maendeleo ya kijamii na kiuchumi?

Sera za Magufuli zinazuia vipaji binafsi vya wananchi ku-acquire competitiness halafu anajidanganya kuwa maendeleo yataletwa na juhudi za serikali peke yake? Nyoo!

Kama Tanzania inataka kupata maendeleo ya haraka, Magufuli hatufai baada ya miaka yake mitano ya majaribio. Ni mwoga kupindukia. Kwa kuwa yeye ni incompetent kwenye broader global engagment hataki kuwa out-smartted. Anaishia kuzui kila fursa za wananchi ambao ni smart na inakuwa hasara kwa nchi. Muulize kwa nini ameagiza BoT wasijihusishe na Cryptocurrency? Kwa nini amedhibiti biashara ya foreign exchange? Kwa nini serikali inaingilia account za wafanyabiashara na NGOs ndani ya benki, tena bila kufuata sheria, maadamu wamechungulia na kuona una pesa nyingi huko? Yeye akili yake ni kutaifisha pesa za watu tu, basi! Unafungulliwa kesi ya kubambika ya utakatishaji pesa, halafu unaletewa mkataba usaini na DPP achukue pesa yako ili wakuanchie. Nonsense Government kabisa!

Kwa nini amekataa Tanzania isipatiwe dola Bilioni moja ili kuamusha uchumi wakati huu wa uchumi wa dunia unaharibiwa na janga la corona? Unajua ameabulia nini?.....dola milioni 14 (tzs. 33B/-!) upo? Ni ujinga mkuu kudhani nchi itafanya biashara ya dunia peke yake au itanufaika na kutajirika kibiashara wakati nchi nyingine dunina kote uchumi wao umelala kutokana na janga la corona. Unajua madhara ya Serikali ya Magufuli imefanya hivyo? Kwa sasa hawana pesa! Na tutarajie serikali kufiliska mara baada ya uchaguzi iwapo utawala wa Magufuli utafanikiwa kuiba kura na kubakia madarakani.

Pengine unaweza kushangaa kuona kuwa wakati Serikali ya Tanzania inahaha kupitia kwa waajiri, kutoza wafanyakzi wa serikali na sekta binafsi kodi ya zuio (5%) kutoka kwenye posho za kujikimu (malazi, chakula na usafiri wa ndani wakati mfanyakazi akiwa nje ya kituo cha kazi) kwa kuwa Serikali haina pesa, katka kipndi hicho hicho, nchi za Kenya, Uganda, Nigeria, Ghana, Ethiopia, Egypt, Morocco, Rwanda, Afrika Kusini na kwingineko zimeingiza nchini mwao zaidi ya dola bilioni moja kwa kila nchi (isipokuwa Rwanda, Uganda na Ethiopia walioingiza dola millioni 750 kila nchi).

Huyu Ndugu anachoweza ni ku-memorize tu, basi. Na hizo (kukariri) ni tabia za walimu wa zamani.
 
Back
Top Bottom