Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

Utaishia kulalamika tu nyuma ya keyboard, inawabidi muheshimu utawala bora na sasa hivi mkubali kushindwa tu na mkishinda basi mshinde kwa halali.

Mkiingiza wizi basi jiandaeni kufundishwa kuruka kichura chura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari ndiyo hiyo, comrade!

the Americans are watching...
 
Safari hii muguseni Lissu mkione cha mtema kuni. Mkifanya Fyoko Fyoko mnatandikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishajua tuu kua unavaa mitumba yao wewe na familia yako,pia bajeti 80% inategemea wafadhamili,utajikuta zuzu
 

Watu waligawiwa vyandarua bure mpaka wakafugia kuku na kuvitumia katika kilimo cha mchicha/mbogamboga. Walibadilishana na makanikia. Butter trade ya vyandarua na mchanga.
 
Ila mnapokwenda kutembeza bakuri hawawaingikia Mambo yenu ?Mapimbi ya kijani kibichi yanavhekesha Sana
 
Kwa hiyo ze hegi inaweza muhisu mtu kama damu ikimwagika
Kwajinsi chama Cha CCM , kilivyozamilia kuvuruga uchaguzi wa mwaka huu , bila ya shaka mwaka huu tunaandika historia ya watanzania kupelekwa the Hague , sure I tell .
 
Tena naomba marekani satellite zao zote zielekezwe Tanzania Kuna waharifu , wamejipanga kumwaga damu ili wasalie madarakani.
 
Utaishia kulalamika tu nyuma ya keyboard, inawabidi muheshimu utawala bora na sasa hivi mkubali kushindwa tu na mkishinda basi mshinde kwa halali.

Mkiingiza wizi basi jiandaeni kufundishwa kuruka kichura chura

Sent using Jamii Forums mobile app

Balozi wao juzi kati kaufyata alienda ikulu kavaa barakoa. Kumuona JPM hajavaa akavua ya kwake na kuiweka kwenye mfuko wa koti lake. Wakati wakupiga picha akawaamuru wale aliongozanao wavue zao. Wakatii bila kuuliza, hapa mnadanganya USA hakuna kuingilia uhuru wa mtu.
 
Wacha maongezi nonsense, huwezi kumtetemesha balozi wa USA hata nukta. Mna kitu gani cha kumtisha USA nyinyi?

Fanyeni sasa upuuzi wenu muone cha mtema kuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishajua tuu kua unavaa mitumba yao wewe na familia yako,pia bajeti 80% inategemea wafadhamili,utajikuta zuzu

Nyie ndio wenye zile akili za mtu mweupe yeyote ni mzungu mhindi au mwarabu/mburushi. Akili za mbarali na mwakaleli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…