Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani serekali ni nini?Nilidhani ni serikali kumbe Seneta[emoji81] aendelee kula hela za Accasia[emoji1547]
Mtoa mada anatuambia tutumie 25% ya ubongo wetunyumba mchome wenyewe alafu msingizie wengine
Wazungu wakikuchukia watakuvaa tu! Tusiige ya mtu tutende Haqi na ionekane! waliwahi kumbeba mkuu wa nchi!Hakuna cha ze hegi wala ze yai.wauwaji akina Bush,Mohammed bin Salman,Museven,Nkuruvinza na Kagame n.k mpaka sasa wangekuwa the haugue...
Nahata Lisu alijipiga risasi mwenyewenyumba mchome wenyewe alafu msingizie wengine
Kwani hujui kusoma kiingereza?Amini nawaambieni TL anajua kabisa hawezi kushinda ila mabwana zake wanachotaka ni kuona vurugu za kisiasa tu Tz
sasa mpaka sasa upinzani umekandamizwa wap?
mpaka sasa hakuna ushahidi nan aliyechoma ofisi ya chadema, alafu kwanini ofisi kubwa vile washindwe kuajiri walinzi imara kama suma JKT?
waliorusha mawe ni wananchi wa kawaida tu..
Hivi naomba kuuliza ukishakuwa kijani kufikiri nako kunaisha!?Amini nawaambieni TL anajua kabisa hawezi kushinda ila mabwana zake wanachotaka ni kuona vurugu za kisiasa tu Tz
sasa mpaka sasa upinzani umekandamizwa wap?
Kwa iyo mpige watu risasi wakae kimya, mchome ofisi zao wakae kimya???Tukiwaambia ametumwa mnakasilika. Tehe
Amini nawaambieni TL anajua kabisa hawezi kushinda ila mabwana zake wanachotaka ni kuona vurugu za kisiasa tu Tz
sasa mpaka sasa upinzani umekandamizwa wap?
Media zimebanwa mpaka hapa jf, au umejitoa akiliAmini nawaambieni Tundu Lissu anajua kabisa hawezi kushinda ila wanachotaka ni kuona vurugu za kisiasa tu Tanzania.
sasa mpaka sasa upinzani umekandamizwa wap?