Tatizo la Afrika inaokoteza viongozi, wenzetu huwaandaa viongozi, thus wanaongozwa vemakabisa. tupaze sauti hadi watusikie waje kutusaidia..tumeonewa vya kutosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la Afrika inaokoteza viongozi, wenzetu huwaandaa viongozi, thus wanaongozwa vemakabisa. tupaze sauti hadi watusikie waje kutusaidia..tumeonewa vya kutosha.
Tunamulikwa kwa taa yenye mwanga mkali mno. Tulistulia kwa Makonda kufungiwa kwenda USA tukatia kejeli sasa tena tunakumbushwa.
CCM mtashinda uchaguzi huu bila shaka yoyote, ondoeni mikono yenu kwenye vyombo vya dola ili tuwasaidie kushangilia ushindi na kuwazomea walioshindwa.
MATAGA msidhani haya mambo yako gizani. Dunia nzima inayaona - tumieni walau hata asilimia 25% tu ya ubongo ili mpone na kiama ya dunia inayowajia
Haya endeleeni tu lakini msijelalamika hatukuwaambia yakiwakuteni ya kuwakuteni!
Ni kweli Amsterdam na Lissu labda na CHADEMA ndio watakwenda the Hague kwa sababu watashindwa vibaya na hawataamini kwani walikuja na matokeo yao ya kushinda kwa kuaminishwa na mabeberu wao! Sijui watamshitaki nani? Kwani kila kiongozi ni mshari wao - mara IGP, mara CDF, mara OCD's mara RAIS, mara Mwenyekiti wa NEC, mara MAHELA! Ngoja tusubiri tuone, tusiumize vichwa bure.Uchaguzi huu tu Kuna watu wataenda The Hague believe me.
Walimuweza Ghadaf WA Iraq sembuse Saddam wa Libya!. Ni suala LA muda tu.Marekani 'ihangaike' Kwanza na 'Upuuzi' wa Rais wao Trump hadi 'anadhihakiwa' na akina Michelle Obama katika DNC kisha ndiyo aje huku Kwetu.
Naona wengine mnapiga tu yowe humu ndani lakini hata hamwelewi implications ya hayo maandishi.USA linaendelea kuwa taifa kubwa na la hovyo sana dunia, kila siku kutoa matamko ya siyo kuwa na kichwa wala miguu.
Walionya na kutoa tamko la kuhusu corona kiko wapi? Watuache nani huwa anaingila mambo yao wao ya ndani? Ukitaka kujua USA wakati mwengine ni wajinga angalia aina ya rais waliye naye wakati huu.
Saddam style dictatorship that never lasted. He, at last, perished with it. Long live the rule of law, long live justice.Poleni sana na msipofuata sheria bila shurti hayo ndiyo matokeo yake.
Saddam Hussein's style of leadership like that of Comrades Patrice Lumumba and Gaddafi, to name a few, never lasted because of acts of sabotage by imperialists and its perpetrators, supporters and greedy thieves led by western countries like Belgium, France, UK and USA among many. These robbers of our riches will never stay put or keep quiet when Africans come up with ideas that aim at preventing the rooting of our riches. This is what people like Lumumba, Gaddafi and NOW RAIS MAGUFULI OF TANZANIA. Leaders of this calibre will never live long! All efforts will be done to "finish" them so as to allow these thieves of our riches to continue plundering our nations riches like diamonds, oil, natural gas and tanzanite to name a few!Saddam style dictatorship that never lasted. He, at last, perished with it. Long live the rule of law, long live justice.
Kutokana na kukurupuka kwao ndio maana wanasema ya wengine na kuacha ya kwao ya namna wanavyopanga kuiibiana kura hapo 03/11/2020 na kutukana ovyo kwenye midahalo.Pia kwa nman wanavyo wapenda CHADEMA, wangekuwa wameshaonyesha mtu aliyempiga Lissu hizo risasi 16 na ndege kama angekuwa siyo wa CHADEMA na ndiyo maana wamesaidia kumficha shahidi namba moja kwenye hili sakata wanalo livalia njuga la Lissu kupigwa hizo risasi 16 za ndege; mleteni dereva wa Lissu awaumbue. US waache mbinu za kijinga na za zamani za kutaka kutuvuruga kwa nia na lengo la kuiba mali asili na utajiri wetu. Wamarekani wamekasirika sana baada ya Serikali hii, yenye kujali na kutetea utajiri wetu ili utunufaishe sisi, kukata mirija ya unyonyaji wa makampunii yao yaliyokuwa yakiiba utajiri wetu ikiwa na kuinyonya TANESCO (Symbion!?) pamoja na makampuni yao mengine yenye hisa huko kwenye madini. IMEKULA KWAO, HAIBIWI WALA HATISHWI MTU HAPA TANZANIA.Marekani kwa Sasa wanakurupuka kwenye kutoa matamko yao. Ndio maana wenye akili tunawaona wapuuzi tuu kama wapuuzi wengine. Rejea tamko juu ya kilichoitwa Kushambuliwa na kuvunjwa vunjwa miguu kwa Mbowe.
Kama intelligence yao ilishindwa kujua kuwa Mbowe hakushambuliwa bali aliteleza tuu na kupata mshituko wa Kifundo Cha Mguu, wanatudhihirishiaje kuwa ofisi za Chadema- Arusha zimechomwa na watu wa Serikali na si Wana Chadema wenyewe Kama sehemu ya kutafuta public Attention?
MATAGA msidhani haya mambo yako gizani. Dunia nzima inayaona - tumieni walau hata asilimia 25% tu ya ubongo ili mpone na kiama ya dunia inayowajia
Haya endeleeni tu lakini msijelalamika hatukuwaambia yakiwakuteni ya kuwakuteni!
Bul#####World prefect at work
HUYU alietoa OnYo sio Serikali Mbunge Muhuni Mmoja Tu kama Halima Mdee Wa Kaweee Hatutishikiii Mbwa haoUSA linaendelea kuwa taifa kubwa na la hovyo sana dunia, kila siku kutoa matamko ya siyo kuwa na kichwa wala miguu.
Walionya na kutoa tamko la kuhusu corona kiko wapi? Watuache nani huwa anaingila mambo yao wao ya ndani? Ukitaka kujua USA wakati mwengine ni wajinga angalia aina ya rais waliye naye wakati huu.
I believe you! Kweli kuna watu watakwenda the Hague. Wanataka kwenda the Hague kama njia ya kujipandisha vyeo kutoka Mahakama za Kisutu hadi hiyo ya ICC! Hawa wamezoea mahakama hivyo wasubiri tu waende huko wakisha shindwa. Yaani CHADEMA na akina Lissu wakiongozwa na Amsterdam ndio watatangulia ICC. Wasidhani wao hiyo mahakama haiwahusu, hasa kwa maneno ya MROPOKO wanayosema.Uchaguzi huu tu Kuna watu wataenda The Hague believe me.