Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #41
Lione hili linatetea kinyesi halina hata aibu.Kila kitu CCM.Mbona hata wewe unaweza ukaandk kweny shati lako CCM.Chama hakna hatia ila watmish waliomo.
Wewe unapenda uchawa wa Ccm, raslimali za Taifa kunufaisha wachache.Watu mnapenda utumwa na kutawaliwa.
Mkuu nenda ukatumike Uarabuni, wana pesa nje nje kuliko Markani
🤣So...unataka kuhama Tena. Sasa huoni utawaonea. Coz wao tayari Wana matatizo ya uhamiaji huko...wamexico, waarabu Tena wabongo muende. Cha muhimu tujiendeleze tusitamani vya watuCcm ni laana kwa Taifa, bora tujiunge na Marekani mtu ataamuwa mwenyewe abaki jimbo la Tanzania au aende kuishi, Chicaco, DC, New York, Missouri, LA, Texas, Las Vegas au vipi, hapo chaguo ni lako maana ni nchi moja na hili sarafu la shilling libaki kwenye jumba la makumbusho pamoja na ule mwenge wa ushirikina wa kuwapumbaza Watanzania.
Sisi ndo tutakua case studykuna nchi imewahi kufanya hivi tuone kama case study ilikuwaje??
Kwani kwa sasa haupo?uunge mkono pia sera za marekani! ukubali ushoga!!
Hilo ni jambo Dogo sana, wazee wetu wa zamani walisoma middle school darasa la nne tu anaongea British English.Watufundishe kwanza English.
Hakuna anafosiwa kuwa shoga ila wanachosema kila mtu aishi atakavyo so ka wewe ni shogo ni shoga tuu iwe unavaa gauni au suruali kanzu au batikiKama unakubali lazima pia ukubali me kufanywa ke maana hiyo ndiyo haki za binadamu!! LGBT kwa kwenda mbele! Naona mashoga wa bongo wanalichangamkia sana hili wazo la kuwa jimbo la USA!!
Usichoelewa jimbo la Tanzania ndio litakuwa na maendeleo kuliko jimbo la Texas na hakutakuwa na watu wengi wa jimbo la Tanzania watakaotamani kwenda kuishi majimbo mengine kama New York na DC.🤣So...unataka kuhama Tena. Sasa huoni utawaonea. Coz wao tayari Wana matatizo ya uhamiaji huko...wamexico, waarabu Tena wabongo muende. Cha muhimu tujiendeleze tusitamani vya watu
Ccm n chama hakna mtu anayeitwa ccm!Lione hili linatetea kinyesi halina hata aibu.
Sasa Ccm kama siyo watu ni majengo?
Sasa Ccm wameshindwa kuongoza na kuachia Madaraka kwa hiyari hawataki, option rahisi ya maendeleo kwa wote ni hiyo tu, kila mtoto atakayezaliwa ni Mmarekani ataamuwa mwenyewe anaishi jimbo gani.
Hizi Ng'ombe za Ccm haziwezi Kuku elewa kwa sababu wanawaza kupoteza Madaraka na ile unanijuwa Mimi nani hakuna, na hawa Polisi wala rushwa wote hawana kazi tunatawanya Sherrif kutoka Texas waende Mbeya, Iringa, Singida na kwingineko.
Naunga mkono hojaHili ni wazo la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.
Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu kwenye US Embassy.
Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.
Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.
Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.
Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.
Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
Mkuu una hoja usikilizwe ,Sasa Ccm wameshindwa kuongoza na kuachia Madaraka kwa hiyari hawataki, option rahisi ya maendeleo kwa wote ni hiyo tu, kila mtoto atakayezaliwa ni Mmarekani ataamuwa mwenyewe anaishi jimbo gani.
Hizi Ng'ombe za Ccm haziwezi Kuku elewa kwa sababu wanawaza kupoteza Madaraka na ile unanijuwa Mimi nani hakuna, na hawa Polisi wala rushwa wote hawana kazi tunatawanya Sherrif kutoka Texas waende Mbeya, Iringa, Singida na kwingineko.
Matola kaamua kutoa ya moyoni , acha tukawe Marekani , jf raha sanaNimecheka kama mjinga, Matola hebu nenda kwenye biriani tuje kukujoin......
Kweli, kuna muda watu wanawachokeni CCM. Wewe si mmoja wao CCM?Matola kaamua kutoa ya moyoni , acha tukawe Marekani , jf raha sana
Cha ajjabu hukohuko marekani dp wapoHili ni wazo la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.
Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu kwenye US Embassy.
Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.
Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.
Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.
Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.
Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
Mi siwezi kuwa mdudu mchafu, chawa, anaye mkalia na kumtafuna mtu sehemu za sirini binadamu.Wewe unapenda uchawa wa Ccm, raslimali za Taifa kunufaisha wachache.
Kwahiyo wanakwenda Marekani wanakwenda utumwani? Mbona hamuishi kuwapiga mizinga?