Serikali ya Tanzania ifanye mazungumzo na Marekani ili tuwe jimbo lao. Hiyo ndio dawa

Serikali ya Tanzania ifanye mazungumzo na Marekani ili tuwe jimbo lao. Hiyo ndio dawa

Marekani Haiwezi kubali kuungana na Taifa la wajinga walio laanika.

Uafrika hasa utanzania ni laana.

Ndio maana kuna wale raia 66 wali ukana uraia wa Tanzania baada ya kwenda Ughaibuni kwenye binadamu wanao jielewa.

Waafrika hasa wabongo ni
"Incomplete Human beings" Bado hatuja fikia hatua ya kuitwa binadamu.

Marekani Haiwezi kubali kuungana na Incomplete Human beings.
 
Marekani Haiwezi kubali kuungana na Taifa la wajinga walio laanika.

Uafrika hasa utanzania ni laana.

Ndio maana kuna wale raia 66 wali ukana uraia wa Tanzania baada ya kwenda Ughaibuni kwenye binadamu wanao jielewa.

Waafrika hasa wabongo ni
"Incomplete Human beings" Bado hatuja fikia hatua ya kuitwa binadamu.

Marekani Haiwezi kubali kuungana na Incomplete Human beings.
Incomplete peke yako ulivyo.
Stupid.
Na pengine hata kiungo chako muhimu ni incomplete, sawa na mawazo yako incomplete.
 
Ndo fikra zako zimeishia hapo. Unawaza tu kutawaliwa... Mawazo ya mtu ambaye nchi inamtegemea,.. mwenye phd.
Mkuu watu wengi mpaka level ya PhD ni wajinga wajinga vibaya.
Wanafikiri njia fupi kupata fedha au maendeleo ni kusoma tu.
Kusoma si vibaya ila inahitajika ufanye kazi sana na kujitoa kwa kutumia elimu ili fedha ikufuate.

Hawa wenzetu siku hizi wanasoma hadi PhD ili waajiriwe!!!
Mimi nimesomea a practical science UK.
Nikarudi nchini nikaacha kazi ya kuajiriwa na nikajiajiri.
Sasa hivi naipigia mluzi pesa na inakuja.
Tanzania sihami ng'o.
 
Hili ni wazo la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.

Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu kwenye US Embassy.

Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.

Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.

Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.

Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.

Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
Naunga mkono wazo lako.
 
Haiti ipo jirani tu na US kwa nini wasiwe jimbo la US hadi waje Tz! Angalia Haiti pale Port au Prince ni aibu tu kubwa kama Waafrica
 
Kwanini isiwe Part ya UAE tukawa ufamle wa 8 wa emirate.
 
Mzee Matola alooo!

Tukija katika suala la kufananisha mfumo wa maisha katika ya Tanzania na USA je itakuwaje? Namanisha, je Wamarekani wanaishi maisha kama ya watanzania, yaani rushwa, uzembe, ubabaishaji, wizi, janja janja?

Kama Wamarekani mindset zao ni tofauti na za Watanzania, basi serikali ya USA itabidi itumie nguvu kubadilisha mindset za Watanzania zifanane na za Wamarekani, hapo ndipo utasikia kelele kila kona ya nchi kwamba mkoloni mpya kaja! Vyuma vimekaza nk.

Najua mzee Matola ulikuwa unatania!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Hili ni wazo la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.

Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu kwenye US Embassy.

Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.

Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.

Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.

Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.

Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
Huu Uhuru tunaouita Uhuru ni Upumbavu mtupu. Kuna watu wamejigeuza wakoloni na kujipa wao nguvu ya kutawala na kujipa haki zote over everything.
Walimuondoa Mkoloni ili wao wawe wakoloni.
Mkoloni alikua na nafuu sana kuliko hawa wapuuzi.
 
Huu Uhuru tunaouita Uhuru ni Upumbavu mtupu. Kuna watu wamejigeuza wakoloni na kujipa wao nguvu ya kutawala na kujipa haki zote over everything.
Walimuondoa Mkoloni ili wao wawe wakoloni.
Mkoloni alikua na nafuu sana kuliko hawa wapuuzi.
Umelijua hilo!kwa kuongezea mataifa yote duniani hayana uhuru.
 
Back
Top Bottom