Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Wewe njoo nyumbani kwangu kwanza nikufundishe kuandika vizuri.Kila kitu CCM.Mbona hata wewe unaweza ukaandk kweny shati lako CCM.Chama hakna hatia ila watmish waliomo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe njoo nyumbani kwangu kwanza nikufundishe kuandika vizuri.Kila kitu CCM.Mbona hata wewe unaweza ukaandk kweny shati lako CCM.Chama hakna hatia ila watmish waliomo.
Bora Oman au UAE kuliko US.Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
Hizo mambo marufuku 🤣🤣Kuna mtu analazimishwa kuwa wa upinde
Bora UAE au Oman kuliko USTena tumechelewa sana, Serikali iletwe hili azimio Ili tuwe Oversees American Province State
Incomplete peke yako ulivyo.Marekani Haiwezi kubali kuungana na Taifa la wajinga walio laanika.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Ndio maana kuna wale raia 66 wali ukana uraia wa Tanzania baada ya kwenda Ughaibuni kwenye binadamu wanao jielewa.
Waafrika hasa wabongo ni
"Incomplete Human beings" Bado hatuja fikia hatua ya kuitwa binadamu.
Marekani Haiwezi kubali kuungana na Incomplete Human beings.
Mkuu watu wengi mpaka level ya PhD ni wajinga wajinga vibaya.Ndo fikra zako zimeishia hapo. Unawaza tu kutawaliwa... Mawazo ya mtu ambaye nchi inamtegemea,.. mwenye phd.
Naomba tueshimiane, siku nikiwa ccm niite mbwa niko pale , bora kutokua na chama kuliko kua ccmKweli, kuna muda watu wanawachokeni CCM. Wewe si mmoja wao CCM?
Naunga mkono wazo lako.Hili ni wazo la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.
Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu kwenye US Embassy.
Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.
Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.
Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.
Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.
Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
Mayotte, walijitoa Commoro, wakajitoa Africa wakajiunga na Ufaransakuna nchi imewahi kufanya hivi tuone kama case study ilikuwaje??
Huu Uhuru tunaouita Uhuru ni Upumbavu mtupu. Kuna watu wamejigeuza wakoloni na kujipa wao nguvu ya kutawala na kujipa haki zote over everything.Hili ni wazo la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.
Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu kwenye US Embassy.
Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.
Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.
Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.
Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.
Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
Tukiwa chini ya mjerumani ingependeza zaidi,Tena tumechelewa sana, Serikali iletwe hili azimio Ili tuwe Oversees American Province State
Unaweza kumfundisha mwalimu mkuu?Wewe njoo nyumbani kwangu kwanza nikufundishe kuandika vizuri.
Hahaaa umemkomesha huyo falaHawa mashoga waliojaa Magomeni, Kipata na nchi nzima ni Wamarekani ndio walikuwa wanawafukunyuwa vinyeo vyao?
Umelijua hilo!kwa kuongezea mataifa yote duniani hayana uhuru.Huu Uhuru tunaouita Uhuru ni Upumbavu mtupu. Kuna watu wamejigeuza wakoloni na kujipa wao nguvu ya kutawala na kujipa haki zote over everything.
Walimuondoa Mkoloni ili wao wawe wakoloni.
Mkoloni alikua na nafuu sana kuliko hawa wapuuzi.