Serikali ya Tanzania ifanye mazungumzo na Marekani ili tuwe jimbo lao. Hiyo ndio dawa

Serikali ya Tanzania ifanye mazungumzo na Marekani ili tuwe jimbo lao. Hiyo ndio dawa

Tanganyika Ni Jimbo la Zanzibar.
Ukiona mkuu wa wilaya huku bara ambaye Ni mzanzibari Basi ujue huyo Ni gavana kwenye wilaya hiyo.
 
Yani nimesoma nikajikuta ninacheka tu mwenyewe kwa sauti 🤣🤣
Mkuu, ebu fanya study kidogo juu ya Puerto Rico 🇵🇷 ambayo ni protectorate ya marekani ujue hali yao ikoje.
Hakyanani huu mkataba umevuruga watu 😅😅
 
Lakini hauna baraka za serikali na jamii kwa ujumla!! Lakini huko kwingine ndo mpango mzima wa serikali!! Shoga huko ni dhahabu inayolindwa kwa nguvu zote!
Huo ndo unafiki wenyewe sasa,Kikwete alikuwa neutral,na !maisha yakaenda

Huwa nakereka na watu wanaochagua dhambi za kufanya,
 
Hali ipoje huko Puerto Rico?
Yani nimesoma nikajikuta ninacheka tu mwenyewe kwa sauti 🤣🤣
Mkuu, ebu fanya study kidogo juu ya Puerto Rico 🇵🇷 ambayo ni protectorate ya marekani ujue hali yao ikoje.
Hakyanani huu mkataba umevuruga watu 😅😅
 
Tutakuwa kwenye queue nyuma ya Washington DC, Puerto Rico na Macau
 
Kumbuka pia marekani kuna lgbtq...........sasa kwa hapa tanzania mtakuwa wewe na afande rama
 
Hili ni wazo la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.

Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu kwenye US Embassy.

Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.

Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.

Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.

Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.

Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
Wewe siyo bure. Ukapimwe mkojo kwanza, hakafu mashitaka ya uhaini ndiyo yafuate
 
Haitatokea... na ikitokea imetokea, basi Watanzania wengi watakubali sana tu.Maana keki ya taifa inaliwa na wachache mno.
 
Haitatokea... na ikitokea imetokea, basi Watanzania wengi watakubali sana tu.Maana keki ya taifa inaliwa na wachache mno.
 
Hili ni wazo la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.

Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu kwenye US Embassy.

Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.

Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.

Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.

Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.

Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
Texas Jimbo tajiri kabisa linaweza kujitenga kutoka federal ya US!! Umewaza kwa nini wanataka kujitenga?
Uchumi wa US pakubwa sana umejengwa kwenye ulaghai na hujuma(rejea Maelezo ya Pompeo juu ya utendaji wa CIA)...uendelezwaji wake kwa njia hiyo ni ngumu.
 
Hili ni wazo la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.

Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu kwenye US Embassy.

Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.

Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.

Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.

Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.

Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.

Active , Fang , Moderator Paw
 
Jimbo la Alaska lilikuwa ni sehemu ya Urusi.

Kisiwa cha Mayote Commoro ni wilaya ya Ufaransa.

Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman na ndio yalikuwa makao makuu ya Sultan.

Zanzibar ingebaki chini ya Oman wangekuwa na maendeleo makubwa, wilivyotekwa na Ccm tu ndio imekuwa laana kama sisi tu.
Waohh!!
👏👏👏
 
.Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.
Kwanza siungi mkono hoja, pili sio kweli tumeshindwa kila kitu, kuna vingi tunaweza ila vile tunavyoshindwa, tukubali kusaidiwa!. Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?
Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
Why Marekani?,
P
 
Back
Top Bottom