Serikali ya Tanzania ifanye mazungumzo na Marekani ili tuwe jimbo lao. Hiyo ndio dawa

Serikali ya Tanzania ifanye mazungumzo na Marekani ili tuwe jimbo lao. Hiyo ndio dawa

Hivi wakiitwa watu wenye akili na wewe utajitokeza?

Sawa umeshinda mkuu... Tatu bila

Tuombe Mungu wazo lako lifanikiwe Tanzania tuwe jimbo la Marekani, ili tupate mihela tule bata kwenda mbele.

Ila kumbuka Marekani kuna masikini wengi sana...

Tazama video ya Kai Cenat juzi anatoa msaada halafu uone maelfu ya walio jitokeza

Case closed
 
Sawa umeshinda mkuu... Tatu bila

Tuombe Mungu wazo lako lifanikiwe Tanzania tuwe jimbo la Marekani, ili tupate mihela tule bata kwenda mbele.

Ila kumbuka Marekani kuna masikini wengi sana...

Tazama video ya Kai Cenat juzi anatoa msaada halafu uone maelfu ya walio jitokeza

Case closed
Mkuu unapoteza muda wako bure kumuelewesha kilaza. Marekani anaiona kwenye You Tube na movie za Hollywood zinamchanganya
 
Hivi wakiitwa watu wenye akili na wewe utajitokeza?

Mbona hata wewe juzi uliandika Uzi u anauliza kuhusu siri ya nguvu za kiroho za vunja chungu "mantis" 🤣🤣🤣🤣 wewe jamaa una vituko sana wewe. Unawaza kutawaliwa !!! Karne hii ya 21!!!


Baba Nyerere amka uone watoto wako wanacho kiwaza..
 
Mkuu unapoteza muda wako bure kumuelewesha kilaza. Marekani anaiona kwenye You Tube na movie za Hollywood zinamchanganya
🤣🤣🤣 anafikiri kila Mmarekani ni Jay Z au 50 Cents.

Dah utoto raha nyie. You can just think anyhow
 
Hawa ndio huwa wanaendaga kuliwa 0713 nchi za watu kwa sababu wanapenda vya bure bure
🤣🤣🤣 natangaza kujitoa JF aisee kama great thinkers wenyewe ndio kama huyu mtoa mada basi there is no hope for the future
 
Ccm ni laana kwa Taifa, bora tujiunge na Marekani mtu ataamuwa mwenyewe abaki jimbo la Tanzania au aende kuishi, Chicaco, DC, New York, Missouri, LA, Texas, Las Vegas au vipi, hapo chaguo ni lako maana ni nchi moja na hili sarafu la shilling libaki kwenye jumba la makumbusho pamoja na ule mwenge wa ushirikina wa kuwapumbaza Watanzania.
swili..
Kwanini mnang'ang'ania marekani na sio taifa jingine kama Germany,Japan, Canada au south Korea?
 
Taxation without Representation hata US ilikuwa ni kasehemu ka Great Britain lakini wakaja juu; Anyway kupanga ni Kuchagua, Hata hawa walamba asali wa sasa hakuna value for money ya kodi zetu; na wanachofanya sasa kupiga udalali kwa kila kitu hakuna tofauti ya unachosema wewe; labda kuongezea wazo lako liwe na ufanisi tujipige mnada kila baada ya miaka mitano nani atuchukue mwenye dau kubwa; Awe Mrusi, Mmarekani, Muarabu au hata Mkenya kama ataweza...
 
South Africa vyote hivyo vipo, lakini hakuna Mtanzania anayefukunyuliwa eti kwa sababu ushoga umeruhusiwa South Africa.
Huelewi. Maadili yakiporomoka yanaishia hadi kuharibu uchumi. Nafikiri unajua jinsi China inavopaa na marekani ikisinyaa ndio maana nikaona ni bora muungane na mataifa yenye maadili kama Japan
 
Huelewi. Maadili yakiporomoka yanaishia hadi kuharibu uchumi. Nafikiri unajua jinsi China inavopaa na marekani ikisinyaa ndio maana nikaona ni bora muungane na mataifa yenye maadili kama Japan
Japan hata wakimbizi haichukui, hawawezi kuaccept proposal kama hizi.

Hizi ni proposal za watu wa west.
 
Jimbo la Alaska lilikuwa ni sehemu ya Urusi.

Kisiwa cha Mayote Commoro ni wilaya ya Ufaransa.

Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman na ndio yalikuwa makao makuu ya Sultan.

Zanzibar ingebaki chini ya Oman wangekuwa na maendeleo makubwa, wilivyotekwa na Ccm tu ndio imekuwa laana kama sisi tu.
Mwambie hata Afrika Kusini ni mfano mmoja. Makaburu walikuja na kuijenga ikawa kama Ulaya. Baada ya kuondolewa kwenye uongozi na kupewa weusi, hali inaanza kubadilika kidogo kidogo kuwa mbaya.
 
Utoto wa raha sana mkuu. Huu Uzi utamvunjia heshima mtoa mada hapa jukwaani.
Tusidharau mawazo ya mtu. Hata kama yanaonekana ni mawazo ya kitoto, ni jukumu letu sisi wakubwa kutoka hayo mawazo ya kikubwa. Lakini mmeshindwa kuwa na mawazo hayo ya ukubwani.Waacheni wawaze na waelezee mtazamo wao.

Si jambo baya kuwa na ushirikiano au umoja na Nchi nyingine.Mbona tuliungana na Zanzibar? Mbona kuna mpango wa kuunganisha afrika mashariki?

Na isitoshe, tumefeli kujiendesha na huo ni ukweli
 
Japan hata wakimbizi haichukui, hawawezi kuaccept proposal kama hizi.

Hizi ni proposal za watu wa west.
Usiseme hawawezi kuaccept wakati hawajaombwa. Kumbuka hii ni kama ndoa,usije muona msichana mrembo ukaogopa kumuaproach ukidhani eti hawezi kubali

Japan na south Korea ndizo zina match vizuri na Tanzania kuliko hio marekani ndio maana nimekupa mfano wa ndoa
 
Usiseme hawawezi kuaccept wakati hawajaombwa. Kumbuka hii ni kama ndoa,usije muona msichana mrembo ukaogopa kumuaproach ukidhani eti hawezi kubali

Japan na south Korea ndizo zina match vizuri na Tanzania kuliko hio marekani ndio maana nimekupa mfano wa ndoa
Kama unazijuwa vizuri hizo nchi muingiliano wao na Waafrica ni wa kibiashara tu tena bidhaa kutuuzia Africa.

Ukiona Taifa halichukui wakimbizi ni tatizo hawataki maingiliano ndio maana najuwa wazi proposal kama hii ni next to impossible kwao.
 
Back
Top Bottom