Serikali ya Tanzania ifanye mazungumzo na Marekani ili tuwe jimbo lao. Hiyo ndio dawa

Kama mnawataka wamarekani kwanini mnaipinga DPW?
 
Usichoelewa jimbo la Tanzania ndio litakuwa na maendeleo kuliko jimbo la Texas na hakutakuwa na watu wengi wa jimbo la Tanzania watakaotamani kwenda kuishi majimbo mengine kama New York na DC.
🤣Wewe... mwenyewe umesema utahamia new york
 
 
CCM ni zaidi ya laana asee
 
kuna nchi imewahi kufanya hivi tuone kama case study ilikuwaje??
Kisiwa cha Mayotte, watu wake kiasili ni Waafrika, hata lugha yao ni ya kibantu, kipo karibu na Comoro, mara tatu wananchi wake wamepiga kura kuamua kama wanataka wawe nchi huru au sehemu ya Ufaransa, wananchi kwa kuangalia hali za mataifa ya Afrika ilivyo, wakati wote wamepiga kura kuendelea kuwa sehemu ya Ufaransa. Hawataki kabusa kuwa sehemu ya bara au nchi za Afrika.
 
Aaha unataka ya Comoro na Mayotte yajitokeze bongo.
Comoro na Mayotte zilikuwa nchi moja Kama Zanzibar na Pemba ikapigwa kura Mayotte wakaamua kuwa Jimbo la Ufaransa Leo Mayotte wanaenda Parii bila viza Kama raia wa ufaransa na angalau Wana maendeleo.
Labda wauziwe kabisa mkoa mmoja kama case study maana tawala zetu hazitabiriki Huwa ni mbele nyuma.Atakuja jiwe mwingine ataufuta huo mkataba watalamba hasara.
Kwani kigamboni ya Bush iliishia wapii baada ya JK.
 
Hata sisi tupige kura tunatakaje
 
Dr mwenzangu umenena, umenena.
 
Zanzibar warudishiwe waarabu wa Oman irudi kwa sultan maana Hawa Wana udugu wa damu hadi kesho hata ukifika Oman kiswahili unaongea tu kama ujui kiarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…