Serikali ya Tanzania yaanza mchakato wa kuunda Satelaiti yake

Niliwahi kukuheshimu humu jamvini, najuta !

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mmh!!

Kuna habari ukizisoma ama zisikia, inakubidi ugune tu
 
Miniature Satellites (Cubesats) zinarushwa na nchi nyingi za Afrika.

Nadhani ni uwekezaji mzuri hasa kwa wale wanaosomea masomo ya sayansi.

Tunapeleka wataalamu wetu wanajifunza kuziunda, halafu zinarushwa na shirika kama NASA au TSC.

Rwanda, Kenya, Ethiopia na Algeria wamesharusha satellite zao tayari, wakishirikiana na mataifa makubwa kama Japan, Israel na Urusi.

Kuna taarifa inasema vyuo vikuu vingi duniani ndiyo vinaongoza kwa kurusha hizi Satellite ndogo (Miniature Sats/Cubesats) huko anga la nje. Nelson Mandela, MUST, UDSM na COSTECH wawezeshwe tu.
 
Eti taswira ya kiafrija[emoji1787][emoji1787]
 
Kuwa na satellite ni jambo moja, kutumia kwa ufanisi ni jingine.
Kama maandalizi ya matumizi sahihi na ufanisi yataainishwa na kuzingatiwa, ni jambo bora sana.
Miradi mingine huanzishwa kwa mihemko kama vile SGR, ambapo inaweza kuja kuendeshwa kwa ruzuku kutoka serikalini.
 
yani priority za nchi hii zinachekesha.. yani tunataka kukimbizana na mambo ya dunia ya kwanza wakati ya dunia ya tatu hatujaya-master

wakati hii ndo ingetakiwa kua priority namba 1, ama umuhimu wa satelite hujui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…