Serikali ya Ubeligiji Yaipatia Serikali Ya Tanzania Euro Milioni 4 Kwa Ajili ya Mradi wa Maji Mkoani Kigoma

Angekuwepo hayati na mpwa wake hizi pesa zingeelekezwa katika miradi ya maendeleo Chato
 
wewe ndio wateseka, mim nina mshara maisha yangu yote, nina mafuta kwa wiki lita sabini, nina nyumba na wartoto wanasomeshwa kwa kodi zenu.
Kodi zetu? Unadhani wote tunakatwa Kodi kiboya boya, baki kuwa mtumwa wa serikali kwa ltrs za mawese na ada za watoto
 
Hapo Sawa, inashangaza licha ya kuwa na ziwa Tanganyika ambalo ni la pili kwa kina kirefu duniani bado kigoma maeneo mengi wanamaliza hadi wiki 1 na siku kadhaa bila maji na mradi mpya umeshaanza kazi
 
Kodi zetu? Unadhani wote tunakatwa Kodi kiboya boya, baki kuwa mtumwa wa serikali kwa ltrs za mawese na ada za watoto
kila unachonunua dukani inclunging pedi unayovaa imelipa kodi.
 
Angalia danadana za barakoa na mabeberu wa tundulissu. Sometimes I feel really proud to be back and Tanzanian.
 
Hivi Ndugai yuko wapi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…