Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Uko sahihi mkuu, nina kamjomba kangu kalitoka chekechea hadi darasa la piliHapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
Huyu mtoto angestahili kabisa kusoma Feza Boys,Si Babu Tale yupo? Ila matapeli watakwambia serikali ina shule zake za English medium.
MasiaharaAandikishwe tu ila aingie darasa la 7 tu huyo. Mbona aweza kuwafukuzia form II ya leo?
kwa nn hamkurusha darasa mkuuSijaona maaujanja ya huyo dogo ila iwapo kufanya yaliyo mbele ndio kipaji maalum hata mimi nilistahili sema tu sikupigiwa chapuo.
Stori yangu,
Hii nikweli na kweli tupu:
Wakati tukiwa darasa la Sita enzi hizo, Shule yetu ilipata mkasa wa kuwa na madarasa pungufu katika kipindi fulani hali iliyolazimisha darasa la saba na la sita kuwekwa katika chumba kimoja kikubwa tukipangiliwa katika hali ya kila darasa likiwa limepeana mgongo na lingine.
Ghafla tu siku moja, mwalimu wa Hisabati wa darasa la saba ambae pia alikuwa akitufundisha Hisabati darasa la Sita (Sisi) alitoa Jaribio kwa Darasa la saba.
Tukiwa tumetulia tuli,
Mwalimu yule wa Darasa alituamuru mimi na Mkali mwenzangu wa Darasa la sita kuwa tuunganae na La Saba tufanye Jaribio hilo,
Amini usiamini, tuliwakimbiza wale mafala shule nzima haikuamini.
Zingekuwa zama hizi si ajabu ningeonyeshwa kwenye TV.
Najua atatokea mwehu mmoja atasema hii Chai😕
unaendeleaje hapo kitengo cha utafiti NIMRSijaona maaujanja ya huyo dogo ila iwapo kufanya yaliyo mbele ndio kipaji maalum hata mimi nilistahili sema tu sikupigiwa chapuo.
Stori yangu,
Hii nikweli na kweli tupu:
Wakati tukiwa darasa la Sita enzi hizo, Shule yetu ilipata mkasa wa kuwa na madarasa pungufu katika kipindi fulani hali iliyolazimisha darasa la saba na la sita kuwekwa katika chumba kimoja kikubwa tukipangiliwa katika hali ya kila darasa likiwa limepeana mgongo na lingine.
Ghafla tu siku moja, mwalimu wa Hisabati wa darasa la saba ambae pia alikuwa akitufundisha Hisabati darasa la Sita (Sisi) alitoa Jaribio kwa Darasa la saba.
Tukiwa tumetulia tuli,
Mwalimu yule wa Darasa alituamuru mimi na Mkali mwenzangu wa Darasa la sita kuwa tuunganae na La Saba tufanye Jaribio hilo,
Amini usiamini, tuliwakimbiza wale mafala shule nzima haikuamini.
Zingekuwa zama hizi si ajabu ningeonyeshwa kwenye TV.
Najua atatokea mwehu mmoja atasema hii Chai😕
mkuu unasound kama Baba wa Matilda kwenye ile movie.Huu nao ni upuuz kama upuuzi mwingine uliozoeleka
chekechea stage 3 ni zipi ama ndo
nursery
chekechea na
vidudu
majina ni kulingana na hadhi ya elimu na waalimu husika.
Kwa hiyo kwavile habari yako haikuletwa hapa basi haitakiwi kwa habari za wengine kuletwa hapa eti kisa sababu habari yako haikuletwa hapa?Sasa hii ndio habari ya kuleta hapa, wakati kuna watu tuliishia darasa la 5 tukafanya paper ya std 7 na tukachaguliwa shule za vipajai maalum.
Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Ada tsh 8 million.Huyu mtoto angestahili kabisa kusoma Feza Boys,
madftari,mahitaj mengine madogo madogo utampa wewe.Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
kila moja ina muda gani? maana mimi nimesoma chekechea mwaka 1Baby class, middle class na pre unit
hapo ndo karushwa darasa sasaUko sahihi mkuu, nina kamjomba kangu kalitoka chekechea hadi darasa la pili
atampa babu tale pamoja na fagiomadftari,mahitaj mengine madogo madogo utampa wewe.
Halafu ana miaka sita..Hapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
... hapo ndio angalau ningemwelewa Babu Tale anayetaka kumlipia wakati elimu ni bure kwa shule za serikali!Atafutiwe scholarship English Medium School.