Serikali yaagiza zile nyumba ambazo ukuta umepita mbele ya geti, moja ivunjwe ndani ya siku 7

Serikali yaagiza zile nyumba ambazo ukuta umepita mbele ya geti, moja ivunjwe ndani ya siku 7

Angepungukiwa nini kufanya mazungumzo na huyo mwenye geti ili asogeze ukuta kidogo hata amfidie eneo lake kidogo kidogo?
Huwezi kumlaumu kwa vile hakupungukiwa. Kama ulininua bila kumtaka aliyekuuzia akupe njia, then huwezi kimlaumu jirani.

Kama Ni surveyed area, atavunjiwa, short of that akienda mahakamani anawashinda. Iko kesi ya namna hii Court of appeal!
 
Huwezi kimlaumu kwa vile hakupungukiwa. Kama ulininua bila kumtaka aliyekuuzia akupe njia, then huwezi kimlaumu jirani.
Kama Ni surveyed area, atavunjiwa, short of that akienda mahakamani anawashinda. Iko kesi ya namna hii Court of appeal!

Mimi ningekuwa ni huyo mwenye ukuta, bila kujali kama mwenye geti aliuziwa bila njia au la, ningemuachia hatua 4 - 5 bure kabisa afanye njia. Na nina uhakika nisingepungukiwa chochote. Lakini huyo ni mimi, wewe unaweza kuwa tofauti.
 
Kazi zimeisha ama??

Tangu lini waziri wa Ardhi akawa na mamlaka ya kuamuru nyumba kuvunjwa??


Haoni kwamba anapoka mabaraza ya nyumba mamlaka hiyo??
Zanzibar huko tuwaachie wenyewe na mambo yao
 
Huko Kigamboni kuna jamaa kaziba njia waliyokuwa wanapita raia kumbe lote ni eneo lake hivyo njia ikamfata yeye ili kurahisisha upitaji.

Wananchi kwa kushirikiana na Serikali ya mtaa wakamtaka avunje mara moja, akagoma kwa sababu kiwanja chake sio njia.

Wakaamua kwenda mahakamani, huko nako wakaangukia pua.

Wakarudi kwa jamaa ili wamalize kiungwana awaachie njia, jamaa kakomaa hataki kuachia.

Hayo ndio mambo ya viwanja, viwanja, viwanja!
 
Ngozi nyeusi tuna roho mbaya sana..

Sidhani kama mwenye hilo geti alishindwa kuzungumza nae waelewane.
Mkuu usikimbilie kulaumu upande mmoja,

Binadamu wana hulka ya dharau na kiburi.
Usikiue huyo mwenye ukuta kafanya jitihada za kuonana na mwenye nyumba, akamfungia tinted.
Basi naye akaamua kumuonesha jeuri yake. Usikute hakuwa hata na mpango wa kujenga huo ukuta ni basi tu ili kuiridhisha ego yake.


Usi
 
Hatujasikia upande wa aliyejenga ukuta. Kama Ni eneo lake amefanya ko sa gani?
Kwa nilivyoiona habari japo hawakwenda kwa undani, inaonekana eneo ni lake ila wananchi walikuwa wanapita (it seem like alikuwa bado hajajenga) na ndio maana wanataka kumfidia kwa maslahi ya wananchi walio wengi.
 
Anayetakiwa kuvunja hapo ni mwenye hiyo Nyumba yenye geti au aliyejenga ukuta mbele ya geti?

Ni yupi hapo aliyevunja sheria na kuziba njia?
 
Ustaarabu sifuri, hao ndiyo wanafanya maeneo kukosa mpaka njia za watu,magari kupita
Watu wanatengeneza na kuongeza skata tu

Ova
 
Migogoro mingi inatokana na "ego"
Alafu eneo lolote ambalo halijapimwa inatakiwa muwe mna mahusiano mema na majirani wenzako hasa hatua awali za ujenzi ili kama kuna matatizo ya mipaka muweze kuyaweka vizuri.

Maana hapo unanunua eneo ukijua kabisa hakuna njia au njia zilizopo ni kwa hisani ya majirani, hivyo kinachotakiwa unapoanza kujenga kama ni fence mkae chini ili mkubaliane wapi uweke geti ili iwe rahisi kupata upenyo wa kutoka na jirani yako pia ajue ili asije akajenga banda la mifugo.
 
Huko Kigamboni kuna jamaa kaziba njia waliyokuwa wanapita raia kumbe lote ni eneo lake hivyo njia ikamfata yeye ili kurahisisha upitaji.

Wananchi kwa kushirikiana na Serikali ya mtaa wakamtaka avunje mara moja, akagoma kwa sababu kiwanja chake sio njia.

Wakaamua kwenda mahakamani, huko nako wakaangukia pua.

Wakarudi kwa jamaa ili wamalize kiungwana awaachie njia, jamaa kakomaa hataki kuachia.

Hayo ndio mambo ya viwanja, viwanja, viwanja!

Hii ndio haki
 
Uko sahihi
Huwezi kumlaumu kwa vile hakupungukiwa. Kama ulininua bila kumtaka aliyekuuzia akupe njia, then huwezi kimlaumu jirani.

Kama Ni surveyed area, atavunjiwa, short of that akienda mahakamani anawashinda. Iko kesi ya namna hii Court of appeal!
 
Kazi zimeisha ama??

Tangu lini waziri wa Ardhi akawa na mamlaka ya kuamuru nyumba kuvunjwa??


Haoni kwamba anapoka mabaraza ya nyumba mamlaka hiyo??
Hayo mabaraza ya nyumba yapo chini ya wizara gani?
 
Mijitu ya hivyo inasukumwa na husda na roho mbaya, unamzibiaje mwenzako njia asiweze kupita kuingia kwake........imagine na watu wengine wakiziba njia huko anapopita sijui atajisikiaje.
 
Mimi ningekuwa ni huyo mwenye ukuta, bila kujali kama mwenye geti aliuziwa bila njia au la, ningemuachia hatua 4 - 5 bure kabisa afanye njia. Na nina uhakika nisingepungukiwa chochote. Lakini huyo ni mimi, wewe unaweza kuwa tofauti.
Mkuu kuna mijitu ina roho ngumu huwezi amini, na hapo unaweza kuta huyo jamaa alimwomba hata amfidie pesa lakini jitu sababu ya roho mbaya iliyochanganyika na wivu linakomaa...
 
Back
Top Bottom