nasema hizo story za madarasa elfu 15 sijui barabara isiwe sababu ya kukopa matrilion kila sikuu... tamisemi kila siku wanaripoti hela za miradi kuliwaa ovyoo tuu yani aibuuu.. madaraja yanajengwa ya ovyoo unaambiwa zimetumika mil 200. UFISADI ULIOPO UNATISHATanzania nzima ina barabara km ngapi zinahitaji lami? Gharama ni kiasi gaini kukamilisha lami?
Lakini kipaumbele ni barabara tu? Elimu, maji, umeme, afya, ulinzi na usalama sio lazima?
Hiyo mikopo/ kodi serikali inazokusanya inatosha kumaliza matatizo yote kwa mwaka mmoja?
Ukilijua hilo huwezi jiuliza kod/ mikopo yote inafanya kazi gani.
Marekani. Uingereza wenyewe wanakopa itakuwa Tz???nasema hizo story za madarasa elfu 15 sijui barabara isiwe sababu ya kukopa matrilion kila sikuu... tamisemi kila siku wanaripoti hela za miradi kuliwaa ovyoo tuu yani aibuuu.. madaraja yanajengwa ya ovyoo unaambiwa zimetumika mil 200. UFISADI ULIOPO UNATISHA
Huna hoja nimekukomesha..mpuuzi mmoja huyo nishamblock ajiongeleshee mwenyewe
Sasa Mimi na wewe nani hajui uchumi? Unajua hata maana ya hiyo statement kwenye ID yangu?
Watu kama nyie ndio mnawaoa kiburi mafisadi walioko madarakani
Huwezi jua kwa sababu wewe ni mburula wa Economics..Jikite kwenye Historia ulizosomea.The Sunk Cost Fallacy? Ndio ushuzi gani huo?
Mkuu,tuwe realistic muda mwingine..mfumo wa uongoz kwa nchi yetu unajulikana..Rais ndo kila kitu.Hawa mawaziri tutawaonea bureyeye ndo waziri muhusika anapaswa kuwa mshauri mzuri wa rais kuwa hiki sio sawaa..
REALISTIC ni kuwa mwigulu ndo anamshauri rais hizi tozoo za ovyoooMkuu,tuwe realistic muda mwingine..mfumo wa uongoz kwa nchi yetu unajulikana..Rais ndo kila kitu.Hawa mawaziri tutawaonea bure
Ulisema hivyo kwa JKSiku ambayo Mwigulu atang'olewa Wizara ya fedha NITAIADHIMISHA MILELE , huyu hafai
Tulijenga bwawa, reli, ndege , flyovers bila hizi tozo za kupumbavuSasa km ukitoa kuanzia 3M and above unakatwa 4000 tu unalalamika nini? Hakuna vya bure lazima tuchangie maendeleo ya nchi yetu. Tuwe wazalendo. Mwigulu mbunifu nampongeza sana
Sasa hiyo ni cost za gvt bado bank husika sasa nao wataongeza za kwaoSasa km ukitoa kuanzia 3M and above unakatwa 4000 tu unalalamika nini? Hakuna vya bure lazima tuchangie maendeleo ya nchi yetu. Tuwe wazalendo. Mwigulu mbunifu nampongeza sana
Inauma sanaSasa hiyo ni cost za gvt bado bank husika sasa nao wataongeza za kwao
Nimekubali tunakomeshwa kweli tutajuta kujiita wanyonge.Sukuma gang
WANAKOMESHWA.
Solution iyo apo chiniTulivyoweka tozo kwenye miamala ya simu mkakimbilia benki sasa tumekuja huko huko. Mlipo tupo.
Na wewe si ndio tahira promaxAlaa kwa hiyo watakaoshinda 2025 wao hawatahitaki Kodi sio?
Mataahira hamtakaa muishe Duniani😂😂
DuhStupid country
Serikali yatakiwa ipunguze matumizi yakenasema hizo story za madarasa elfu 15 sijui barabara isiwe sababu ya kukopa matrilion kila sikuu... tamisemi kila siku wanaripoti hela za miradi kuliwaa ovyoo tuu yani aibuuu.. madaraja yanajengwa ya ovyoo unaambiwa zimetumika mil 200. UFISADI ULIOPO UNATISHA
We **** nina hakika hufanyi miamala yoyote ileSasa km ukitoa kuanzia 3M and above unakatwa 4000 tu unalalamika nini? Hakuna vya bure lazima tuchangie maendeleo ya nchi yetu. Tuwe wazalendo. Mwigulu mbunifu nampongeza sana
HahahahaaaaaHivi hilo gazeti la Serikali huwaga linauzwa wapi?