Yani anaongeza mshahara kwa wananchi asilimia 30 ambao wameajiriwa kiduchuu snaa alafu anazunguka mlango wa nyuma kuongeza tozo kwa wananchi wote...Serikali yatakiwa ipunguze matumizi yake
Ipunguze posho za vikae
Ifanye kazi virtually
Ipunguze per diem
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mwigulu ni mtu hatari sn... the worst case ni kuvuta hela yako kutoka benki ikaingia kwenye mobile-money then ikaenda kutolewa kwa wakala kwa wale wavivu wa kwenda ATM; utalizwa hadi ukome. Makato yatakuwa hivi kwa mfano wa Tigo-Pesa;
Bank ==> Serikali ==> Tigo-Pesa ==> Serikali ==> Wakala ==> Serikali ==> Wewe!
Pesa yako hiyo! Nilikuwa na huu mchezo sirudii tena.
Niseme tu neno moja: Private sector ndio Engine ya UchumiHii awamu ya sita haijatokea hewani.
Imepokea nchi ikiwa na mipango mikubwa sana, contract za matrillion zimesainiwa na hazijakamilika. mfano JNHPP/ SGR tu, ni zaidi ya trillion 20. Na awamu iliyotangulia ajira mpya serikalini ilikuwa ni ndoto, nyongeza ya mishahara kwa miaka 6 ilikuwa ni ndoto yote ni kuhakikisha miradi inakamilika.
Awamu ya sita imebeba vyote vilivyoshindwa kufanywa na awamu ya tano. kuongezwa kwa tozo ni kuhakikisha ya awamu ya tano hayakwami na ambayo hawakuwezekana awamu ya tano kwa miaka sita yanafanyika.
Uongo mtupuNiseme tu neno moja: Private sector ndio Engine ya Uchumi
Madawa watanunua na mawe..?Wizi
Wizi
Wizi
Hakuna mnyonge aliyekandamizwa, maendeleo yanagharama zakeSiamini kama Lameck na timu yake wameshindwa kubuni vyanzo vingine vya mapato isipokuwa kuwabamiza wanyonge kwa gia ya tozo za miamala!
Am sure deposit kwa bank zitapungua lkn pia kbl ya sheria hiyo kuanzia pesa nyingi zitachotwa kurudi kuhifadhiwa kwenye magodoro!!
Wizi wao upo wapi mkuu..?Majizi ya awamu ya sita ni shida.
Hapana hatujapigwa , maendeleo yanagharamaTumepigwa
[emoji419][emoji419][emoji419]Wenzetu hamna akili?
Atm ukitoa pesa unakatwa na bank, sasa hivi serikali pia itaweka makato yake. Sasa hapo inapunguwaje?
NB
Pia Kodi na tozo ni lazima
Serikali lazima ipate mapato, hata kwa kutumia nguvu
Hakuna mtu anayekomeshwa kiongozi, huduma bora zinagharamaSukuma gang WANAKOMESHWA.
Ahsante mzalendo, endelea kulipa kodi na tozo tuijenge nchi yetuTunapenda kulipa kodi lakini tatizo sisiemu ni wezi
Mawazo hasi hayajengi, tutoe ushauri mzuriTransactions zitapungua na uchumi utadorora
[emoji848][emoji1]Tulivyoweka tozo kwenye miamala ya simu mkakimbilia benki sasa tumekuja huko huko. Mlipo tupo.
[emoji16][emoji16][emoji16]Komesha hao sukuma gang. Tozo hizo bado hazitoshi. Leteni na tozo za mawio ya jua, kila jua likichomoza tu tupigwe tozo.
UwiiiiiBenki ukitoa pesa dirishani wanakatwa Tsh 5,000/= Mwigulu naye hapo hapo anakata 5,000/= ukitoa mala kumi basi unakatwa Tsh 100,000/=.
Tuendelee kulamba Asali.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamani, wapi naweza kupata KIBUBU..vilivyotengenezwa kwa mbao
Kwahiyo nini kinakuwasha wewe sukuma?Waziri wa fedha Dr Mwigulu Nchemba ametangaza kwenye gazeti la serikali kuanza kwa kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia bank pale unapotoa au kuweka fedha utakatwa kodi ya viwango tofauti kama inavyoonekana kwenye jedwari hili hapa chini.
The Government of Tanzania has imposed levy on all withdrawals done over the counter, ATMs’ plus all transfers (TISS & SWIFT) w.e.f 01.07.2022 as gazetted in the Government Gazette NO. 478V published on 01/07/2022.
View attachment 2298497