Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Huo huo mshahara umeshalipa kodi serikalini (paye)! Kuuchukua Tena unalipa kodi. Kweli mama anaupiga mwingi.Yaani mfano umelipwa mshahara na hio hio serikali ukaingia benki halafu unaenda benki au atm kutoa hela serikali tena wanakukata TOZO(Hapo kama bank nao huwa wanatoza unaliwa huku na huku)
Kodi kwa maendeleo ya taifa.Sawasawa.
chadema kwa miaka kadhaa sasa, wamejaribu sana kutoa elimu ya uraia ili wananchi wajitambue, wamejaribu sana kuitisha maandamo yanayohusu masuala mbalimbali yenye maslai mapana kwa umma ikiwemo suala la katiba mpya.
mwisho wa siku chadema haohao wanaishia kubezwa, kupuuzwa, kuzomewa, kutukanwa, kudhihakiwa, kutengenezewa propaganda nk. na haya yote yanafanywa na wananchi maskini.
acha tuisome namba, labda ipo siku akili zitatukaa
Nchi iliyosheheni wajinga kama wewe ni shidaIli tukuweke wewe?
Hutaki kulipa?Is too much now
Mkuu Mambo siku yakifika shingoni mbona tutajikuta tumeamkia roads utadhani Kama tumeambianachadema kwa miaka kadhaa sasa, wamejaribu sana kutoa elimu ya uraia ili wananchi wajitambue, wamejaribu sana kuitisha maandamo yanayohusu masuala mbalimbali yenye maslai mapana kwa umma ikiwemo suala la katiba mpya.
mwisho wa siku chadema haohao wanaishia kubezwa, kupuuzwa, kuzomewa, kutukanwa, kudhihakiwa, kutengenezewa propaganda nk. na haya yote yanafanywa na wananchi maskini.
acha tuisome namba, labda ipo siku akili zitatukaa sawa.
DuhMkuu Mambo siku yakifika shingoni mbona tutajikuta tumeamkia roads utadhani Kama tumeambiana
Halafu ikishapa pata mapato ikanunue V8 za kisasa kwa Mwigulu. Zingine ikanunulie wakuu wa taasisi hizo V8 na kuwapa misafara.Wenzetu hamna akili?
Atm ukitoa pesa unakatwa na bank, sasa hivi serikali pia itaweka makato yake. Sasa hapo inapunguwaje?
NB
Pia Kodi na tozo ni lazima
Serikali lazima ipate mapato, hata kwa kutumia nguvu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halafu ikishapa pata mapato ikanunue V8 za kisasa kwa Mwigulu. Zingine ikanunulie wakuu wa taasisi hizo V8 na kuwapa misafara.
douh jamaa ana tamaa sana na hela za watuTulivyoweka tozo kwenye miamala ya simu mkakimbilia benki sasa tumekuja huko huko. Mlipo tupo.
[emoji23]Maza anaupiga mwingi
Itabidi turudi tu kwenye barter tradeHivi hii inchi kwann ina watu wa hovyo?
Kila siku ni kuwabebesha wanainchi mzigo wakati wao wanaindelea Kula maisha ya Raha.
Mfano Mimi natoa pesa kwa kutumia internet bank kutoka bank kwenda kwenye Miamala ya simu hapo ninakatwa ,,
Halafu tena kutoa kwenye simu kuiweka iwe cash pia nakatwa pesa..
Huo mzigo wote wanaotubebesha ni wa nn?
[emoji38][emoji38][emoji38]alipo mama, Tozo zipo