mwekwa ntandu
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,040
- 2,428
Mimi huwa nawashangaa wanaoenda kisiwa cha saa nane,maana kuna pimbi tu na vi swala vya kuhesabu.bora hata zamani kulikuwa kuna cage wanafuga wanyama mfano simba, sokwe, chui, fisi hii iliwavutia watu wengi kulipia na kwenda kuwaona mi naomba warudishe huo utaratibu.Asante kwa mrejeshonyuma.
Binafsi napenda kufahamu: Mambo yapi hayakukuvutia ulipotembelea kisiwa cha Saanane:ni huyo mwongoza watalii wa kike?Kipi alifanya kinyume na matarajio yako(yenu)?
Ama kisiwa cha Saanane hakina mandhari au vivutio vyenye kuridhisha hata uone thamani ya pesa yako (value for money)?
lakini vile vile wanaweza kuongeza na mabwawa ya kufuga mamba itakuwa ni kivutio tosha maana kuna wakazi wengi wa mwanza japo wamezungukwa na ziwa ila hawajui mamba anafanana vipi.