Musundi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,584
- 2,613
Kwani Bujix2 ni mdada?Kaolewe Kenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Bujix2 ni mdada?Kaolewe Kenya
Watanzania tunazidi kuwa wajinga kwa kila kitu mpaka tunatia aibu tunachojua ni kusifu, kusifiana na kupongezana kwa mambo ya kijinga kabisa. Miaka zaidi ya miwili iliyopita Waaustralia wengi sana walikuja kwa ndege zao lakini sidhani amerudi hata mmoja ingawa waliahidi kutangaza vivutio walivyovikuta na wao wenyewe kurudi tena. Wakaja Waczech toka Czech Republic wakafuata Warusi na Wachina wakingojewa lakini matokeo ya ujio huo yatakuwa yaleyale ya kutokomea. Viongozi wetu walitakiwa wajue kuwa hizi ni Promotional Tours ambazo zimeandaliwa na Tour Operators wa huko wenye uzoefu wa kupeleka Watalii kote duniani lakini wakiwa hapa wanapokelewa kwa ngoma za jadi lakini huduma mbovu. Kivutio nambari wani nchi yoyote ni wananchi wa nchi hiyo kwa Tanzania ndo ifuate Serengeti, big five, Ngorongoro, Kilimanjaro, Zanzibar nk kwa mfano dunia nzimà inajua Watanzania hawana furaha wapowapo tu.Nadhani tunatangaza vitu tunavyoita vivutio lakini hata wenyewe sisi watz havituvutii......
Unajua ili uweze kumvuta mtalii ni vema ujue nae ni mwanadamu kama sisi, na anavutiwa na vile vitu tunavyoweza vutiwa navyo pia.
Inabidi tuongeze creativity ya kuweka vivutio ambavyo hata watu wa ndani pia wapo interested. Hebu tazama Malaysia kwa mfano, kule kuna wanawake wazuri, chakula kizuri, hoteli safi, culture profile ya kueleweka. Sasa mzungu anapokwenda kule inakuwa ni sehemu ya kutalii kweli kweli na kufurahia maisha.
Wazungu nao ni watu kama sisi, wanapokuja wanataja kuenjoy maisha ambayo sisi pia tuna enjoy sio kuwa igizia maisha ambayo hatuyaishi. Imagine mzungu anakuja unamuwekea ngoma za asili, hivi hizo ndizo ngoma unazosikiliza kila siku miaka hii?!
So hebu tutafiti kwa wenzetu Dubai na Malaysia........ Tujifunze then tuestablish.
Kuna professor kutoka Udom walikuwa wanampeleka TAnapa kuwasaidia kwenye monitoring and evaluation. Huo utaratib wangeendelea nao kwenye mambo ya customer service.Yeah ni professional consultancy issue ,wawalipe tu
Very simple solution
Nadhani ni mdada maana mambo yake ya kidada! Lakini hata Delicious aliolewa pia, naona aibu mieKwani Bujix2 ni mdada?
Binafsi sikuwahi kufikiria hili suala!Asante kwa kutupa feedback,ndio maana tunahitaji watalii wa ndani pia ili watusaidie kuboresha sekta ya utalii...
Yetu macho, ngoja tuona mambo ya nchi ya chama kimoja.Bado yuko kazini huyo ?
Hahahahaha .. haya weNadhani ni mdada maana mambo yake ya kidada! Lakini hata Delicious aliolewa pia, naona aibu mie
Ni vema kutambua hao tunaowaita watalii zamani walijulikana kama Explorer ingawa sasa kuna tofauti kidogo. Kawaida mtalii/mzungu ktk miaka 3au4 anapanga nchi za kutembelea , hivyo basi akiisha tembelea eneo moja kati ya hayo 3 au 4 usitarajie atarudi kwako kabla ya kumaliza mzunguko wa maeneo aliyopanga kuyatembelea, hivyo ataendelea kuexplore sehemu nyingine ili notebook yake iweze kuonyesha ametembelea nchi au mabara mengi duniani.Juzi hapa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii alikutana na wafanyakazi wa wizara hiyo katika kujadili masuala ya utalii na changamoto zake alikiri kuwa zaidi ya 80% ya watalii wanaotembelea Tanzania huwa hawarudu tena, wakishakuja mara moja wengi wao huwa hawarudi tena.
Maana yake ni kuwa sisi Tanzania kila mwaka tunategemea watalii wapya, hatuwezi kuwatuliza(keep) ama kuwahakikishia watalii wa zamani kurudi tena Tanzania kufurahia vivutio vyetu vya utalii.
Retention yetu ya watalii ni chini ya 20%. Maana yake ukuaji wa utalii wetu bado una changamoto kubwa sana.
Nikitoa my personal experience, nilitembelea Kisiwa cha Saa Nane, Mwanza, tukakutana na tour guide wa kike, wote tuliofika pale siku hiyo hatuwezi kutamani kurudi tena, mimi na wenzangu siku hiyo tulikuwa disappointed, siwezi kutamani hata kwa bunduki kutembelea tena hiyo hifadhi.
Nimewahi kwenda Serengeti National park mara 2, kwa pale niko tayari kurudi maana mategemeo yangu yalikamilika kwa zaidi ya 80%.
Je, unadhani ni kwanini watalii wa nje hawarudi tena baada ya kutembelea Tanzania.
Watanzania ni wapole ila siyo wakarimuJuzi hapa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii alikutana na wafanyakazi wa wizara hiyo katika kujadili masuala ya utalii na changamoto zake alikiri kuwa zaidi ya 80% ya watalii wanaotembelea Tanzania huwa hawarudu tena, wakishakuja mara moja wengi wao huwa hawarudi tena.
Maana yake ni kuwa sisi Tanzania kila mwaka tunategemea watalii wapya, hatuwezi kuwatuliza(keep) ama kuwahakikishia watalii wa zamani kurudi tena Tanzania kufurahia vivutio vyetu vya utalii.
Retention yetu ya watalii ni chini ya 20%. Maana yake ukuaji wa utalii wetu bado una changamoto kubwa sana.
Nikitoa my personal experience, nilitembelea Kisiwa cha Saa Nane, Mwanza, tukakutana na tour guide wa kike, wote tuliofika pale siku hiyo hatuwezi kutamani kurudi tena, mimi na wenzangu siku hiyo tulikuwa disappointed, siwezi kutamani hata kwa bunduki kutembelea tena hiyo hifadhi.
Nimewahi kwenda Serengeti National park mara 2, kwa pale niko tayari kurudi maana mategemeo yangu yalikamilika kwa zaidi ya 80%.
Je, unadhani ni kwanini watalii wa nje hawarudi tena baada ya kutembelea Tanzania.
Hili limekuwa tatizo kubwa. Kuna hifadhi moja kubwa. Wageni wanakuja pesa kiasi fulan ila wanaishia getini na malalamiko kibao.
Embu tujaribu kushusha tozo ziko juu sana sana sana
Yaan focus yao kubwa ni wageni wa nje. Maana ndio wanaleta pesa nyingi. Wanachoshindwa kufaham ni kuwa wageni wa nje ni so unriliable. Huwez sema next yr atarudi.Mimi niliwahi kuilalamikia hifadhi ya serengeti hapa!! Pale Nabi gate kwanza watumishi wanawadharau watanzania,ukiondoa madereva wa tours,mfano nilikuta pale watu wana tatizo la mfumo wa kulipia ada,kadi yao ya mastercard ilikuwa haisomi,sasa kuna askari mmoja yupo pale,ni mnene na mrefu,akawa anawagombeza wale watu kuwa waondoke eneo lile haraka kwa kuwa eti aliwaletea dalali wa kuwalipia kwa bei karibu mara mbili ya ile ya halali wakakataa,yule askari badala ya kuwatafutia suluhisho alikuwa akiwagombeza na kuwakejeli hadi nikaona huruma nikaingilia na kuwalipia kwa mkopo,angalau siku hizi nabi wanapokea Mpesa,ila kwenye geti la Laobare(ngorongoro) bado wanangangania Mastercard tu,hiyo inafanya iwe vigumu kwa watanzania wa kawaida ku enjoy mbuga zetu,hizi mbuga zetu hazina mvuto kwa wazawa kabisa,kwa kuwa mfumo ume wa favour wageni kwa asilimia zote
Chief...Mimi niliwahi kuilalamikia hifadhi ya serengeti hapa!! Pale Nabi gate kwanza watumishi wanawadharau watanzania,ukiondoa madereva wa tours,mfano nilikuta pale watu wana tatizo la mfumo wa kulipia ada,kadi yao ya mastercard ilikuwa haisomi,sasa kuna askari mmoja yupo pale,ni mnene na mrefu,akawa anawagombeza wale watu kuwa waondoke eneo lile haraka kwa kuwa eti aliwaletea dalali wa kuwalipia kwa bei karibu mara mbili ya ile ya halali wakakataa,yule askari badala ya kuwatafutia suluhisho alikuwa akiwagombeza na kuwakejeli hadi nikaona huruma nikaingilia na kuwalipia kwa mkopo,angalau siku hizi nabi wanapokea Mpesa,ila kwenye geti la Laobare(ngorongoro) bado wanangangania Mastercard tu,hiyo inafanya iwe vigumu kwa watanzania wa kawaida ku enjoy mbuga zetu,hizi mbuga zetu hazina mvuto kwa wazawa kabisa,kwa kuwa mfumo ume wa favour wageni kwa asilimia zote
Tatizo hatufanyi utafiti, huwa tunacopy na kupaste.mitano tena
Tatizo siyo kingine..
Ni gharama kubwa ya kutembelea mbuga zetu.
Ningeshauri wizara ya maliasili ipunguze gharama ya kuingia ngorongoro, Serengeti, lake manyara, tarangire, kilimanjaro na arusha national park cos ndio mbuga zinatembelewa sana bila kupunguza msitarajie mabadiliko yeyote.