mud-oil-chafu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2020
- 587
- 954
Vp Corona haizuii utalii mkuu😒😒😒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atleast this can be the reason, nlikua nataka kuskia watu wanaolilia beiMkuu, swala siyo gharama tu, swala ni thamani ya gharama anazolipa. Ukiacha vivutio kama hifadhi za Serengeti, Ngorongoro, Gombe na Mlima Kilimanjaro, au visiwa vya Zanzibar, Mafia, nk...vivutio vingine huduma zake ni za chini sana...
Kuna mengi mkuu, ila natumaini Dr Ndumbaro atatumia ule umakini wake kutatua changamoto za hii sekta.atleast this can be the reason, nlikua nataka kuskia watu wanaolilia bei
Dubai na Egypt zinafanya vizuri kwa sababu zipo karibu sana na nchi za Ulaya hivyo ni cheap na mtu hahitaji kuchukua likizo ndefu kwenda Dubai/Egypt au Morocco.Nashauri tujifunze kwa nchi zinazofanya vizuri kama Dubai, Malaysia, Misiri, Hongkong n.k. hata ikiwezekana waje watufundishe kwa muda ili na sisi kufikia pale walipofikia.
Sekta ya utalii imejaa wababaishaji sana na matapeli. Mtu analipia trip akifika bongo anaambiwa mara kuna iki hujalipia mara kile kimepanda bei so mzungu ni mtu anaishi kwa buget na sio kubahatisha hivyo akiondoka anaondoka na sura mbaya ya sekta ya utalii na taifa. Wangeingia online wasome malalamiko ya watalii na wayafanyie kazi kwanza ndio waje walalamikeWatalii hawarudi kwa sababu zifuatazo:-
1. Gharama za utalii sio rafiki mfano kupanda mlima Kilimanjaro mtalii mmoja ni usd 1000 . Bila malazi ya hoteli alikoshukia na chakula na unakuja kila mtalii anapanda mlima kea gharama tofauti mwisho watalii wakikutana na kujadiliana wanaomba watanzania ni watu wasio waaminifu..
Kutokana na hoja namba 4, tunapaswa kuongeza kodi zaidi kwa watalii hawa?Watalii hawarudi kwa sababu zifuatazo:-
1. Gharama za utalii sio rafiki mfano kupanda mlima Kilimanjaro mtalii mmoja ni usd 1000 . Bila malazi ya hoteli alikoshukia na chakula na unakuja kila mtalii anapanda mlima kea gharama tofauti mwisho watalii wakikutana na kujadiliana wanaomba watanzania ni watu wasio waaminifu...
Ukishusha tozo idadi ya watalii makapuku itaongezeka, sisi tunataka watalii viwango ambao kwao pesa siyo Shidaili kuvutia watalii wa kigeni zaidi, nadhani tozo za kuingia hifadhi ingepunguzwa ili wengi wao waweze kumudu na kuongeza mapato ya nchi.
Tunataka kuongeza kodi ya umiliki wa 'television' kwa kila mwezi kama inavyofanywa katika mataifa yaliyoendelea?Mtaongea yote ila Tanzania Kodi Kodi Kodi ni nyingi mno...
Za kupotea mkuuAlitarajia kukuta kipusa akakuta kipussy......hahahahaha
hakuna anayeelewa,mtalii anajichanga haswa kuja huko kutalii almost mishahara yake miwili au mitatu anateketeza akishakuja arudi tena kufanya nini?hawana utajiri wowote wengi wao wabangaizaji tu,wachache sana matajiriNo one reason ni gharama
Kodi kubwa
Aya ya mwisho mwekundu Detective JUnajua mzungu kutalii kurudia nchi moja mara mbili itachukua muda sana hawezi kuja mwaka huu na mwakan aje tena kwasababu wale huwa wanazunguka nchi nyingi kipindi cha likizo...
Mm nimetembelea mbuga nying sn ila serenget sijawah fika kinachofanya watalii wasirud ni management mbovu mfano ukienda ruaha mapokez ni pa kiswahili vyoo ni vya kiswahili refreshment ndio kabisa uswahili swahili tu afu mbuga kubwa wanyama wachache yaan mnatafuta wanyama kwa mbinde chui .simba ndio balaa hawapatikan kuna haja ya kujenga good management wagen wasipate usumbufu mbuga pekee ambayo angalau niliifurahia ni manyara ipo poa sn japo na penyewe pana changamoto yake ilaa kwa serenget naamin ipo juu maana ndio best of all in africa
Customer Service.Juzi hapa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii alikutana na wafanyakazi wa wizara hiyo katika kujadili masuala ya utalii na changamoto zake alikiri kuwa zaidi ya 80% ya watalii wanaotembelea Tanzania huwa hawarudu tena, wakishakuja mara moja wengi wao huwa hawarudi tena...
Hata kama sijui hapana aisee , kupanda mlima milioni 300 huu utakuwa ni uongo brother1. most places ukishaenda mara moja ukirudi mara mbili inakua sio adventure tena, hata kama ni dubai ukishaenda mara moja ukienda the second time it doesnt add up...