Serikali yakwama ujenzi Mji mpya wa NSSF Dege Eco Village Kigamboni, yatangaza kuuza mradi

Serikali yakwama ujenzi Mji mpya wa NSSF Dege Eco Village Kigamboni, yatangaza kuuza mradi

67f4631c-208a-4f65-bd38-653264149e0c-jpeg.2398468


Watanzania ni watu ambao wanadhani ni aina sheria.


Pension azijiwikezei tu hela zipo regulated on amount ya kuwekeza kwenye mradi na aina ya miradi.

Mradi wowote wa commercial property pension funds airuhusiwi kuwekeza peke yake na ubia wake autakiwi kuzidi asilimia 30% ya capital investment ya mradi wote.

Watu walikuwa hawashimu sheria enzi za dau miradi yake mingi kwanza overpriced halafu NSSF inawekeza capital zaidi ya kile kinachoruhusiwa na serikali. Ata daraja la Kigamboni NSSF aikutakiwa kuwekeza zaidi ya 5%.

Ni hivi Magufuli alikuwa na kazi ngumu sana ya kuirudisha nchi kwenye mstari; hiyo mifuko aliikuta chali na kuanza kuipa uhai.
Jiwe ndio aliua hiyo mifuko ya jamii
 
Jiwe ndio aliua hiyo mifuko ya jamii
Contrary alikuwa akilipa karibu billioni 700 ya madeni kila mwezi na kati ya hizo billioni 100 kama zinaenda mifuko ya jamii.

Na malalamiko yake kuhusu watu kuchezea hela yapo naweza kukuletea hizo hotuba.

Ni hivi kutopenda kwenu kujiongeza na kuwa tayari kulishwa ideologies za kitoto ndio kunawafanya watu wa ovyo wawaongoze.
 
Huu mradi ulisimama baada ya jpm kuingia madarakani majumba yakatelekezwa tu.
Alijaribu kuuhamisha uende Chato ikashindikana.... wamrudishe Dau, waachene na chuki dhidi yake, angalia Kigamboni Bridge.
 
Mbona kama kuna mtu kashaununua ila tunakamilisha ununuzi wake.........
 
Naoana umielewa tofauti sijasema ziuzwe kiholela nilicho kisema uwezo wa WATANZANIA wa kununua upo chini sn kununua nyumba ambazo tayari zimeshajengwa hii miradi ya aina hii imefeli vibaya hapa TANZANIA.

Nenda AVIC TOWN wana mradi kama huu sijui kama hata asilimia 20% ya nyumba wameuza nyumba zipo wazi nyingi na ndio Kabla ya YANGA ipo huko , NHC umeitaja hapo wenyewe kama shirika tu wanapumulia mashine unataka uwape mzigo mwingine siwatakufa kabisa.
Kwa mwendo ulio wazi tusingependa Ziuzwe kiholela, vinginevyo kuna kundi litachukuwa nyumba hizo sawa sawa na bure. Basi ikishindikana ziuzwe kwa bei ya soko.
 
Hapana, JPM alitaka kuwashughulikia walioufisadi bahati mbaya akatutoka. Kwa sasa mafisadi wamerudi na wanataka wajiuzie wao ili waendeleze kunufaika hao mafisadi
Mengine tuache kusingizia kifo, tangu 2016 mpaka anaondoka 2021 hao mafisadi, alikuwa hawaoni?
 
mbona kama kuna mtu kashaununua ila tunakamilisha ununuzi wake.........
Sasa kuna shida gani mtu akinunua?, Nssf wanachohitaji ni pesa yao irudi ili wawekeze kwingine kuliko na faida,, hivyo ndo biashara hufanyika duniani kote,, au mlitaka hayo majengo tuyafanye shule ya kata labda? 🤷🏻‍♂️😲
 
Kwa mwendo ulio wazi tusingependa siuzwe kiholela,vinginevyo kuna kundi litachukuwa nyumba hizo sawa sawa na bure.Basi ikishindikana ziuzwe kwa bei ya soko.
Ziuzwe kiholela vipi babu?, Kwani hao NSSF hawana wana mahesabu hadi wauze ksa hasara..
Vilevile hasara ni sehemu ya biashara,, hata yahoo, au aramco, au google inaweza kuuzwa kwa hasara iwapo wenye mali wanaona imekua inaleta hasara kuliko faida,
Duniani kote biashara, uwekezaji unafanyika hivyo
 
Kwa hiyo ni eco homes hizo
Hebu wekeni ubora wake basi ni kama mradi wa Saudia ama [emoji1] [emoji1787]
 
Roho mbaya ya MAGU ndio faida yake hii
Au magu angegawa tena kwa hawara
 
Kuna kipindi fulani around mwaka 2016 au 2017 makampuni ya kupiga mnada (kama sio Majembe basi ni Yono) walitangaza kupewa dhamana ya kuyapiga mnada hayo majengo ya Kigamboni Dege project NSSF, kuna clip ilikuwa ikisambaa mitandaoni kipindi kile ikimuonyesha yule mama ya kupiga mnada akipiga promo wateja waje kuyanunua.
Sasa nini kilitokea?
Je, yaliuzwa au yalikosa mnunuzi?
Je, ule mpango ulisitishwa?
Kile na hichi cha sasa kina uhusiano gani?
 
Kuna kipindi fulani around mwaka 2016 au 2017 makampuni ya kupiga mnada (kama sio Majembe basi ni Yono) walitangaza kupewa dhamana ya kuyapiga mnada hayo majengo ya Kigamboni Dege project NSSF, kuna clip ilikuwa ikisambaa mitandaoni kipindi kile ikimuonyesha yule mama ya kupiga mnada akipiga promo wateja waje kuyanunua.
Sasa nini kilitokea?
Je, yaliuzwa au yalikosa mnunuzi?
Je, ule mpango ulisitishwa?
Kile na hichi cha sasa kina uhusiano gani?
Kwa hii nchi hakuna mtu ataweza kununua hayo
 
Ziuzwe kiholela vipi babu?, Kwani hao NSSF hawana wana mahesabu hadi wauze ksa hasara..
Vilevile hasara ni sehemu ya biashara,, hata yahoo, au aramco, au google inaweza kuuzwa kwa hasara iwapo wenye mali wanaona imekua inaleta hasara kuliko faida,
Duniani kote biashara, uwekezaji unafanyika hivyo
Kama wangejua hesabu wasingekuwa katika hali hii, pili hata kama wanajua hesabu hawana uhuru wa kujiamulia mambo yao bila kuingiliwa na external forces.

Tatu waliambiwa walime miwa wakatenga pesa ya ujenzi wa mtambo 6 mil usd, yasemekana pesa walipewa Tanroad wawanunulie mtambo huo, na hela imeyeyuka.

Nne waliingia mkataba wa mradi na kampuni iliyokuwa haina sifa yoyote zaidi ya kufyonza pesa za taasisi.
Kuna siku waliamka asubuhi wakasikia mjomba Magu ameunganisha mifuko yote!! Just like that.

Ufanisi watautoa wapi katika hali ya kubadilisha bodi na manejimenti kama vitumbua ndani ya karai yenye mafuta moto?

Their not good enough to handle the project
 
Back
Top Bottom