Serikali yakwama ujenzi Mji mpya wa NSSF Dege Eco Village Kigamboni, yatangaza kuuza mradi

Ushaambiwa baada ya kuingia awamu ya tano, mwendazake aliamini kutokana na maneno ya wanasiasa kuwa huo mradi ulikuwa hauna maana,, huo na ule wa gesi mtwara, kwahiyo nadhani hakuwa na nia ya kuendelea nao,,
Ushaambiwa mbia wa mradi mr Akbar ambae pengine labda angeleta wawekezaji, alipatikana na muhaho na nadhani nae akaloose interest😇🙆🏻‍♀️,
Yaani wapinzani wametucost sana,, saa hizi tungekua tunauzwa gesi europe na kuingiza matrilioni ya dola😂
 
Sasa mkuu tangu lini TANROAD ikahusika na mitambo ya sukari? 😄,
Tanroad wao waulize ishu za lami, kokoto, katapila, excavators, etc
 
Mtu wa kulaumiwa katika hili kwa sehemu kubwa ni Magufuli. Ni yeye aliyesitisha mwendelezo wake (kutokana na tuhuma za ufisadi) lakini akakosa njia mbadala ya kuhitimisha hilo, hivyo akayaacha magofu.
 
Si ni mpaka irudi sasa Boss 🤣.... tufanye itarudi kama lilivyo lengo.
 
Sawa sasa waliofuja zile bilioni imekuwaje?!
 
Kuna ka ukweli flani
 
Haya ni Ya Wastaafu. Ndio kisa wameamua kuwapa Wazee Mafao ya Kikokotooo. Wanawekeza fedha zao hazirudi, wanaamua kuwapunja Mafao Yao ya mkupuo Ili kuficha madudu haya kuwekeza bila Faida.
 
Sasa mkuu tangu lini TANROAD ikahusika na mitambo ya sukari? 😄,
Tanroad wao waulize ishu za lami, kokoto, katapila, excavators, etc
Matatizo juu ya matatizo. Hiyo ndio Bongoland.
 
Serikali haifilisiki kirahisi hivyo, kila siku vyanzo vya mapato vinaongezeka, haiwezi kushindwa kulipa wastaafu mafao stahiki, japo inaweza tokea kuchelewa kwa baadhi ya watu kwasababu fulani fulani, mifuko ya hifadhi za jamii huwekeza pesa na hata kununua bond za Serikali, huwezi kuacha mabilioni benki yamelala tu, ni hasara
Haya ni Ya Wastaafu. Ndio kisa wameamua kuwapa Wazee Mafao ya Kikokotooo. Wanawekeza fedha zao hazirudi, wanaamua kuwpunja Mafao Yao ya mkupuo Ili kuficha madudu haya kuwekeza bila Faida.
 
si nimpaka irudi sasa Boss 🤣.... tufanye itarudi kama lilivyo lengo.
Itarudi hata kama si kwa kiwango kile, inaweza kuzidi au kupungua,, kiufupi mifuko ya jamii isipowekeza, pesa zikakaa tu bank, ni hasara kubwa sana, duniani kote mifuko ya jamii ina invest na hata kuikopa Serikali kwa kununua bond.
 
Gas ipi mkuu? Ile iliyowekewa bondi kisa Rizmoko?
 
Gas hipi mkuu? Ile iliyowekewa bondi kisa Rizmoko?
Ndio wapinzani walivumisha huo uongo eti gesi ya Mtwara ishauzwa China, mwendazake nae akaamini hivyo, matokeo yake mradi ukaishia njiani🤷🏼‍♂️, saa hii tungekuwa na gesi refinery tayari tusingekuwa tunahangaika kuagiza gesi ya kupikia nje ya nchi.
 
Project ya Gas haikukwama kwasabbu hiyo ila Magufuli na Serikali yake hawakuridhika na Proposal ya mwekezaji wa LNG, sawa na mradi wa Bandari ya Bagamoyo tu hivyo ulisimama huku wakimshinikiza Mwekezaji asijipendelee yeye kuliko nchi.
 
Project ya Gas haikukwama kwasabbu hivo ila Magufuli na Serikali yake hawakulidhika na Proposal ya mwekezaji wa LNG, sawa na mradi wa Bandari ya Bagamoyo tu hivo ulisimama huku wakimshinikiza Mwekezaji asijipendelee yeye kuliko nchi.
Wale wanakuja na capital, wanakuja na mitambo, wanakuja na technology yao, bado TPDC walipewa partinership, sikumbuki kwa asilimia ngapi, lakini ilikuwa fair.

Kilichotokea majungu na siasa zikaingilia kati,
Hakuna wapinzani hasa wa bongoland watafurahia kuona Serikali inafanikisha jambo, kitu ambacho kita influence wananchi kwenye sanduku la kura🤷🏾‍♂️
 
Unataka kuwabebesha zigo wapinzani. Si ilikuwa inasemwa kwamba jamaa ana akili sana? Ilikuwaje kuambiwa jambo lisilo la kweli halafu akaliamini?

Kuna bandiko humu la Pascal Mayalla kuhusu mkopo wa Gesi kwamba tutalipa asilimia 20 za utangulizi na 80 italipwa kwa miaka 80 kila mwaka asilimia moja na hapo deni halisi halijalipwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…