Naomba nipewe namba ya huyo mrembo anastazia, pia nipewe email yake, na twitter yake, nataka nimuoe haraka inavyowezekana, nawasilisha
 
Nchi haina hela inataka kuhuisha huisha vitu , uliona wapi ?
 
Nadhani sio sahihi.
Watu hubadilika sura, dini, kazi, mahali
Elimu

Lengo la Renew ni ili kuona mabadiliko ndani ya miaka 10, hii itawasaidia serikali kujua kina nani wamekufa na nani wako hai.

Serikali imekosea
 
wamefanya makosa sana.
ili litakuja kugarimu pale unashida kurudisha kitambulisho au wanaotaka kutumia kitambulisho kwa ajili ya kulizisha kuwa ni wewe.

dini unaweza kubadilisha au ubini. Makazi mpaka leo kuna watu wanapanga na wamesajili sio sehemu kwa sasa wanpoishi mwisho wa siku kurudisha taarifa zako utaulizo zile taarifa.
 
 
Mi huwa sielewe hata umuhimu wake.

Wangetujaza passport tu basi. Tangu watu waamepewa vile vya kwanza hadi leo hawajawahi kuvitumia .
 
Bora kitambulisho cha taifa kiwe cha milele
Lakini uhai hapa duniani sio milele!

Ningeombwa ushauri, ningependekeza kuwa Vitambulisho viendelee kuna na ukomo, lakini kanzi data iunganishwe na ya vizazi na vifo.

Vitambulisho vinavyoisha muda viwe "renewed automatically" baada ya kuhakiki kuwa mwenye kitambulisho yuko hai. Mwenye Kitambulisho atumiwe ujumbe kuwa kiko tayari kwa kuchukuliwa. Kama shida ni malipo, basi kusiwe na ada.
 
Hapa ndio utaona watu wa serikali hawatumii akili au wanaweka mazingira ya kupiga. Waliweka muda wa nini kama sio kueleta gharama zisizo za msingi
 
Watoe pi na ukomo wa wa leseni za udereva
 
kuna mwanadada alikua akitumia mkorogo alipiga picha ya Nida akiwa mweupe pe kama mzungu,punde akaacha mkorogo akarudi kua cheusi mangarama.

je'nida wanaweza kumkubalia kurudia picha ili aweke ya sasa akiwa cheusi mangala,maana anadai akitoa kitambulisho kwenye michongo yake ya kazi uko wanamkataa katakata wanasema sio yeye awaonyeshe nida yake.
 


Utaratibu wa ukomo ni kwasabu hizi Picha inatakiwa kupigwa mpya. Lakini na vitu kama anwani za makazi lakini namba ya NIDA haitakiwi kubadilika.
 
Pambana na namba ya NIDA tu hakuna msaada mwingine. Si mlituonaga mabwege sisi wa mwanzoni tulipokuwa tunavifuatilia nyie mkauchuna
Hapana sikuzembea. Niliandikisha kipindi cha mwanzo kabisa. Namba ninayo..
 
Wananchi wanapitia hali ngumu Sana ya maisha halafu mkuja na short stories kuwa serikali imefuta sijui ujinga gani!. Wakati mnaweka ukomo mlifikiria nn na Sana mmefikiria nn kuondoa ukomo?.
Wamebadili gia angani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…