Sawa sasa ulishindwaje kupata kitambulisho na wewe? Maan hakuna wa mwanzoni mwa hili zoezi alikosa kitambulisho
Wa mwanzoni kabisa labda kwenye mashirika huko. Ilipokuja zamu ya kuandikisha huku kwetu nikaenda sikupoteza muda.
 
Gazeti la serikali ni lipi?
 
Vitambulisho kuwa na ukomo ilikuwa ni sheria,au kanuni?..
Tunaishi kwa matamko
 
Gazeti la serikali ni lipi?
Ndiyo nyaraka rasmi ya kutangaza taarifa rasmi za serikali kama sheria, kanuni, ajira, majina ya waajiriwa, kupandisha vyeo serikalini, mabadiliko yo yote katika serikali nk. Gazeti la serikali (Government Gazette) linachapishwa kwa lugha ya kiingereza na kiswahili. Gazeti hili linachapwa na mpiga chapa wa serikali na linapatikana katika ofisi za umma.

Gazeti la serikali ni kwa ajili ya matumizi ya serikali tofauti na Habari Leo au Daily News ambayo ni kwa matumizi ya wananchi.
 
Jina lake hlo gazeti la serikali ni lipi? Au ndo hvyo jina lake ni Gazeti la serikali ? Leo nilikuwa ofsi ya mkuu wa wilaya ubungo pale mapokezi sijaliona hlo gazeti, ofsi za Uma hzo huwa ni zipi mana hata TRA tuu pale Kimara huwa silioni ..... Taarifa mhimu kama hzo waende broadcast waachane na analog kichaka cha upigaji
 
Imesikia kikio cha wananchi au wameona ngoma ngumu watachemka kabisa..
 
Bado ni upigaji vitambulisho kupata ninda mpaka uonge ndo upate namba. Afu usitaje shida dooh bongo
 
Linaitwa Gazeti la Serikali kwa kiingereza Government Gazette.

Ni kweli usingeweza kuliona kwa sababu mara nyingine haliwekwi wazi kwa matumizi ya kila raia. Lakini ungeliomba wangekupatia ila inakuwa vizuri unapoliomba ujue namba ya gazeti unalohitaji, tarehe na mwezi.
 
bora wangesema namba za nida wengi hatuna vitambulisho mbona
 
ni maamuzi ambayo hajazingatia vigezo.
kuna watu kuhama kubadili ubini na zaidi kufariki. sasa wao watajuaje hayo yoye kama hakuna ku renewl? au mtu akibadili ubini aende Nida je akifariki watajuaje?
 
ni maamuzi ambayo hajazingatia vigezo.
kuna watu kuhama kubadili ubini na zaidi kufariki. sasa wao watajuaje hayo yoye kama hakuna ku renewl? au mtu akibadili ubini aende Nida je akifariki watajuaje?
Kungekuwa na ufanisi serikalini ku-renew ingekuwa muhimu lakini kwa hali ilivyo sasa itakuwa mzigo mzito sana kwa serikali.
 
Hapo ndo majanga na ile mashine ya chuga haijawai semekana ilipo hapo wasomali tuwategemee kuwa tz kwa wingi
 
Serikali imefuta Ukomo wa Muda wa Matumizi ya Kitambulisho cha Taifa (NIDA) kwa Watanzania wote, na kuzitaka taasisi na Mashirika yote yanayotumia utambulisho huo kuendelea kuvitumia bila kuangalia muda wake wa kuisha.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…