Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Eeeenh😂😂😂sijawahi kuona hvi vitabu. Mm nikasubiri wataje labda hawa the bus driver, au kile Chand😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mila, desturi na tamaduni za Tanzania sio sheria...
*Suitors1. Hawa the Bus Driver vipi hajakizungumzia?
2. Mabala the Farmer je?
3. Kile cha Three sweeters one Husband amekizungumziaje?
Ndugu yangu una evidence yoyote ya kuhusisha dini ya watu na hayo?Vinatolewa bure na mashiroka ya magharibu hususani kutoka Marekani, wengi kujifanya watumishi wa kikuristo wanatoa kama msaada, kagueni ma begi yawatoto wenu, wasiongie kwenye hilo dimbwi la ushoga
Wewe unateseka na hisia za kidini sio jingine, sijasema kwamba ni wakristo ila wanatumia ukristu kufikia wa lengwa wao.Ndugu yangu una evidence yoyote ya kuhusisha dini ya watu na hayo?
😑😑Hivi vitabu Ni janga wakuu,
Tusilete siasa ktk malezi ya taifa la keshoView attachment 2516421View attachment 2516422
Hivi vitabu vipo huko IST 20 years ago! Ila bora tumeshtuka!!Hivi vitabu Ni janga wakuu,
Tusilete siasa ktk malezi ya taifa la keshoView attachment 2516421View attachment 2516422
Aisee...mbona kama mamlaka imechelewa sana kufanya maamuzi.Hivi vitabu Ni janga wakuu,
Tusilete siasa ktk malezi ya taifa la keshoView attachment 2516421View attachment 2516422
Mkuu,Hivi vitabu Ni janga wakuu,
Tusilete siasa ktk malezi ya taifa la keshoView attachment 2516421View attachment 2516422
Nimetumia kilatino*Suitors
Haina maudhui ya ushoga wala nini ila tu labda ni ukorofi na utukutu ambapo mtoto anaweza ku absorb vitu anavyoviona au anavyovisoma akidhani labda bullying ni sawa n.k,Icho kitabu cha Dairy of Wimpy Kid kina movie yake sio mara moja nilisha ona inaoneshwa MBC 2 ana MBC Action kwenye vingamuzi vya azam, sijapata mda wa kuangalia sijajua ina maudhui gani
Lakini bado hujanijibu swali, vipo Library au kwenye Syllabus?Vinatolewa bure na mashirika ya magharibu hususani kutoka Marekani, wengi kujifanya watumishi wa kikuristo wanatoa kama msaada, kagueni ma begi yawatoto wenu, wasiengie kwenye hilo dimbwi la ushoga
Achaga Upuuzi kutetea UjingaMila, desturi na tamaduni za Tanzania sio sheria.
Marufuku ya Waziri pia sio sheria.
Nchi inapaswa kuongozwa na utawala wa sheria.
Tunataka sheria.
HayasomiSerikali ya Tanzania imeingia mkenge kukubali fake news ya "Diary of a Wimpy Kid" kilichobadilishwa na wahafidhina na kusambazwa Whatsapp...
Puhleeezz!!!Vilikua kwenye Syllabus au Library?