Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Kwani hao waliopitisha hivyo vitabu wanasemaje? Nchi hii haieleweki wenye vitabu vyao wanaweza wakakimbilia mahakamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu anatetea huu ujinga?tena vilitakiwa vichomwe moto hadharani kama wanavyochoma vipodozi fekiHivi vitabu Ni janga wakuu,
Tusilete siasa ktk malezi ya taifa la kesho.
View attachment 2516421View attachment 2516422
Nitumie namba yako nikuoe visehemu tu vya hard copiesMwenye softcopy atuwekee hapa tusome hivyo vitabu ili tujue yaliyomo.
Umetuma vitu gani hivyo sasa 😂kingine Kiranga
Nakwambia Wizara imeingizwa mkenge kama wengi humu walivyoingizwa, na kwa kua WaTz kusoma sio shida zetu watapita humo humo bila kutafuta uhakika wa hivyo vitabuNimepitia vitabu 2 hadi sasa, sijaona chochote kibaya zaidi ya story tu.
gays mmechefukwa na kupanicFake news unaelewa iko wapi?
Wewe ushawahi kuvisoma? Huvitaki kwa nini?
Siku hizi watu wana download vitabu mitandaoni, wanasoma kwenye tablets.
Huko nako utazuia?
Utazuia na internet nayo watu wasisome websites na blogs usizotaka?
Sasa nimeelewa upo upande kwenye uzi fulani ulimtetea sana kiongozi wenu wasabato kuvaa sketi.Hata ukimuomba mtoa mada akupe alipopiga picha hana
Waarabu ilikotoka dini yenu ndio wafiraji, magharibi wanaiga toka uarabuniVinatolewa bure na mashirika ya magharibu hususani kutoka Marekani, wengi kujifanya watumishi wa kikuristo wanatoa kama msaada, kagueni ma begi yawatoto wenu, wasiengie kwenye hilo dimbwi la ushoga
Weka uthibitisho wa usemacho na huko kumtetea leta uthibitisho.Sasa nimeelewa upo upande kwenye uzi fulani ulimtetea sana kiongozi wenu wasabato kuvaa sketi.
Sawa mada imeletwa bila ushahidi..context yangu ni kwamba nimeelewa wewe ni mtu wa upande upi.Weka uthibitisho wa usemacho na huko kumtetea leta uthibitisho.
We kama umesoma watakiwa fanya utafiti wa kina kuhusu hilo jambo na sio unaambiwa nawe wakubali
Mkuu mbona unahisia kali za udini? Hapa tunaongelea mambo ya maadili, mimi sijaongelea dini hapa, hao wa mashoga sio wa kristo ila wana camouflage kama watumishi wa hiyo dini kupata wafuasi haraka ndo nilio andika.Waarabu ilikotoka dini yenu ndio wafiraji, magharibi wanaiga toka uarabuni
soft copy ya hivyo vitabuUmetuma vitu gani hivyo sasa 😂
umeingiza ukristo katika andiko lako la mwanzo. take care of the those sensitive issues!Mkuu mbona unahisia kali za udini? Hapa tunaongelea mambo ya maadili, mimi sijaongelea dini hapa, hao wa mashoga sio wa kristo ila wana camouflage kama watumishi wa hiyo dini kupata wafuasi haraka ndo nilio andika.
MhHivyo vitambu vitakuwa
IST
ISM
HOPAC
St C
DIA
Nimejaribu google ila sijaona sehemu kama kina maudhui tajwa.
Kama kuna mzazi ana ushahidi aweke hapa tuone, sio wa karatasi moja bali achukue video
Hebu angalia tenasoft copy ya hivyo vitabu
Wanapita wakiwa bar na pombe Kali unatarajia nini. Nchii hii ambaye anafanya kazi yake akiwa hajalewa pombe ni walimu wetu tu. Lkn hata paroko wanalewa matiti na sketi za waumini waoHv kabla ya kukubali kupitishwa (vitumike kwenye shule zetu) huwa hawavisomi hao viongozi wetu!
Umeona Kuna wazo lake lolote hapo Mkuu? Amequote Kila kitu toka Kwa Waziri kisha akasaini chini, kwisha.Katika historia ya JF leo ndiyo umeandika something of the sort.........
Hivi vitabu Ni janga wakuu,
Tusilete siasa ktk malezi ya taifa la kesho.
View attachment 2516421View attachment 2516422