Serikali yapiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vikiwemo Wimpy Kid ili kulinda mila, desturi na tamaduni za Kitanzania

Namhakikishia prof kuwa sasa ndio amevitangaza viatsomwa sana
 
Hatunaga ueredi sie hata kidogo
 
Sasa unalalamika nini!? Serikali ndo umeanza kuchukua hatua, suburi na hizo nyanja nyingine huenda zikaguswa. Tuache kulalamika ovyo
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda leo February 13, 2023 kwa Mamlaka aliyopewa chini ya kifungu cha 59 cha sheria ya Elimu Sura 353 amepiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vya ziada katika Shule za umma na binafsi nchini...
Wazungu watu washenzi sana. Yani wanalazimisha na kutumia kila mbinu ilimradi waone watu wanakua mashoga.
 
Dunia haieendeshwi na topics nyoronyoro kama ulizotaja hapo. Hizo ni fantacy
 
Kwani si kuna mtu kaweka ushahidi wa kurasa juu hapo.
 
Watanzania wakurupukaji na hawataki fanya tafiti.
Hivyo vitabu vyote ukisoma havina malengo hayo...
Hata uki google search wimpy kid, gayism hutapata matokeo yoyote yale
 
Wazungu watu washenzi sana. Yani wanalazimisha na kutumia kila mbinu ilimradi waone watu wanakua mashoga.
Mbaya zaidi mengi yanayofanyika yanaonekana kama fashion. Mfano uvaaji wa hereni kwa watoto wa kiume, kujichubua ngozi, kuimba imba kwa sauti za kike zenye kulalamika (nazungumzia bongo flavour)

Utamsikia mtoto wa kiume anaimba analalamika hadi unajiuliza huyu ni wa kiume kweli? Na vile walivyo ndio mashaka yanaongezeka!
 
SIvijui hivyo wimp kid ila 14,15 na 16 kweli walimu wanawafundishia wanafunzi? Like seriously??
Kuna vitabu vya kufundishia madarasani.
Hivi vingine unavikuta kwenye library za shule na wanafunzi huazima kwenda kusoma majumbani kwao na kuvirejesha.
 
Au mimi macho yangu hayaoni vizuri?
Shida iko wapi kwenye hicho kitabu?
Mashoga (wanaume) mmoja akijifanya Mama na mwingine baba wakishindiliana mboo mkunduni huku wakilea mtoto kamą baba na Mama japo wote wanaume. Hii ni sawa kwako?
 
Sasa unalalamika nini!? Serikali ndo umeanza kuchukua hatua, suburi na hizo nyanja nyingine huenda zikaguswa. Tuache kulalamika ovyo
Nyie ndio hamjitambui, Dunia ya Sasa content 80% ipo Mitandaoni badala mbane huko na media za bongofleva mko busy na mavitabu ambayo yanasomwa IST pekee sio kayumba. Hivi mnajitambua kweli?
 
Tanzania ndio nchi pekee inasubiri vitu kuingia vishalipa kodi na takataka kisha ndio vinakatazwa.

Ulaya mzigo wako unaishia bandarini
Sio kweli bwashee, Huawei iliingia USA miaka shazi na baadae ikala ban, Tiktok vivyo hivyo na mengine mengi tu…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…