Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

Status
Not open for further replies.
Na kesho tunaenda bagamoyo kwa azam sea link nauli 2500 sasa sijui kama wamesutisha au ndo tunaenda kuzindua
 
Kwa hili naipongeza serikali ya Magu
Wachina wangeithibit bandari ya bagamoyo for 40 yrs,
Wangefanya hujuma sana kwenye bandari ya Dar na Tanga ili mizigo mingi ipite kwao

Wao wanajenga hawadhibiti, kama unashindwa kudhibiti ni wewe si kazi yao hiyo.
 
Kipindi cha jamaa wa kule ilikoelekea njia iliyokata kulia pale Msolwa,Ilikua miaka kumi ya mavuno kwa manyang'au wa dunia na makuwadi wao wa hapa nchini.
 
Bei ya ardhi Bagamoyo itashuka sasa

Hapana itaendelea kupaa.

Hizi pwani zimebarikiwa huwezi kushindana nazo hata chembe. Ukiiua bandari utakuta kuna mafuta na mi gas ya kufa mtu.

Hapo sasa.
 
Nionavyo mimi...hoja nyingi ni one way trafic....! Hebu tutumie two way trafic tuone inakuwaje hasa!
 
Hizi legacy za kulazimisha zitatufikisha pabaya ooohoo .......asante magu
 
Hii project haikuwa ya kujenga bandari tu...bali ni pamoja na kuboresha eneo la viwanda vya processing ili tuuze bidhaa nje.
Ahadi ya Magufuli ni Tanzania ya viwanda sasa kama mradi unaohusiana na viwanda unakatwa na sisi tunaanza kuchekelea eti Mkwere anakomolewa basi watanzania wana Tatizo kubwa la udumavu wa akili.

Tusijadili kwa chuki dhidi ya mkwere bali tujadili kwa utaalamu
 
Last edited:
The Construction of the 10 billion (about Sh22 trillion) Bagamoyo Port has been suspended, The Citizen has learnt. The government wants to focus instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Mtwara and Dar es Salaam ports.

The Minister for Works, Transport and Communications, Prof. Makame Mbarawa, confirmed yesterday that the construction of what would be the largest port in Africa has been suspended, not shelved to pave way for upgrading berths 13 and 14 as well as developing the Mtwara Port depending on the availability of Funds. The activities would take years to complete, the minister said because the process has to start from finding funding.


Source: THE CITIZEN
View attachment 315504
Habari za faraja sana hizi japo team JK wanatotoa povu sana hapa
 
Kama kweli hii habari ni ya kweli, itakuwa ni faraja kubwa kwa watanzania bila kujali itikadi au vyama vya Siasa. Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ulikuwa hauna tija yoyote kwa Taifa na badala yake ilikuwa ni maslahi binafsi ya JK na kundi lake ambalo majority of them wamenunua mashamba Wilaya ya Bagamoyo ili kufaidika na uwekezaji huo. Kimsingi ujenzi wa bandari hii ungeigharimu nchi mamilion ya shilingi ambazo kwa mtazamo wangu zingetosha kuziboresha bandari za Tanga, Mtwara na Dar-es-Salaam.

Baada ya kuzuia ujenzi huu, naishauri serikali ya JPM kuimarisha bandari zilizopo na ili kutake advantage ya land locked countries serikali ifikirie kujenga reli toka bandari ya Mtwara to Bambay ili kusave Malawi na pia reli hiyo iextend kuungana na Tazara ili kusave nchi za Zambia, DRC and Zimbabwe somehow. Pia kwa upande wa Bandari ya Tanga kunahitajik reli itakayo kwenda mpaka Mwanza ili kusave Uganda, Burundi na Rwanda. Kwa kuimarisha Bandari ya Tanga tutakuwa strategically tuna weaken Bandari ya Mombasa at the same time kutaiwezesha Bandari ya Dar-es-Salaam kuwa moja ya Bandari kubwa kabisa katika ukanda wetu wa nchi za maziwa makuu! We need to think positive kama hivi sio kama kina Faiza Foxy wenye maslahi na Mkwere na sasa JPM anamkamua majipu yake mkwere!
seems to be a very smart guy. .nakubaliana na suggestions zako 100 percent..reli ujenge ya standard gauge from Tanga ipite arusha mpaka singida I kutana na reli ya dar -mwanza-kigoma same as ile bandari ya Mtwara
 
HAKIKA hii habarii ni njema sanaa sanaa..

Serkali ya JPM IBARIKIWE, tunashkuru sana sanaa..
 
...mimi pia nikipendelea na nikidhani hivo, lkn usanifu ulionesha kuwa ni bagamoyo tu, ndipo pana mazingira ambayo kitaalam yanatoa fursa ya ujenzi wa bandari kubwa na ya kisasa, huku bandari zingine zote zikiwa zina mapungufu ya aina moja au ingine, ktk mazingira ya ujenzi wa bandari kubwa....
hakuna usanifu pale

Ila ilikuwa ni kuipendelea bagamoyo...kwa maslahi binafsi...najua unayajua
 
Kuan haja sasa mikataba mingi iwekwe wazi. Maana huu mradi nakumbuka ilisemwa kuwa wachina wanafund 100% isipokuwa Tanzania itoe ardhi... Na pia mkataba ulizuia uendelezwaji fulani wa bandari ya Dar es Salaam...
 
Watanzania tuna safari ndefu sana-- siumi maneno, this's MISTAKE! Nitarudia tena na tena, hapa serikali ya Magufuri itakuwa inakosea sana! Bandari ni zaidi ya meli kufunga gati bali container terminals! Bandari zote duniani zinapimwa kwa uwezo wake wa kuhudumia makoentena. Dar es salaam hakuna eneo linaloweza kutufikisha miaka 50 ijayo! Sisi watu wa Kurasini tunaifahamu vizuri hii! Kurasini ya miaka ya 80 sio ya miaka ya 90 na Kurasini ya miaka ya 90 sio ya miaka 2000! Kurasini yote imeisha kwa ajili ya Bandari na sooner or later watahamia Mtoni manake hata Mivinjeni nayo imebaki historia!

Pamoja na Kurasini na Mivinjeni ku-RIP lakini bado bandari ya Dar es salaam haipokei mzigo mwingi wa angalau kulinganisha na Mombasa. Pamoja na Mombasa kupokea mzigo mwingi kuliko sisi lakini nao wameshaona bandari ya Mombasa haitawafikisha miaka 50 ijayo na ndo maana wanaanzisha grand project kule Lamu! Kama lengo la serikali ni kuipanua zaidi bandari ya Dar es salaam basi wafanye declaration kabisa kwamba Temeke yote iwe ni eneo la bandari ya Dar es salaam!!

Kwamba waimarishe bandari ya Mtwara hii ni mistake nyingine! Unless kama tunadanganywa kuhusu gas boom huko Lindi na Mtwara lakini kama ni kweli basi itakuwa taabu sana siku za usoni kuifanya bandari ya Mtwara kuwa multi-purpose... yaani ku-accommodate gas and petroleum shipping lines together with other cargo shipping lines. Sehemu nyingi duniani, bandari zinazo-accomodate meli za mafuta zinakuwa na separate habors coz' ile mimeli ni mikubwa mno!

At least ningewaelewa kama wangesema mradi wanauhamishia Tanga lakini Dar es salaam au Mtwara... hili ni kosa la kiufundi!
 
The Construction of the 10 billion (about Sh22 trillion) Bagamoyo Port has been suspended, The Citizen has learnt. The government wants to focus instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Mtwara and Dar es Salaam ports.

The Minister for Works, Transport and Communications, Prof. Makame Mbarawa, confirmed yesterday that the construction of what would be the largest port in Africa has been suspended, not shelved to pave way for upgrading berths 13 and 14 as well as developing the Mtwara Port depending on the availability of Funds. The activities would take years to complete, the minister said because the process has to start from finding funding.


Source: THE CITIZEN
View attachment 315504
Hayo ndio maamuzi yanayompaisha Mhe Maghufuli. Aende tu polepole na hili la walala hoi wa mabondeni and for sure tutamsujudu.
 
The Construction of the 10 billion (about Sh22 trillion) Bagamoyo Port has been suspended, The Citizen has learnt. The government wants to focus instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Mtwara and Dar es Salaam ports.

The Minister for Works, Transport and Communications, Prof. Makame Mbarawa, confirmed yesterday that the construction of what would be the largest port in Africa has been suspended, not shelved to pave way for upgrading berths 13 and 14 as well as developing the Mtwara Port depending on the availability of Funds. The activities would take years to complete, the minister said because the process has to start from finding funding.


Source: THE CITIZEN
View attachment 315504
Alleluya!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom