Kwa hili naipongeza serikali ya MaguHizo zilizolala ziamshwe...hapa unaongelea bandari ya kisasa zaidi ya DAR
Wachina wangeithibit bandari ya bagamoyo for 40 yrs,
Wangefanya hujuma sana kwenye bandari ya Dar na Tanga ili mizigo mingi ipite kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hili naipongeza serikali ya MaguHizo zilizolala ziamshwe...hapa unaongelea bandari ya kisasa zaidi ya DAR
Kwa hili naipongeza serikali ya Magu
Wachina wangeithibit bandari ya bagamoyo for 40 yrs,
Wangefanya hujuma sana kwenye bandari ya Dar na Tanga ili mizigo mingi ipite kwao
Bei ya ardhi Bagamoyo itashuka sasa
Magufuli kapotoshwa na wenye wivu
Habari za faraja sana hizi japo team JK wanatotoa povu sana hapaThe Construction of the 10 billion (about Sh22 trillion) Bagamoyo Port has been suspended, The Citizen has learnt. The government wants to focus instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Mtwara and Dar es Salaam ports.
The Minister for Works, Transport and Communications, Prof. Makame Mbarawa, confirmed yesterday that the construction of what would be the largest port in Africa has been suspended, not shelved to pave way for upgrading berths 13 and 14 as well as developing the Mtwara Port depending on the availability of Funds. The activities would take years to complete, the minister said because the process has to start from finding funding.
Source: THE CITIZEN
View attachment 315504
seems to be a very smart guy. .nakubaliana na suggestions zako 100 percent..reli ujenge ya standard gauge from Tanga ipite arusha mpaka singida I kutana na reli ya dar -mwanza-kigoma same as ile bandari ya MtwaraKama kweli hii habari ni ya kweli, itakuwa ni faraja kubwa kwa watanzania bila kujali itikadi au vyama vya Siasa. Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ulikuwa hauna tija yoyote kwa Taifa na badala yake ilikuwa ni maslahi binafsi ya JK na kundi lake ambalo majority of them wamenunua mashamba Wilaya ya Bagamoyo ili kufaidika na uwekezaji huo. Kimsingi ujenzi wa bandari hii ungeigharimu nchi mamilion ya shilingi ambazo kwa mtazamo wangu zingetosha kuziboresha bandari za Tanga, Mtwara na Dar-es-Salaam.
Baada ya kuzuia ujenzi huu, naishauri serikali ya JPM kuimarisha bandari zilizopo na ili kutake advantage ya land locked countries serikali ifikirie kujenga reli toka bandari ya Mtwara to Bambay ili kusave Malawi na pia reli hiyo iextend kuungana na Tazara ili kusave nchi za Zambia, DRC and Zimbabwe somehow. Pia kwa upande wa Bandari ya Tanga kunahitajik reli itakayo kwenda mpaka Mwanza ili kusave Uganda, Burundi na Rwanda. Kwa kuimarisha Bandari ya Tanga tutakuwa strategically tuna weaken Bandari ya Mombasa at the same time kutaiwezesha Bandari ya Dar-es-Salaam kuwa moja ya Bandari kubwa kabisa katika ukanda wetu wa nchi za maziwa makuu! We need to think positive kama hivi sio kama kina Faiza Foxy wenye maslahi na Mkwere na sasa JPM anamkamua majipu yake mkwere!
hakuna usanifu pale...mimi pia nikipendelea na nikidhani hivo, lkn usanifu ulionesha kuwa ni bagamoyo tu, ndipo pana mazingira ambayo kitaalam yanatoa fursa ya ujenzi wa bandari kubwa na ya kisasa, huku bandari zingine zote zikiwa zina mapungufu ya aina moja au ingine, ktk mazingira ya ujenzi wa bandari kubwa....
Hayo ndio maamuzi yanayompaisha Mhe Maghufuli. Aende tu polepole na hili la walala hoi wa mabondeni and for sure tutamsujudu.The Construction of the 10 billion (about Sh22 trillion) Bagamoyo Port has been suspended, The Citizen has learnt. The government wants to focus instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Mtwara and Dar es Salaam ports.
The Minister for Works, Transport and Communications, Prof. Makame Mbarawa, confirmed yesterday that the construction of what would be the largest port in Africa has been suspended, not shelved to pave way for upgrading berths 13 and 14 as well as developing the Mtwara Port depending on the availability of Funds. The activities would take years to complete, the minister said because the process has to start from finding funding.
Source: THE CITIZEN
View attachment 315504
Alleluya!!The Construction of the 10 billion (about Sh22 trillion) Bagamoyo Port has been suspended, The Citizen has learnt. The government wants to focus instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Mtwara and Dar es Salaam ports.
The Minister for Works, Transport and Communications, Prof. Makame Mbarawa, confirmed yesterday that the construction of what would be the largest port in Africa has been suspended, not shelved to pave way for upgrading berths 13 and 14 as well as developing the Mtwara Port depending on the availability of Funds. The activities would take years to complete, the minister said because the process has to start from finding funding.
Source: THE CITIZEN
View attachment 315504