naomy56
Member
- Apr 19, 2021
- 15
- 9
Hii ni account mpya haina ata lisaa limoja toka nimefunguaKama ulikuwa na akaunti zamani basi ime expire(fungua nyingine)..au unakosea password
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni account mpya haina ata lisaa limoja toka nimefunguaKama ulikuwa na akaunti zamani basi ime expire(fungua nyingine)..au unakosea password
Uki add shule unarudi tena kwenye machaguo upya una add mpaka shule tano ndo una saveMsaada tafadhari: hivi unaruhusiwa kuchagua shule ngapi maana kwenye sytem naona inaruhusu shule moja
Sorry ingawaje nawewe unatafuta mwongozo lakini wewe huko mbele zaidiMsaada Kwneye MACHAGUO YA MUOMBAJI hapafanyi kazi
View attachment 1779636
Unakosea passwordHii ni account mpya haina ata lisaa limoja toka nimefungua
DuhUnakosea password
Nifate inbox tutete kidogo ndgNiliyemfanyia kafanikiwa
Vipi Hiki kitu kipo pia kwenye upande wa Afya ?Above all,
Unaombwa uzoefu wa kufundisha,na unao kwelikweli.
Unaulizwa ulifundisha shule gani na hauna pa kuzipata isipokuwa Kuna shule tayari wameziorodhesha.
Kwa bahati mbaya hizo shule ni chache tu katika halmashauri.
Which means hizo ndizo shule ambapo walimu fulani walikuwa wanajitolea.
Kingine hata ukiiona shule uliyowahi kujitolea,unaombwa barua ya kuruhusiwa kufundisha.
Which means kuna walimu wameshapewa na barua za kuruhusiwa kufundisha.
Mimi na wewe tunapoteza muda tu.
Yaani janja-janja tu.
Hujafanikiwa ?Alie fanikisha kujisajili afya jmn, nimekwama kipengele cha NACTE / EQUIVALENT, quote hapa
mkuu umenchekesha ulivyosema et kwao ni nyingi sana .[emoji3][emoji3] (Manaake anapewa nafasi Kama 4 alaf anaambiwa chagua pakwenda[emoji3][emoji3][emoji3]Wenye connection kali ndo mda wao huuu sasa, hizi kwao ni nyingi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wametaka pia wa english,history na geograph bachelor ila utaajiriwa kufundisha primary
Ndio, kwenye upande wa afya nimekutana nayo hiyo. Niko TANGA mjini, sasa hawaniletei orodha ya hospitals ambazo ziko TANGA mjini.Vipi Hiki kitu kipo pia kwenye upande wa Afya ?
Anayejua?
Hapawezi fanya kazi mpk uupload barua ya maombi mkuuMsaada Kwneye MACHAGUO YA MUOMBAJI hapafanyi kazi
View attachment 1779636
Upload barua kwanzaMsaada Kwneye MACHAGUO YA MUOMBAJI hapafanyi kazi
View attachment 1779636
Barua inaandikwa nyingine au naweza kutumia yamwanzo?Up
Upload barua kwanza
Yaap tena unabembelezwa pa kwenda unambiwa tukupangie wizarani unasema hapana, unaulizwa Muhimbili, unasema hapana, mpaka kesho yake ndo unatoa majibumkuu umenchekesha ulivyosema et kwao ni nyingi sana .[emoji3][emoji3] (Manaake anapewa nafasi Kama 4 alaf anaambiwa chagua pakwenda[emoji3][emoji3][emoji3]
Ukweli mchungu.Above all,
Unaombwa uzoefu wa kufundisha,na unao kwelikweli.
Unaulizwa ulifundisha shule gani na hauna pa kuzipata isipokuwa Kuna shule tayari wameziorodhesha.
Kwa bahati mbaya hizo shule ni chache tu katika halmashauri.
Which means hizo ndizo shule ambapo walimu fulani walikuwa wanajitolea.
Kingine hata ukiiona shule uliyowahi kujitolea,unaombwa barua ya kuruhusiwa kufundisha.
Which means kuna walimu wameshapewa na barua za kuruhusiwa kufundisha.
Mimi na wewe tunapoteza muda tu.
Yaani janja-janja tu.
Bora kumbe na Marehemu yeye alikuwa wazi tu.
R.I.P JPM.
Poa poa ngoja niwe natest nione itakuajeNiliyemfanyia kafanikiwa
Hili ni tatizo ata kwanguNa tunafanyeje ili iwe sahihi, maana inajirudisha nyuma
Sio wewe tu ni woteNani anakutana na huu ujumbe wakati wa kuapply please tusaidianeView attachment 1779477View attachment 1779477