Serikali yatangaza awamu ya pili ya ajira 5000 za Walimu

Serikali yatangaza awamu ya pili ya ajira 5000 za Walimu

Hauna ushahidi unakweza kuuweka hapa?
Tetesi sio lazima iwe na ushahidi wa moja kwa moja ila kama ule uzi ungendelea kuwepo hewani ukweli wote ungejulikana kwa sababu watu wangefunguka kila kitu. Alafu kama ni uongo si tamisemi wangekuja kukanusha? Wao kwanini waufute?
 
Tetesi sio lazima iwe na ushahidi wa moja kwa moja ila kama ule uzi ungendelea kuwepo hewani ukweli wote ungejulikana kwa sababu watu wangefunguka kila kitu. Alafu kama ni uongo si tamisemi wangekuja kukanusha? Wao kwanini waufute?
Ndiyo tatizo la tetesi kwamba hazina ushahidi na wengi wanazusha tu ili kujaribu kupata ukweli fulani au kuwapanikisha watu wanaosubiri hizo kazi

Nawashauri watu wa humu mnaosubiria kazi zozote, msiwaamini Sana Hawa watu wanaosema rafiki yangu kapewa ajira au mtu fulani ninayemfahamu kapewa barua ' pasipokuwa na ushahidi unaoeleweka'.
Mara nyingi Hawa watu wanakuwa na lengo la kuwapanikisha au kutaka watu wanaojua chochote kuhusu hizo kazi kuleta habari hizo hapa.
 
Sasa wakitumia database si makosa kama yale ya mwaka jana yatajirudia tena?
Yatajirudia vp na taarfa zte wanazo kwny database na wana command tu, uliofanyika awal n uzembe tu jina moja litajirudia vp kla page na kuna ma IT. hakuna jipya la kutuma maomb upya ikiwa taarfa zte wanazo za walimu
 
hawawezi kutoa majina mapya ilihali waliopangiwa mwanzo mpk sasa hawajalipwa stahiki zao fedha za kujikimu na mshahara kwa halmashauri nyingi
 
hawawezi kutoa majina mapya ilihali waliopangiwa mwanzo mpk sasa hawajalipwa stahiki zao fedha za kujikimu na mshahara kwa halmashauri nyingi
Malipo ya mishahara awamu ya kwanza inahusiana vp na batch 2 kuchelewa!!?? Adi kunatolewa kibal cha ajira elf 13 c tayar kuna fungu limetengwa
 
hawawezi kutoa majina mapya ilihali waliopangiwa mwanzo mpk sasa hawajalipwa stahiki zao fedha za kujikimu na mshahara kwa halmashauri nyingi
Sahihi kabisa...Siasa zinagubika mambo mengi ya kitaaluma
 
Hivi majuzi ukiwa bungeni ulisema mmeajiri walimu 5000 wiki mbili zilizokuwa zimepita.

Tunachoomba uwaambie Watanzania kuwa mmezitangaza lini hizo ajira na majina ya walimu waliopangiwa shule yako wapi?

Tunaomba sana na sisi maskini mtuheshimu, kwani daima Mungu wetu hupigania zaidi maskini.

Tunaomba mtoe majibu haraka ili Hasira ya Mungu mwenye haki isije kuwalamba.
 
Mna vichwa vigumu Sana , PM kasema zishatoka more than two weeks sasa na watu wamepangiwa vituo au hukuelewa lugha aliyotumia mpak aongee kipare ??!

 
Watuweke hayo majina kwenye website zao waliyowapangia kwenye awamu ya pili. Ili je ni kweli au siyo kweli. Hatuna hiyana na kusambazwa but tuwekewe tu hayo majina, furaha yetu tuone hayo majina🤣🤣🤣
 
Watuweke hayo majina kwenye website zao waliyowapangia kwenye awamu ya pili. Ili je ni kweli au siyo kweli. Hatuna hiyana na kusambazwa but tuwekewe tu hayo majina, furaha yetu tuone hayo majina🤣🤣🤣
We hujielewi kweli.... Nenda kalime njegere
 
Back
Top Bottom