Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanavyopenda Front page wangeshatoa hayo majina haraka sana.Ukiona kimya ujue ni changa la macho hilo,hakuna cha ajira 5000 wala nini!Viongozi wangu ningewaomba tuongeze ufanisi katika kufanya kazi tulizoaminiwa kuchukulia poa suala kama la ajira kwa vijana ni sawa na kucheza na maisha ya baadhi ya watu ambao wengi wao ndio hao wanyonge tunaojipambanua kuwapigania
Walimu wana mshahara mdogo hivyo serikali inamudu kuwalipaHivi wanaotakiwa kuajiriwa nchi hii ni walimu tu, maana kuna idara nyingi kuna upungufu mkubwa wa watumishi lakini kila kukicha ni siasa za ajira za walimu........
Acha uongo ww hakuna mtu aliyepangiwa hvi kwa serikali hii ya mbwembwe tangu lini ikafanya inshu kama hizo bila wandishi wa habari.Mna vichwa vigumu Sana , PM kasema zishatoka more than two weeks sasa na watu wamepangiwa vituo au hukuelewa lugha aliyotumia mpak aongee kipare ??!
View attachment 1702364
Kabsa mkuuWanavyopenda Front page wangeshatoa hayo majina haraka sana.Ukiona kimya ujue ni changa la macho hilo,hakuna cha ajira 5000 wala nini!
Tuamini la kwako kama Hsia au la Prime minister kama official report ?? Kilichopo ni kwamba ajira 5000 zishatoka na amesema zitatangazwa zingine kulingana na bajeti na uhitaji. No comment, no compromise hutaki anadamanaAcha uongo ww hakuna mtu aliyepangiwa hvi kwa serikali hii ya mbwembwe tangu lini ikafanya inshu kama hizo bila wandishi wa habari.
Pambana kuhubiri uongoTuamini la kwako kama Hsia au la Prime minister kama official report ?? Kilichopo ni kwamba ajira 5000 zishatoka na amesema zitatangazwa zingine kulingana na bajeti na uhitaji .... No comment, no compromis
Mbali na Disadvantage nyingi za uwalimu pia kuna advantage zake na hii nimoja ya advantage yake So usishobokee dundo kwenye faida.Hivi wanaotakiwa kuajiriwa nchi hii ni walimu tu, maana kuna idara nyingi kuna upungufu mkubwa wa watumishi lakini kila kukicha ni siasa za ajira za walimu........
CCM haijawahi kuheshimu masikiniHivi majuzi ukiwa bungeni ulisema mmeajiri walimu 5000 wiki mbili zilizokuwa zimepita..
Acha roho mbaya na walimu wewe.Hivi wanaotakiwa kuajiriwa nchi hii ni walimu tu, maana kuna idara nyingi kuna upungufu mkubwa wa watumishi lakini kila kukicha ni siasa za ajira za walimu........
Nimeipenda sana hii concept yako.Mbali na Disadvantage nyingi za uwalimu pia kuna advantage zake na hii nimoja ya advantage yake So usishobokee dundo kwenye faida.
Walichukua toka kwenye maombi Yale Yale ya ajira 13000, sa hv usitegemee watakwambia tuma maombi🤣 kupitia sjui wap wap ...now wanachomoa kimya kimya Tu toka kwenye Yale maombi ya mwanzo 😋😋Majaliwa nae walitangaza kupitia platform gani hizo ajira hahaha
Things are so different brother,...siasa ni maneno tu, utekelezaji ni mgumu sanaMalipo ya mishahara awamu ya kwanza inahusiana vp na batch 2 kuchelewa!!?? Adi kunatolewa kibal cha ajira elf 13 c tayar kuna fungu limetengwa