Ufafanuzi
Kwanini Tanzania inapanga kununua umeme
kutoka nje ya nchi kwa ajili ya Kanda ya
Kaskazini.
1. Umeme uliopo katika Gridi ya Taifa unazalishwa kutoka ukanda wa
Kusini Mashariki na hivyo kulazimika kusafirishwa umbali mrefu
kwenda maeneo mbalimbali nchini hali inayosababisha upotevu
mkubwa wa umeme.
Hivi kutoka Morogoro hadi Kilimanjaro na kutoka Ethiopia hadi Kilimanjaro wapi mbali?
2. Kwa Kanda ya Kaskazini upotevu wa umeme unaosafirishwa ume-
kuwa ukisababisha hasara ya zaidi ya shilingi Bilioni 32 kwa mwaka.
Kwani tunaponunua umeme kutoka nje ya nchi hatuingii gharama kubwa? Na je suala hili na hilo hapo juu si kitu kimoja tu =UPOTEVU WA UMEME/GHARAMA KUBWA?
3. Kutokana na upotevu huo na usafirishaji mrefu wa umeme, Kanda
ya Kaskazini imekuwa ikikabiliwa na changamoto kubwa ya kukatika
kwa umeme mara kwa mara hali ambayo inawaathiri wananchi.
Umeme kukatika hovyo ni tatizo hata Dar es Salaam pale Ubungo na Kinyerezi unapozaliswa umeme wa gesi. Ni tatizo hata kule Morogoro Kidatu na Mtera Dodoma.
4. Ununuzi wa umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya utasaidia kuon-
doa changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara na kuokoa
upotevu mkubwa wa umeme unaokwenda katika kanda hiyo.
Si hayo hayo tayari mmeyazungumzia number 3, 2 na 1 hapo juu???
Idara ya Habari - MAELEZO na
Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali
Maelezo
www.maelezo.go.tz
Share
Export
Rewrite
Kwanini Tanzania inapanga kununua umeme
kutoka nje ya nchi kwa ajili ya Kanda ya
Kaskazini.
1. Umeme uliopo katika Gridi ya Taifa unazalishwa kutoka ukanda wa
Kusini Mashariki na hivyo kulazimika kusafirishwa umbali mrefu
kwenda maeneo mbalimbali nchini hali inayosababisha upotevu
mkubwa wa umeme.
Hivi kutoka Morogoro hadi Kilimanjaro na kutoka Ethiopia hadi Kilimanjaro wapi mbali?
2. Kwa Kanda ya Kaskazini upotevu wa umeme unaosafirishwa ume-
kuwa ukisababisha hasara ya zaidi ya shilingi Bilioni 32 kwa mwaka.
Kwani tunaponunua umeme kutoka nje ya nchi hatuingii gharama kubwa? Na je suala hili na hilo hapo juu si kitu kimoja tu =UPOTEVU WA UMEME/GHARAMA KUBWA?
3. Kutokana na upotevu huo na usafirishaji mrefu wa umeme, Kanda
ya Kaskazini imekuwa ikikabiliwa na changamoto kubwa ya kukatika
kwa umeme mara kwa mara hali ambayo inawaathiri wananchi.
Umeme kukatika hovyo ni tatizo hata Dar es Salaam pale Ubungo na Kinyerezi unapozaliswa umeme wa gesi. Ni tatizo hata kule Morogoro Kidatu na Mtera Dodoma.
4. Ununuzi wa umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya utasaidia kuon-
doa changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara na kuokoa
upotevu mkubwa wa umeme unaokwenda katika kanda hiyo.
Si hayo hayo tayari mmeyazungumzia number 3, 2 na 1 hapo juu???
Idara ya Habari - MAELEZO na
Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali
Maelezo
www.maelezo.go.tz
Share
Export
Rewrite