Serikali yatoa ufafanuzi wa akiba ya Fedha za Kigeni, makosa yalifanyika

Serikali yatoa ufafanuzi wa akiba ya Fedha za Kigeni, makosa yalifanyika

Ni jambo jema marekebisho yamefanyika . dola milioni 6253 ni akiba kubwa kuliko miaka ya nyuma inamaanisha uchumi umekuwa .
 
Ikulu imetoa ufafanuzi ni kuwa akiba iliyopo ni dola za kimarekani milion 6253 na sio dola bilion 6253.

Ni vizuri kusahihisha makosa, Ila mjitahidi yasiweze kujirudia tena kwenye hotuba za Raisi na nashauri kabla ya raisi kwenda hewani pitieni hotuba zaidi hata ya mara 5 ili kujiridhisha hakuna makosa.

Ufafanuzi ni uungwana

View attachment 2066244

Pia soma: Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende
Sijui ni uchovu?
Sijui ni kuwa na mambo mengi?
Sijui ni kupitiwa?
Sijui ni makosa ya kawaida ya kibinadamu?
Ama pengine ni kupotoshwa kwa makusudi..
 
Kuna yule jamaa yenu jana, nadhani Mr BonT alisema, wakati akidhani anarekebisha kosa fulani hapa JF, kwamba ^hajakosea^ bali ^ame-overlook!^
Naona unakuja kwa speed sana!!1 Nilikutaka utaje wapi nili-span, uikashindwa kutaja na nikaamua kuachana na wewe!! Usi-force mjadala na mtu ambae alishakupuuza!!
 
Naona unakuja kwa speed sana!!1 Nilikutaka utaje wapi nili-span, uikashindwa kutaja na nikaamua kuachana na wewe!! Usi-force mjadala na mtu ambae alishakupuuza!!
Mimi mwenyewe nilishakuona mpuuzi kwa sababu unakwepa mjadala ukidai eti nakupotezea muda. Wi-Fi unayoiba ofisini kwenu nakuungia mie? Watch out!
 
Back
Top Bottom