Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Ndiyo shida ya uchaguzi wa 2020, akili ndogo iliyojaa jengoni na hazina Dodoma ndiyo imetufikisha hapaWakati mnapeleka muswada bungeni kwani mliunda kamati ya kufanya upembuzi yakinifu kuhusu tozo? Sasa mnaunda kamati ya kazi gani wakati tayari mnazo evidence za kutosha kabisa kwamba wananchi hawataki tozo maana ni mzigo kwao!
Kuna evidence gani zaidi ya hii?👇
View attachment 2355488
Mategemeo yalikuwa kupata trilioni 1.25 lakini iliyopatikana ni bilioni 360 tuu. Hakuna evidence nzuri kama hii, hiyo kamati italeta majibu ya kisiasa tuu kama yale ya Twaweza..
HATUTAKI TOZO.