Kama kichwa cha habari ... nina maswali juu wa uwakilishi wa wabunge wetu. Je kweli wanaisaidia serikali kwa kuishauri vizuri?
Wanapopitia upya tozo zinasimama kwanza au mwendo ni kasi Ile Ile?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kichwa cha habari ... nina maswali juu wa uwakilishi wa wabunge wetu. Je kweli wanaisaidia serikali kwa kuishauri vizuri?
Toka lini mbumbumbu akauliza swali darasani.., kama siyo kipiga usingiz na makofi.Kama kichwa cha habari, nina maswali juu wa uwakilishi wa wabunge wetu.
Je kweli wanaisaidia serikali kwa kuishauri vizuri?
Niliwaambieni, mwangalieni huyu hapa Njia mbadala ya kufidia tozoHalafu kuna mijitu, TOZO zikifutwa utaisikia ikisema SERIKALI YETU NI SIKIVU..! Unaweza Dhani TOZO zimeletwa na Serikali nyingine.