Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya Magufuli ayo magazeti hayakuwah kufunguwa huko nyuma? Unakumbuka gazeti lililo kamtajabaliemteka Dkt Ulimboka enzi za Jakaya? Liliachwa?Asante mama umeonesha kujali human rights kwa vitendo. Hivi jpm angekuwa bado anaongoza hata kwenda chooni kunya so tungekuwa tunaomba ruhusa serikalini! Mana udictator ulikuwa umeota mizizi.
Mi naona mama anatufuta machozi Sana. Hakiyamungu juzi Nape alipo yafungua magazeti Yale nilililia kwa furaha na kumshukuru mungu kwa kifo Cha jpm Mana ametuondolea laana!!!
JPM hawezi kuisha midomoni mwa wadhalimu lazima wataje na kukejeli jina lake na uongozi wake.kwasababu hiziAsante mama umeonesha kujali human rights kwa vitendo. Hivi jpm angekuwa bado anaongoza hata kwenda chooni kunya so tungekuwa tunaomba ruhusa serikalini! Mana udictator ulikuwa umeota mizizi.
Mi naona mama anatufuta machozi Sana. Hakiyamungu juzi Nape alipo yafungua magazeti Yale nilililia kwa furaha na kumshukuru mungu kwa kifo Cha jpm Mana ametuondolea laana!!!
Kwa sasa magazeti yanajifunga menyewe, hakuna biasharaAsante mama umeonesha kujali human rights kwa vitendo. Hivi jpm angekuwa bado anaongoza hata kwenda chooni kunya so tungekuwa tunaomba ruhusa serikalini! Mana udictator ulikuwa umeota mizizi.
Mi naona mama anatufuta machozi Sana. Hakiyamungu juzi Nape alipo yafungua magazeti Yale nilililia kwa furaha na kumshukuru mungu kwa kifo Cha jpm Mana ametuondolea laana!!!
Jpma mwenyewe alikuwa mpigaji. Sema aliwabana wafanyabiashara na akabaki anajinufaisha yeye tu wauaji wenzie akina makonda. Nani mwenye ushahidi kuwa walikuwa ni wapiga fili. Kwani jpm alikuwa mahakama ya kumuona mtu ni mpiga dili. Au jpm ndiyo mahakama yenyewe. Shida yako ni akiri finyu tuJPM hawezi kuisha midomoni mwa wadhalimu lazima wataje na kukejeli jina lake na uongozi wake.kwasababu hizi
1) Alikwapua pesa za mafisadi waliopata pesa kwa ujanjaujanja na akazifanyia maendeleo
2) Alidhibiti vikundi vya kigaidi vilivyojipanga kuudhoofisha utawala wake huko kibiti,ruaha mbuyuni na mtwara na aliwashughulikia kweikweli
3)Aliwatumbua makanjanja waliokuwa maofisini na vyeti feki
4) Alibana mitandao ya wapiga dili na biashara zao zilisambaratika na wakawa hoi kiuchumi na mapapa waliisha mjini
5) Aliwatoa mandumila kiwili ndani ya chama na serikali wakawa benchi wanarandaranda hawana cha kufanya
Mwisho alijijengea heshima kimataifa especially Africa akawa Icon kwa upande wa maendeleo Eg SGR,bwawa la nyerere,ikulu chamwino,ununuzi wa ndege,ujenzi hospital ngazi ya Taifa hadi kata,mashule pamoja na madawati na Mapambano dhidi ya corona ambapo alisema tutaidhi nao kama magonjwa mengine tusiogope na hakika kwa sasa tunaishi nao kama alivyosema.
Kwasasa wapinzani wake hoja hawana wamebaki kumkejeli na kumtukana na kutafuta cheap popularity kama
1) kufunguliwa magazeti ambapo hata kabla ya JPM kuna magazeti yalifungiwa kama mwanahalisi hakuna jipya
2)wamachinga walifukuzwa na sasa wanaitwa na kupewa mitaji
3)wanafungua miradi iliyoazishwa na JPM hakuna jipya
Kwa haya lazima wateseke na kulitaja jina la JPM milele na mzimu wa JPM utawatesa sanaa kaawachia kazi kubwa sana ambayo inawatesa na wameshindwa kuvumilia na kuongea hadharani
Kama walikuwa wapiga fili mbona kila kesi ikienda mahakaninserikali unapigwa mweleka. Sema alikuwa mkurupukaji tu ndo Mana mama alipoingia mahakani kesi za jpm zote za kuwabambika watu hazina ushahidi amezifutq zote eg rugemalila na mwenzake. Alitutia hadara ya kukamata meli kisa akili yake finyu.JPM hawezi kuisha midomoni mwa wadhalimu lazima wataje na kukejeli jina lake na uongozi wake.kwasababu hizi
1) Alikwapua pesa za mafisadi waliopata pesa kwa ujanjaujanja na akazifanyia maendeleo
2) Alidhibiti vikundi vya kigaidi vilivyojipanga kuudhoofisha utawala wake huko kibiti,ruaha mbuyuni na mtwara na aliwashughulikia kweikweli
3)Aliwatumbua makanjanja waliokuwa maofisini na vyeti feki
4) Alibana mitandao ya wapiga dili na biashara zao zilisambaratika na wakawa hoi kiuchumi na mapapa waliisha mjini
5) Aliwatoa mandumila kiwili ndani ya chama na serikali wakawa benchi wanarandaranda hawana cha kufanya
Mwisho alijijengea heshima kimataifa especially Africa akawa Icon kwa upande wa maendeleo Eg SGR,bwawa la nyerere,ikulu chamwino,ununuzi wa ndege,ujenzi hospital ngazi ya Taifa hadi kata,mashule pamoja na madawati na Mapambano dhidi ya corona ambapo alisema tutaidhi nao kama magonjwa mengine tusiogope na hakika kwa sasa tunaishi nao kama alivyosema.
Kwasasa wapinzani wake hoja hawana wamebaki kumkejeli na kumtukana na kutafuta cheap popularity kama
1) kufunguliwa magazeti ambapo hata kabla ya JPM kuna magazeti yalifungiwa kama mwanahalisi hakuna jipya
2)wamachinga walifukuzwa na sasa wanaitwa na kupewa mitaji
3)wanafungua miradi iliyoazishwa na JPM hakuna jipya
Kwa haya lazima wateseke na kulitaja jina la JPM milele na mzimu wa JPM utawatesa sanaa kaawachia kazi kubwa sana ambayo inawatesa na wameshindwa kuvumilia na kuongea hadharani
Ukifa matendo yako yanaambatana na wewe hayafi ng'oo kasome vizur maandiko. Usiwapangie watu kumkumbuka mwenda motoni kwa matendo yake aliyo yafanya mwenyewe bila kulazimishwa na mtu na kwa hiari yake mwenyewe. Mwenzie Mzee wa Lupaso alikiri kufanya makosa huo ndio utu lakini yeye akajifanya kujiita jiwe. Na hilo jiwe hatulioni mpaka Sasa tuache kiburi Cha Madaraka na kiburi Cha uzima.Mtu keshakufa kaoza lakini bado unateseka.
Labda vijijini ndo wananunua magazeti ukiwa na Jamii forum ni gazeti tosha.Mjomba Magu alikuwa hana simile labda inatokana na historia yake huko nyuma.
Lakini magazeti yalifungiwa kwa sheria tulizotunga bungeni na watu wale wale walioyafungua leo.Sheria ziangaliwe upya kwanza.
Pammoja na kuyafungulia,biashara ya kuuza magezeti imedolola sana.Kubenea kasema wanahitaji serikali iwawezeshe.
True matendo yako ukufuata.Pili huwezi tenda makosa ya kimakusudi tena ya kujirudia kwa kiburi tu huku ukionywa na viongozi wa dini wanaokutakia mema wakiwa kama wajumbe wa Mwenyezi Mungu wewe unashupaza shingo kwa kuwakamata,kuwabambika kesi,kuwatukana kuwananga.Halafu Mungu akusamehe.Kila mwanadamu uchagua upande aupendao kuwa akimaliza siku zake.Ukifa matendo yako yanaambatana na wewe hayafi ng'oo kasome vizur maandiko. Usiwapangie watu kumkumbuka mwenda motoni kwa matendo yake aliyo yafanya mwenyewe bila kulazimishwa na mtu na kwa hiari yake mwenyewe. Mwenzie Mzee wa Lupaso alikiri kufanya makosa huo ndio utu lakini yeye akajifanya kujiita jiwe. Na hilo jiwe hatulioni mpaka Sasa tuache kiburi Cha Madaraka na kiburi Cha uzima.
JPM alikuwa mwoga, mwizi na MWONGO hivyo basi asingeweza ku survive na vyombo huru vya habari.Wanajua jamaa alikuwa mshenzi sana Ila wanataka kuedit hiyo sehemu na hatusahau ukatili wake huyu dikteta uchwara. Cheki hapo anatafuna mahindi Kama ngedere
Asante mama umeonesha kujali human rights kwa vitendo. Hivi jpm angekuwa bado anaongoza hata kwenda chooni kunya so tungekuwa tunaomba ruhusa serikalini! Mana udictator ulikuwa umeota mizizi.
Mi naona mama anatufuta machozi Sana. Hakiyamungu juzi Nape alipo yafungua magazeti Yale nilililia kwa furaha na kumshukuru mungu kwa kifo Cha jpm Mana ametuondolea laana!!!
Kwa hiyo kanini ni kumsifia rais au siyoFungía fungía ya magazeti hasa MwanaHalisi na Raí haijaanza utawala wa Magufuli bali tangu enzi za Kikwete,,, yalikuwa yakifungiwa kila mara pale yanapokiuka kanuni na sheria
Enzi za Jakaya ilifika hatua mpaka bw Said Kubenea mhariri wa gazeti la MwanaHalisi kumwagiwa tindikali ikapelekea ulemavu wa macho
Enzi za The Late BW Mkapa, Jenerali Ulimwengu nae enzi hizo akiandikia gazeti Rai alishaliponza gazeti hili likafungiwa na yeye akajikuta hatiani mikononi mwa dola kwa tuhuma za kwamba si raia wa Tz
Kwahyo chombo chochote cha habari kikikiuka kanuni na sheria basi hufungiwa,, media ni industry kubwa na nyeti ikitumiwa ndivyo sivyo huweza kuhatarisha amani na usalama wa nchi
Sindano inauma eehh wacha ikuingie mazima, sasa inaonekana kwa alivyokuwa yule ma dokta sio rahisi kumwambia ana dedi inaelekea walisubiri dk ya mwisho kabisaaaaaaaa ye mwenyewe aone aah hii sasa bye bye mwiteni padri yule niliyemyang'anya paspoti mrudishieni passort yake halafu aje aniongoze sala ya Toba.Hizi mada za Magufuli Magufuli mumuache Apumzike basi hatupo naye
Hawezi jibu chochote
kingine Hatamkimchukia haita wasaidia kitu Hayupo
Ulevi wa madaraka.Asante mama umeonesha kujali human rights kwa vitendo. Hivi jpm angekuwa bado anaongoza hata kwenda chooni kunya so tungekuwa tunaomba ruhusa serikalini! Mana udictator ulikuwa umeota mizizi.
Mi naona mama anatufuta machozi Sana. Hakiyamungu juzi Nape alipo yafungua magazeti Yale nilililia kwa furaha na kumshukuru mungu kwa kifo Cha jpm Mana ametuondolea laana!!!
Uhuru lilifungiwa kipindi hili hiki cha Raisi Samia mleta mada hill unasemajeAngeyafunga UHURU na mzalendo pia kichwa chako cha habari kisingekuwa na maana
Hakuna cha kupumzika wala nini! Atapondwa mpaka nasi tutakapo iaga dunia. Watakaobaki wataendelea kumponda. Vizazi kwa vizazi. Ni matunda ya alichopanda yeye mwenyewe.Hizi mada za Magufuli Magufuli mumuache Apumzike basi hatupo naye
Hawezi jibu chochote
kingine Hatamkimchukia haita wasaidia kitu Hayupo
Nani amechukia?? kusema kitu siyo chuki!! wee ndo una chuki ya mfu!! kibinadamu tu. adhabu zooote hizo alizo nazo?? mtu hakuwahi kutubu!!!...richa ya kwenda kanisani....ni wakuonea huruma tu yule,Hizi mada za Magufuli Magufuli mumuache Apumzike basi hatupo naye
Hawezi jibu chochote
kingine Hatamkimchukia haita wasaidia kitu Hayupo