Serikali yayafungulia magazeti ya MwanaHALISI, Tanzania Daima na Mseto

Serikali yayafungulia magazeti ya MwanaHALISI, Tanzania Daima na Mseto

Serikali ya CCM ni takataka kabisa,hakuna sababu ya kuyafungulia hayo magazeti endeleeni kuyafungia tu watu makatili sana nyie,watu walipoteza ajira zao mlipoyafungia na kuwafanya waishi maisha magumu mno,wauaji wakubwa nyie kima [emoji205][emoji205][emoji205].
 
Wayafungulie tu kwani wakisemwa wanakufa? kuambiwa ukweli wakati mwingine kunakusaidia kuona matundu katika nguo yako, ni aibu kubwa sana na mamisaada mengi nchi imenyimwa kutokana na kuruhusu mtu mmoja tu aamue nani aseme na nani asiseme, shame on us, wapige kazi sasa nao wasiingie kwenye mkumbo ule wa mulaga.
Mkuu unadhani CCM huwa wana akili?
Hao ni takataka kabisa
 
Moshi mweupe unaonekana unatokea katika jumba la utawala la Tanzania ikiashiria uongozi mpya na mambo mapya...
10 February 2022
Paris, France

HABARI ZA KUFUGULIWA MAGAZETI NA KESI YA MBOWE YAWA HABARI KUBWA MJINI PARIS, UFARANSA

Serikali ya awamu ya sita ya Tanzania leo alhamisi ya tarehe 10 February 2022 yadai kufungua ukurasa mpya kufuatia kuyafungulia magazeti manne ....

Paris, France

La Tanzanie lève l'interdiction de quatre journaux​

03b917825f831a93d6f90153ec70be202462e1da.jpg

Un vendeur de journaux à Mwanza, en Tanzanie le 19 septembre 2015
afp.com - Daniel Hayduk
10 FÉV 2022

Mise à jour 10.02.2022 à 17:00
AFP
© 2022 AFP

Le gouvernement tanzanien a annoncé jeudi lever l'interdiction de quatre journaux, imposée sous le précédent président John Magufuli, et ouvrir "un nouveau chapitre" avec les médias, la présidente Samia Suluhu Hassan tentant de rompre avec certaines pratiques de son autoritaire prédécesseur.

Les quatre publications en swahili - parmi lesquels Daima, quotidien propriété du dirigeant de l'opposition emprisonné Freeman Mbowe - ont été interdites entre 2016 et 2020.

"L'intention du gouvernement actuel est de tisser de bonnes relations avec les médias et, pour commencer, je vais réaccorder des licences aux quatre journaux", a déclaré le ministre tanzanien de l'Information Nape Nnauye lors d'une réunion avec des rédacteurs en chef.

"Leur punition a assez duré", a-t-il ajouté.Le ministre a expliqué que la présidente Hassan désirait créer "un environnement propice aux médias". "Elle m'a demandé de rencontrer les journalistes, d'échanger nos points de vue et d'écouter vos inquiétudes".

Les autorités tanzaniennes avaient révoqué la licence de publication et de distribution de Daima juste avant les élections générales de 2020, l'accusant d'avoir enfreint la loi et la déontologie journalistique, sans préciser le contenu incriminé.
Mwanahalisi, un hebdomadaire, avait été interdit en 2017 après avoir publié la lettre d'un lecteur contenant des "insultes" à l'égard du président Magufuli et son gouvernement.

Mawio et Mseto, deux autres hebdomadaires, avaient vu leurs licences suspendues en 2016 après avoir tous deux abordés le sujet de la corruption au sommet de l'Etat.
Depuis qu'elle a succédé au président Magufuli, décédé soudainement en mars 2021 et dont elle était la vice-présidente, Mme Hassan tente de rompre avec certaines politiques de son prédécesseur, surnommé "Bulldozer" pour son style de gouvernement intransigeant.
Elle a tendu le bras à l'opposition et autorisé la réouverture de médias interdits sous Magafuli, faisant le voeu de défendre la démocratie et les libertés fondamentales.

Mais l'arrestation en juillet 2021 de M. Mbowe, dirigeant du principal parti d'opposition Chadema, sur des accusations de terrorisme, a douché les espoirs qu'elle tourne réellement la page de la présidence Magufuli.

Son gouvernement a également infligé en 2021 une suspension de deux semaines au journal Uhuru, organe de son propre parti le Chama Cha Mapinduzi, après un article de une affirmant qu'elle envisageait de ne pas se représenter en 2025

Source : La Tanzanie lève l'interdiction de quatre journaux
 

10 February 2022​

Brussels, Belgium​

European Union - African Union summit, 17-18 February 2022​

Agenda highlights​

The leaders of the EU and the African Union (AU) as well as of their respective member states will meet for the sixth European Union - African Union summit in Brussels on 17 and 18 February 2022.
The summit will present a unique opportunity to lay the foundations for a renewed and deeper AU-EU partnership with the highest political involvement and based on trust and a clear understanding of mutual interests. Leaders are expected to discuss how both continents can build greater prosperity. The aim is to launch an ambitious Africa-Europe Investment Package, taking into account global challenges such as climate change and the current health crisis. They should also be talking about tools and solutions to promote stability and security through a renewed peace and security architecture.
A series of thematic roundtables will also be organised. The following topics will be debated:
  • growth financing
  • health systems and vaccine production
  • agriculture and sustainable development
  • education, culture and vocational training, migration and mobility
  • private sector support and economic integration
  • peace, security and governance
  • climate change and energy transition, digital and transport [connectivity and infrastructure]
EU and AU heads of state or government will be participating in the roundtables, together with a selected group of external guests who are experts in their respective fields.
A joint declaration on a joint vision for 2030 is expected to be adopted by the participants

Source : European Union - African Union summit, 17-18 February 2022
 
10 February 2022

Brussels, Belgium

EU Chief unveils US$ 171bn investment plan for Africa

13 hours ago — The EU Commission headquarters in Brussels, Belgium. ... to prepare for a summit between the EU and the African Union on February 17, 2022.

The sixth African Union-European Union summit taking place in mid-February faces a fresh set of challenges as the world emerges from the Covid pandemic.

Traditionally held every three years, the previous summit was in 2017 in Côte d’Ivoire with this sixth summit being postponed due to the pandemic.

The two-day conference in Brussels from February 17 will move forward the debate on vaccine production and licensing, as well as exploring the deepening concerns over debt financing, infrastructure, migration, climate and security in the Sahel.

The African continent has been hard hit by the pandemic, with World Bank figures showing levels of debt in sub-Saharan low to middle-income countries reaching $702 billion in 2020, the highest in a decade.

Recent complaints by Cyril Ramaphosa, South Africa’s president, of ‘vaccine apartheid’, along with similar grievances over Covid travel restrictions by other African leaders, have raised the temperature.

‘Covid is shaping the entire economic and political terrain of African states at the moment and there is a lot of bad blood,’ said Phil Clark, a professor of international politics at the School of Oriental and African Studies in London.

‘They are going to the summit with a fair amount of anger over how Europe has tackled Covid in Africa, and the EU will have their work cut out to move beyond that.’

Key to Europe’s agenda at the conference is Emmanuel Macron, the French president.

His government took over its six-month presidency of the Council of the European Union in January, and Macron himself has recently described EU relations with Africa as ‘a bit tired’.

Macron has long called for a reset or ‘overhaul’ of Europe’s partnership with Africa, announcing as far back as 2017 the end of what had become known as Françafrique, the French strategy of exerting military, political and commercial influence over its former colonies.

Today, Macron says the EU holds a more progressive outlook, instead seeking to establish ‘an ambitious and forward-looking alliance with Africa’ to foster ‘lasting prosperity.’

Last year, Europe announced its Global Gateway initiative, a strategy aimed at mobilizing up to €300 billion in investments around the world by 2027 and intended as a template for how Europe can help underpin a post-Covid recovery.

Europe is no longer the only stakeholder seeking influence and offering assistance to Africa, with China, Russia and others now major players too
Analysts are quick to observe that Europe is no longer the only stakeholder seeking influence and offering assistance to Africa, with China, Russia and others now major players too.

In recent years, for example, the African Union has held summits with the United States, Japan and Turkey, and there are plans for a conference with Russia at the end of 2022. Indeed, Moscow has a growing military footprint on the continent and has been the largest arms exporter to sub-Saharan Africa for the past four years.

Macky Sall, the president of Senegal, takes over as chair of the African Union just before the summit. Aside from Covid, he is expected to be critical of newly proposed European levies on gas exports from the continent.

Under its green energy agenda, the EU intends to place a carbon price on goods from non-EU nations in an effort to incentivize others to meet climate targets. Such a policy would represent a slap in the face for the African Union, which boasts vast reserves.

‘African states used to go to these summits and bite their tongue,’ said Prof Clark. ‘They didn’t pick fights, never brought up colonial histories or issues of reparations because Europe was the only game in town.

‘Now they are on the front foot with a much wider range of partners to choose from. They can say to the Europeans ‘we are not beholden to you any longer’.’
 
EU Chief unveils US$ 171bn investment plan for Africa

13 hours ago — The EU Commission headquarters in Brussels, Belgium. ... to prepare for a summit between the EU and the African Union on February 17, 2022

Haya mabilioni toka EU imefanya serikali iwe makini na matendo yake, sije tukakosa mgao huo uliotangazwa na Umoja wa Ulaya EU kwa nchi za bara la Africa wa kiasi cha dolari za Kimarekani 171 bilioni.
 
Kuna watu niliwamiss saaana kwa makala zao ambazo unasoma bila kuachia hadi mwisho, kuna zile taarifa za kipelelezi ulikuwa ni utamu mtupu; Nyaronyo Kicheere, Joster Mwangulumbi, Saed Kubenea, Majid Mjengwa, Chahali etc na sometime baba lao TUNDU ANTIPAS MUNG' WAI LISSU ni mwendo vitasa, angalau nitaanza kusoma magazet.
Kuna makala ya Mwalimu mkuu wa watu Tanzania daima.

Ulikuwa upuuzi wa hali ya juu sana. Kuyafungia magazeti pendwa na unaliacha jamvi la habari likiwa linatukana watu na heshima zao.

Mungu fundi sana
 
Kweli kabisa mkuu,nilisitisha kabisa kununua magazeti!Lakini sasa nitanunua.Maana yale wasiyopenda yaandikwe yataandikwa.Tunataka kujua ukweli au hata kuona mtu/chombo kinahoji juu ya mambo magumu kama Nani alimpiga risasi Tundu,nini kilitokea juu ya miili ya watu waliokuwa wanaokotwa baharini/mitoni?Ni kweli inspector Swila anaumwa? Ilikuwaje "covid 19" wakaingia bungeni? Vyombo vya habari vya kawaida vimeshindwa kuhoji mambo haya
Yaani mkuu haya magazeti yatahoji uchafuzi mkuu 2020, na hizo chaguzi zijazo. Tunajua CCM wamezoea vya kunyonga, na baada ya Utawala wa Magufuli, ndio kabisaaa hawajui kuchinja. Haya Magazeti yatawaumbua, na sitoshangaa yakifungiwa tena
 
Asante mama umeonesha kujali human rights kwa vitendo. Hivi JPM angekuwa bado anaongoza hata kwenda chooni kun** so tungekuwa tunaomba ruhusa serikalini! Maana udictator ulikuwa umeota mizizi.

Mi naona mama anatufuta machozi sana. Hakiyamungu juzi Nape alipoyafungua magazeti yale nilililia kwa furaha na kumshukuru Mungu, maana ametuondolea laana!!!
 
Asante mama umeonesha kujali human rights kwa vitendo. Hivi jpm angekuwa bado anaongoza hata kwenda chooni kunya so tungekuwa tunaomba ruhusa serikalini! Mana udictator ulikuwa umeota mizizi.


Mi naona mama anatufuta machozi Sana. Hakiyamungu juzi Nape alipo yafungua magazeti Yale nilililia kwa furaha na kumshukuru mungu kwa kifo Cha jpm Mana ametuondolea laana!!!


Kuwa muwazi; Ni unamshukuru Mungu kwa kifo cha binadamu mwenzako au unamshukuru Mungu kwa kukuondolea "laana"??!!
 
Asante mama umeonesha kujali human rights kwa vitendo. Hivi jpm angekuwa bado anaongoza hata kwenda chooni kunya so tungekuwa tunaomba ruhusa serikalini! Mana udictator ulikuwa umeota mizizi.


Mi naona mama anatufuta machozi Sana. Hakiyamungu juzi Nape alipo yafungua magazeti Yale nilililia kwa furaha na kumshukuru mungu kwa kifo Cha jpm Mana ametuondolea laana!!!
Nape kwenye hotuba yake wakati anatangaza kufungulia magazeti alisema "enzi Ile sio enzi hii na tunafanya utaratibu wa kubadili sheria" binafsi nilimuelewa tu.
 
Siasa zina mambo mengi kila linalotokea tumia sana akili narudia tena tumia sana akili.
 
Back
Top Bottom