Serikali yayafungulia magazeti ya MwanaHALISI, Tanzania Daima na Mseto

Serikali yayafungulia magazeti ya MwanaHALISI, Tanzania Daima na Mseto



Waziri wa Habari na Mawasiliano ya Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, leo Alhamisi amesema atatoa leseni za kuanza kuchapishwa kwa magazeti ya MwanaHALISI, Tanzania Daima, Mseto na Mawio “Kifungo kimetosha. Kikubwa kazi iendelee,” amesema Nape.

"Agizo la Rais ni Sheria,leo nitatoa leseni kwa Mwanahalisi,Mawio,Mseto,Tanzania Daima ambayo yalikuwa yamefungiwa, tuanze kwa kufungua ukurasa mpya Ili tumalize kabisa jambo hili,kifungo kimetosha " Amesema Waziri Nape

======

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Leseni zitatolewa kwa Magazeti manne yaliyokuwa yamefungiwa. Magazeti hayo ni Mwanahalisi, Mawio, Mseto na Tanzania Daima

Ameeleza hayo Jijini Dar es Salaam leo Februari 10, 2022 katika Kikao na Wahariri wa Vyombo vya Habari na kusema, "Kifungo kimetosha"

Aidha, amesema Serikali inalenga kuboresha mahusiano kati yake na akieleza, "Rais ameelekeza kupitiwa #Sheria, Sera, Kanuni na Taratibu zinazosimamia Sekta ya Habari na kuona namna ya kuzifanya ziwe rafiki na sio kikwazo katika shughuli za Wanahabari"

Amesema Serikali itatumia Bussra kuhakikisha mambo yanaenda sawa, na kwamba nia ya Serikali ya Awamu ya Sita ni njema hivyo watengeneze mahusiano na maridhiano mazuri, pia washikamane kwa pamoja

Ameongeza, "Najua tulipotoka, wakati mwingine safari ya mabadiliko sio rahisi na inaweza kuchukua muda. Inapochukua muda haimaanishi safari imesimama maana ni rahisi kutuhumiana kutosonga mbele. Wakati mwingine unasafiri unakwenda unakutana na jiwe, ukikutana na jiwe using'ang'anie kulipasua, rudi hatua moja nyuma nenda kushoto au kulia unaenda mbele. Ukirudi hatua moja haimaanishi umeamua kuacha safari, bali unatafuta njia nzuri ya kuendelea na safari"

Zaidi, soma:

- Gazeti la MwanaHALISI lafungiwa kwa miaka miwili, wahukumiwa kwa kuandika habari za uzushi kuhusu Mwakyembe na Makinikia

- Serikali yasitisha leseni ya kuchapisha na kusambaza Gazeti la Tanzania Daima kuanzia Juni 24, 2020

- Serikali yalifungia gazeti la MSETO kwa miaka 3 kwa kuandika habari likitumia nyaraka za kugushi


- Gazeti la Mawio lafungiwa kwa miezi 24 kwa kosa la kuwahusisha Mkapa na Kikwete sakata la madini
Mbona kama hao wote vifunga vilishakwisha
 


Waziri wa Habari na Mawasiliano ya Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, leo Alhamisi amesema atatoa leseni za kuanza kuchapishwa kwa magazeti ya MwanaHALISI, Tanzania Daima, Mseto na Mawio “Kifungo kimetosha. Kikubwa kazi iendelee,” amesema Nape.

"Agizo la Rais ni Sheria,leo nitatoa leseni kwa Mwanahalisi,Mawio,Mseto,Tanzania Daima ambayo yalikuwa yamefungiwa, tuanze kwa kufungua ukurasa mpya Ili tumalize kabisa jambo hili,kifungo kimetosha " Amesema Waziri Nape

======

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Leseni zitatolewa kwa Magazeti manne yaliyokuwa yamefungiwa. Magazeti hayo ni Mwanahalisi, Mawio, Mseto na Tanzania Daima

Ameeleza hayo Jijini Dar es Salaam leo Februari 10, 2022 katika Kikao na Wahariri wa Vyombo vya Habari na kusema, "Kifungo kimetosha"

Aidha, amesema Serikali inalenga kuboresha mahusiano kati yake na akieleza, "Rais ameelekeza kupitiwa #Sheria, Sera, Kanuni na Taratibu zinazosimamia Sekta ya Habari na kuona namna ya kuzifanya ziwe rafiki na sio kikwazo katika shughuli za Wanahabari"

Amesema Serikali itatumia Bussra kuhakikisha mambo yanaenda sawa, na kwamba nia ya Serikali ya Awamu ya Sita ni njema hivyo watengeneze mahusiano na maridhiano mazuri, pia washikamane kwa pamoja

Ameongeza, "Najua tulipotoka, wakati mwingine safari ya mabadiliko sio rahisi na inaweza kuchukua muda. Inapochukua muda haimaanishi safari imesimama maana ni rahisi kutuhumiana kutosonga mbele. Wakati mwingine unasafiri unakwenda unakutana na jiwe, ukikutana na jiwe using'ang'anie kulipasua, rudi hatua moja nyuma nenda kushoto au kulia unaenda mbele. Ukirudi hatua moja haimaanishi umeamua kuacha safari, bali unatafuta njia nzuri ya kuendelea na safari"

Zaidi, soma:

- Gazeti la MwanaHALISI lafungiwa kwa miaka miwili, wahukumiwa kwa kuandika habari za uzushi kuhusu Mwakyembe na Makinikia

- Serikali yasitisha leseni ya kuchapisha na kusambaza Gazeti la Tanzania Daima kuanzia Juni 24, 2020

- Serikali yalifungia gazeti la MSETO kwa miaka 3 kwa kuandika habari likitumia nyaraka za kugushi


- Gazeti la Mawio lafungiwa kwa miezi 24 kwa kosa la kuwahusisha Mkapa na Kikwete sakata la madini
Jamani channel zilizoongezwa mbona kwangu sizioni?Kuna masharti kabla ya kuzipata
 
Ameongeza, "Najua tulipotoka, wakati mwingine safari ya mabadiliko sio rahisi na inaweza kuchukua muda. Inapochukua muda haimaanishi safari imesimama maana ni rahisi kutuhumiana kutosonga mbele. Wakati mwingine unasafiri unakwenda unakutana na jiwe, ukikutana na jiwe using'ang'anie kulipasua, rudi hatua moja nyuma nenda kushoto au kulia unaenda mbele. Ukirudi hatua moja haimaanishi umeamua kuacha safari, bali unatafuta njia nzuri ya kuendelea na safari"

Moshi mweupe unaonekana unatokea katika jumba la utawala la Tanzania ikiashiria uongozi mpya na mambo mapya !
1644495188387.png
White smoke has emerged from the chimney atop the Sistine Chapel at the Vatican, signaling that the cardinals have elected Jorge Mario Bergoglio—a 76-year-old Argentine and archbishop of Buenos Aires—as the new pope. Bergoglio will now be known as Pope Francis.14 Mar 2013
Kweli awamu ya jiwe ilikuwa nyingine. Awamu hii musafishe makosa yote ya awamu ya tano, tuanze upya.

Je ishara hii ya kuyatoa 'vifungoni' ni mwanzo wa jambo kubwa jingine kufanywa na awamu hii ya sita ktk miezi michache ijayo

Toka maktaba: Meza ya Muuza maGazeti ilisheheni makala kibao za Tanzania Daima gazeti pendwa

1644494976506.png
 
Nape has to touch it lightly. Some of the CCM die-hard are not happy. They may make the move short living.
Nakubaliana na wewe kwani wapo walioanza kutoa vitisho kwa baadi ya vyombo mapema mno katika ofisi zao mupya🤔.
 
Kuna watu niliwamiss saaana kwa makala zao ambazo unasoma bila kuachia hadi mwisho, kuna zile taarifa za kipelelezi ulikuwa ni utamu mtupu; Nyaronyo Kicheere, Joster Mwangulumbi, Saed Kubenea, Majid Mjengwa, Chahali etc na sometime baba lao TUNDU ANTIPAS MUNG' WAI LISSU ni mwendo vitasa, angalau nitaanza kusoma magazet.
Mh Lissu ni hazina ya taifa letu, Mungu ambariki saan
 
Mama yetu kaenda France na Beligiam lazima iwe hivo ili kuweka image nzuri kimataifa,pamoja na hivo tunashukuru Sana kwa Sababu ni hatua nzuri.
 
Wanaukumbi

"Agizo la Rais ni Sheria,leo nitatoa leseni kwa Mwanahalisi,Mawio,Mseto,Tanzania Daima ambayo yalikuwa yamefungiwa, tuanze kwa kufungua ukurasa mpya Ili tumalize kabisa jambo hili,kifungo kimetosha "Waziri Nape akizungumza na wahariri wa vyombo vya Habari
 
TITLE YA KWANZA YA TANZANIA DAIMA

1. Shaidi wa serikali kesi ya Mbowe akimbia kizimbani

2. Mashaidi wa kesi ya kubumba watoka nduki mahakamani

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa hii amri ya Rais ambayo huwa sheria isi ishie kwenye magazeti tu.

Iende na mahabusu namahakamani. Maana aliagiza pia kesi za mchongo zifutwe, walioko mahabusu kwa kusingiziwa waachiwe, na zile kesi ambazo ina onekana serikali haita shindazifutwe.

Hawa wenye viburi wafuate mfano wa Nape.

Igp, Dpp, Dci, Jaji mkuu, nanyi jitafakarini.
 
Basi Mwanahalisi itaanza na madudu ya Makonda, Tanzania daima itakuwa inaweka yaliyojiri mahakani kesi ya mbowe na kifuatilia ugonjwa wa afande Swila

Kwa kuchapisha kesi ya mbowe watatupata wengi kwani hapo hamna namna
 
Back
Top Bottom