Sexless: Ukiona mchumba wako anaumwa sana wakati wa hedhi basi ujue-katumika sana, katumia sana Vidonge vya kuzuia mimba ama amechoropoa sana

Uliwahi kuwa mwanamke au unasema tu.

Kanishangaza aisee

Kabla hata sijajua kujamiina nilikua naumwa mpak nazimia

Baadae ikapungua na baada ya kuzaa maumivu yakaisha kabisa
 
Lete wako mchele tumlinganishe. Mm msomi wa udaktari na nimesomea ng'ambo
Ng'ambo is not everything, nahisi hata taaluma yenyewe ndiyo umeanza kuoractice...... maumivu wakati wa hedhi not necessarily reflects mtu kutumika SANA KWENYE NGONO.... Mark my words!!!

Nafahamu with VIVID EXAMPLES!!! Wewe vya kusoma na wengine practical, as a WOMAN!!!
 
Liar

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Tangu Rais aheshimishwe kuwa Dr wa Honorary Causa kila mtu anajiita Dr. bila kujali ni MD au kwa heshima
 
Wewe ni Gynaecologist ????? Kama sio basi Ushauri wa Ny......k..o
 
Kataa wahuni
 
Hajaamanisha hivo, wanawake karibia wote wanaumwa tumbo wakiwa kwenye siku zao,, huyu kasema unakuta mwanamke anaumwa mpaka hajielewi yan wengine mpaka wanalazwa ndo anaowazungumzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…