Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,223
- 1,992
😂😂😂tena karaha yenyewe inahusisha pesa yake mwenyeweWasichokijua wabongo ni watu wasiopenda shida na karaha kwenye maisha yao regardless na hali zao za kiuchumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂tena karaha yenyewe inahusisha pesa yake mwenyeweWasichokijua wabongo ni watu wasiopenda shida na karaha kwenye maisha yao regardless na hali zao za kiuchumi
Muda ni hukumu mzuri.Umasikini ni matokeo ya jamii kuzidiwa na negative energy.
Umasikini ni matokeo ya fikra na sio mazingira.
Mazingira hayamfanyi mtu kuwa masikini bali fikra.
Wapuuzi hawaKwa garama hizo si naenda kupanda Abood kwa 12,000/- alafu mwanangu nambeba?.
Kwa garama izi wabinafsishe tu maana hawajielewiMkurugenzi mkuu wa TRC ndg Kadogosa alikuwa akiongea na kamati ya bunge walipotembelea mradi huo na kusema "Kuhusu mchakato wa nauli, sisi TRC tumemaliza sehemu yetu ambapo tumewasilisha kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu (LATRA) kila kinachohitajika."
View attachment 2948956
Alisema wanaelewa kuwa LATRA tayari imeshafanya vikao na wadau wa Dar es Salaam na Dodoma.
"Tunaamini kwamba kabla ya kuanza kazi Julai mwaka huu, tutakuwa tayari tumetangaza nauli," Kadogosa aliongeza.
LATRA imepewa jukumu la kudhibiti sekta ya usafiri wa nchi kavu, haswa usafiri wa barabara, reli, na waya. Ina mamlaka ya kukagua na kuweka viwango na malipo.
Kando na hayo, pia inawaidhinisha madereva wa treni na wafanyakazi wa treni. Mwaka 2022 LATRA iliwaalika wadau wa sekta ya reli na wananchi kwenye mkutano wa kujadili mapendekezo ya nauli kwa kuzingatia nauli za abiria kwa treni ya SGR kutoka Dar es Salaam-Morogoro-Dodoma-Bahi kwa ombi la TRC.
Nauli zilizopendekezwa na TRC kutoka Dar es Salaam-Morogoro zilikuwa kwa darasa la tatu 24,794/- kwa mtu mzima, na 12,397/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12.
Kwa Daraja la Uchumi, njia hiyo hiyo ilikuwa 29,752/- kwa mtu mzima na 14,876/- kwa watoto. Kwa darasa la tatu kutoka Dar es Salaam-Dodoma 59,494/- kwa mtu mzima na 29,747/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Darasa la Uchumi 71,392/- kwa mtu mzima na 35,696/- kwa watoto.
Kwa njia ya Dar es Salaam-Pugu, daraja la tatu 4,694/- kwa mtu mzima na 2,347/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Walipendekeza 5,632/- kwa kila mtu mzima na 2,816/- kwa watoto ambao wangependelea kutumia darasa la uchumi kwa njia sawa.
Mwenyekiti wa Bodi ya TRC, Ally Karavina, alieleza kuwa ana imani na majaribio yanayoendelea na alisema treni hizo zitaanza kufanya kazi Julai mosi kama ilivyoagizwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Jamaa wanaangalia jinsi ya kupiga mpaka nauli ya mtoto mchanga, akilisifuri kweliWakati Udart anatafuta mwekezaji wa mwendo Kasi nadhani na hii kabla haijaanza wakabidhiwe watu wenye akili kutoka nje ndio waendeshe huu mradi.
Sisi tunachoweza ni kupiga domo la Simba na Yanga tu.
Ingekuwa watu wangekuwa na mawazo kama wewe kusingekuwa na ndege wala wapanda ndegeKwa garama hizo si naenda kupanda Abood kwa 12,000/- alafu mwanangu nambeba?.
Tena Abood hazikai stand, kila baada ya nusu Saa linaondoka bus lijae lisijae.Kwa garama hizo si naenda kupanda Abood kwa 12,000/- alafu mwanangu nambeba?.
Sipo hukoMuda ni hukumu mzuri.
Ila nachojua hakuna Uvccm mwenye akili timamu ukiwemo na wewe.
Watu wenye akili walileta Fastjet Dar Mwanza return ticket 120,000/= wapuuzi wakaja kuhujumu na kuwafukuza.Ingekuwa watu wangekuwa na mawazo kama wewe kusingekuwa na ndege wala wapanda ndege
Msiwatonye watuzuia mabasi kwenda DarKwa garama hizo si naenda kupanda Abood kwa 12,000/- alafu mwanangu nambeba?.
Wenye mabasi walishafanya yaoMkurugenzi mkuu wa TRC ndg Kadogosa alikuwa akiongea na kamati ya bunge walipotembelea mradi huo na kusema "Kuhusu mchakato wa nauli, sisi TRC tumemaliza sehemu yetu ambapo tumewasilisha kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu (LATRA) kila kinachohitajika."
View attachment 2948956
Alisema wanaelewa kuwa LATRA tayari imeshafanya vikao na wadau wa Dar es Salaam na Dodoma.
"Tunaamini kwamba kabla ya kuanza kazi Julai mwaka huu, tutakuwa tayari tumetangaza nauli," Kadogosa aliongeza.
LATRA imepewa jukumu la kudhibiti sekta ya usafiri wa nchi kavu, haswa usafiri wa barabara, reli, na waya. Ina mamlaka ya kukagua na kuweka viwango na malipo.
Kando na hayo, pia inawaidhinisha madereva wa treni na wafanyakazi wa treni. Mwaka 2022 LATRA iliwaalika wadau wa sekta ya reli na wananchi kwenye mkutano wa kujadili mapendekezo ya nauli kwa kuzingatia nauli za abiria kwa treni ya SGR kutoka Dar es Salaam-Morogoro-Dodoma-Bahi kwa ombi la TRC.
Nauli zilizopendekezwa na TRC kutoka Dar es Salaam-Morogoro zilikuwa kwa darasa la tatu 24,794/- kwa mtu mzima, na 12,397/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12.
Kwa Daraja la Uchumi, njia hiyo hiyo ilikuwa 29,752/- kwa mtu mzima na 14,876/- kwa watoto. Kwa darasa la tatu kutoka Dar es Salaam-Dodoma 59,494/- kwa mtu mzima na 29,747/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Darasa la Uchumi 71,392/- kwa mtu mzima na 35,696/- kwa watoto.
Kwa njia ya Dar es Salaam-Pugu, daraja la tatu 4,694/- kwa mtu mzima na 2,347/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Walipendekeza 5,632/- kwa kila mtu mzima na 2,816/- kwa watoto ambao wangependelea kutumia darasa la uchumi kwa njia sawa.
Mwenyekiti wa Bodi ya TRC, Ally Karavina, alieleza kuwa ana imani na majaribio yanayoendelea na alisema treni hizo zitaanza kufanya kazi Julai mosi kama ilivyoagizwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Afu muda wenyewe unalingana na wa abood tuKwa garama hizo si naenda kupanda Abood kwa 12,000/- alafu mwanangu nambeba?.
Watapanda wenyewe.Tulionya huko nyuma wakikosea kidogo tu "could be white elephant project" ila ndiyo inaenda kuwa.