Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Si walisema walitumia umeme wa laki tatu tu Dar-Moro! Bei hizo zinatoka wapi? Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kwa usafiri wa Treni kuwa ghali kuliko wa basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Treni si kwa àjili ya kila mtu, ni kama ilivyo ndegeKwa garama hizo si naenda kupanda Abood kwa 12,000/- alafu mwanangu nambeba?.
Aboud itumie masaa mawili hadi Morogoro unaota kiwango cha chini ikijitahidi masaa sitaAfu muda wenyewe unalingana na wa abood tu
Za ndege zinapanda na madeni maradufu, kweli gharama za tren ndo ziwe nafuu kwa uendeshaji?Dunia nzima usafiri wa train ni rahisi kuliko usafiri wowote na sababu ziko wazi kwakuwa train inabeba watu wengi na mizigo mingi inapunguza gharama za uendeshaji, sasa ni lazima waweke bei chini ya usafiri wa ndege au magari hii itachochea sana wingi wa abiria na mizigo na hata parcels ndogo ndogo waweke utaratibu wa mzuri watabeba soko lote wafanye wepesi bila urasimu yaani service bora kuliko waliopo. Itasaidia kuwa na train kwa siku hata mara 4 na kila trip zikiwa nyingi gharama za operation zinashuka. Wasiliuwe shirika kama walivyofanya reli ya kati na Tazara.
Na akati hizo hizo train ndo za bei nafuu kwa nchi zilizoendelea?Treni si kwa àjili ya kila mtu, ni kama ilivyo ndege
Haiwezi kufa maana si kila mtu anapenda foleni,Nakazi Wazi
SGR Itakufa Kibudu Tunaiona Mchana Kweupe
Sielewi hayo madarasa uchumi na tatu wanamaanisha niniNauli zilizopendekezwa na TRC kutoka Dar es Salaam-Morogoro zilikuwa kwa darasa la tatu 24,794/- kwa mtu mzima, na 12,397/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12.
Kwa Daraja la Uchumi, njia hiyo hiyo ilikuwa 29,752/- kwa mtu mzima na 14,876/- kwa watoto. Kwa darasa la tatu kutoka Dar es Salaam-Dodoma 59,494/- kwa mtu mzima na 29,747/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Darasa la Uchumi 71,392/- kwa mtu mzima na 35,696/- kwa watoto.
Kwa njia ya Dar es Salaam-Pugu, daraja la tatu 4,694/- kwa mtu mzima na 2,347/- kwa watoto kati ya umri wa miaka 4-12. Walipendekeza 5,632/- kwa kila mtu mzima na 2,816/- kwa watoto ambao wangependelea kutumia darasa la uchumi kwa njia sawa.
Mwenyekiti wa Bodi ya TRC, Ally Karavina, alieleza kuwa ana imani na majaribio yanayoendelea na alisema treni hizo zitaanza kufanya kazi Julai mosi kama ilivyoagizwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Nenda nchi zilizoendeleaNa akati hizo hizo train ndo za bei nafuu kwa nchi zilizoendelea?
Kwamba tril 23 hazipaswi rudi?Si walisema walitumia umeme wa laki tatu tu Dar-Moro! Bei hizo zinatoka wapi? Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kwa usafiri wa Treni kuwa ghali kuliko wa basi.
Kwa akili za wale matapeli wanaojiita manabii, "nazoom naona wafanyabiashara wa mabasi, nawaona wameweka msisitizo nauli ya treni iwe juu kuliko mabasi"Kwa garama izi wabinafsishe tu maana hawajielewi
Haya ndo yanasababisha hata viongozi wanaopewa dhamana kula pesa na kuacha wananchi wanahangaika kwa vitu vidogo ambavyo serikali ilitakiwa iwatimizie kama hizi social service, inamaana huoni kuna haja ya mwananchi kuounguziwa gharama za usafiri? Unaona ni haki kabisaTafuta hela uache makasiriko, masikini hawana chao cha haraka
PoleNenda nchi zilizoendelea
Huyo mwerarbeu ndio maarab ama sijakupata?Kwa akili za wale matapeli wanaojiita manabii, "nazoom naona wafanyabiashara wa mabasi, nawaonw wameweka msisitizo nauli ya treni iwe juu kuliko mabasi"
"... kisha mbele kidogo naona mzigo kwa serikali kuendesha mradi huu utakuwa mkubwa na garama zitakuwa kubwa, hivyo naona CAG akitoa taarifa za hasara kupitia SGR, ndipo roho mchafu anayetawala sasa anasema mradi ubinafsishwe haraka sana kwa mwerarbeu"
ata mwendokasi wakati inaanza tulisema hatupandi sababu ya nauli maana tulishazoea nauli ya daladala, lakini sasa ivi tunagombania,Wapuuzi hawa
Kungekuwa na garama reasonable fare ya ndege kama fast jet sidhani kama ndege ingeondoka to Mwanza na abilia 40 au kuhairishwa au kubadilishwa kwa safari.Ingekuwa watu wangekuwa na mawazo kama wewe kusingekuwa na ndege wala wapanda ndege
Angalia status ,wakileta favor ni maumivu .Kwa garama hizo si naenda kupanda Abood kwa 12,000/- alafu mwanangu nambeba?.