SGR Mchakato wa Nauli ndiyo huu hapa, mtoto hadi Moro kulipa Tshs 12,400

Upuuzi....

Hii kitu first and farmost ingekuwa Huduma kwa wasafiri... ukifanya transportation ya watu kutoka point A mpaka B kutaongeza uzalishaji lakini hawa wapuuzi wana mentality ya yule aliyeua Golden Goose ili achukue mayai yote ya dhahabu badala ya kusubiri yai moja kwa siku
 
Kwa garama izi wabinafsishe tu maana hawajielewi
 
Wabongo hatujui kufuatilia vitu ila tunajua kucomment tu,
Hizo nauli za TRC zitafyekwa almost half na Latra, hata wenye mabus wanapelekaga nauli za kiwaki sana Latra ila huwa zinakatwa almost half,
So kuweni na subra tu
 
Wenye mabasi walishafanya yao
Ni Magufuli pekee ndio angekataa huu ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…