Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi TU huyu!Mwambie na yeye akipewa ubunge anawaza idadi ya mabasi
Mkuu hivi unaweza kuwaonea aibu watanzania ambao ni mithili ya robot?watanzania hawahawa ambao serikali inajenga choo cha shule halafu wanafurahi mpaka wanalia?watanzania hawahawa ambao kila raisi anaekuja wanaambiwa ni chaguo la Mungu?..Shabiby anazungumza utadhani nchi yetu ni mali ya Raisi.
..kinachosikitisha na kutia aibu ametoa kauli hizo ktk mkutano wa hadhara.
asee nikiwaza jamaa anavyoisema nacheka sana😂😂😂😂😂😂My Lord, I wonder.
Hoi bin taaban?Matukio
Bashite alisema atawataja mawaziri waomuhujumu raisi
Mama amewatengua akina January na nape
Bashite Yuko south Africa hoi bin taabani
Nuu mtiririko wa matukio vepe??
Naomba kuuliza, hivi watu kama kina Shabiby miaka nenda rudi huwa ni wabunge, je, wao huwa hawautaki uwaziri au hawana vigezo?Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby amesema “Ubaya wenu nyie mawaziri mkishapewa Uwaziri mnajiona mnaweza kuwa Rais, naacha kazi za Uwaziri mnaanza mipango ya kuwa mtakuwaje Rais, mnasahau aliyekuteua amefanya hivyo ili ufanye kazi zake akupende, umtumikie yeye.”
Amesema hayo katika mkutano na Wananchi Wilayani Gairo wakati wa ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.
Tunayetakiwa kumtumikia wa kwanza ni Rais halafu wanakuja watu wengine, lakini mnajisahau, kuna mawaziri nawajua, wameshamaliza vikao vyote wamebakiza Mabalozi wa nyumba 10.
Usicheze na mtu aliyeshika mpini, aliyeshika mpini ni Rais ambaye ndiye huyohuyo Mwenyekiti wa Chama.
View attachment 3051075
Huyu jamaa mpumbafu na mjinga sanaKumbe hawawatumikii wananchi?
CCM haipo kwa ajili ya kuwatumikia Wananchi.Kumbe hawawatumikii wananchi?
tulia ulambe dawaHuyu nae ni mlopokaji, hata hana access ya kujua kinachoeendelea
Subiri utafikiwa, keki ni kubwa😁Sio wakwanza kuwatumikia ni Wananchi? Kumbe kuna matajiri machawa?
Ama kweli kumekucha jmnMbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby amesema “Ubaya wenu nyie mawaziri mkishapewa Uwaziri mnajiona mnaweza kuwa Rais, naacha kazi za Uwaziri mnaanza mipango ya kuwa mtakuwaje Rais, mnasahau aliyekuteua amefanya hivyo ili ufanye kazi zake akupende, umtumikie yeye.”
Amesema hayo katika mkutano na Wananchi Wilayani Gairo wakati wa ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.
Tunayetakiwa kumtumikia wa kwanza ni Rais halafu wanakuja watu wengine, lakini mnajisahau, kuna mawaziri nawajua, wameshamaliza vikao vyote wamebakiza Mabalozi wa nyumba 10.
Usicheze na mtu aliyeshika mpini, aliyeshika mpini ni Rais ambaye ndiye huyohuyo Mwenyekiti wa Chama.
View attachment 3051075
Yupo sahihivoice of samia
Mbona km Iko hivi🙄Sasa we January makamba jidai umeumia sana kuvuliwa uwaziri uende ukaifufue ile account yako ya kigogo2014 uanze kumtukana Rais