Pre GE2025 Shabiby: Mkipewa Uwaziri mnaanza kuweka mipango ya kuwa Rais

Pre GE2025 Shabiby: Mkipewa Uwaziri mnaanza kuweka mipango ya kuwa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Za Ndani Kabisa Hizo - Hamkani Hali Si Shwari Ndani Ya Chama Dola Kongwe CCM, Wanakanyagana In JPM Voice !
 
Cha kwanza sio kosa kutaka kiti Cha bosi kama inawezekana kupatikana Kwa amani. Ukiona bosi anaweweseka jua hakimtoshi. Kama njia ni haramu kuna Sheria.
 
Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby amesema “Ubaya wenu nyie mawaziri mkishapewa Uwaziri mnajiona mnaweza kuwa Rais, naacha kazi za Uwaziri mnaanza mipango ya kuwa mtakuwaje Rais, mnasahau aliyekuteua amefanya hivyo ili ufanye kazi zake akupende, umtumikie yeye.”

Amesema hayo katika mkutano na Wananchi Wilayani Gairo wakati wa ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.

Tunayetakiwa kumtumikia wa kwanza ni Rais halafu wanakuja watu wengine, lakini mnajisahau, kuna mawaziri nawajua, wameshamaliza vikao vyote wamebakiza Mabalozi wa nyumba 10.

Usicheze na mtu aliyeshika mpini, aliyeshika mpini ni Rais ambaye ndiye huyohuyo Mwenyekiti wa Chama.

View attachment 3051075
huyo ana akili tu ya biashara, hanaga uwezo wa kutoa hoja.
 
Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby amesema “Ubaya wenu nyie mawaziri mkishapewa Uwaziri mnajiona mnaweza kuwa Rais, naacha kazi za Uwaziri mnaanza mipango ya kuwa mtakuwaje Rais, mnasahau aliyekuteua amefanya hivyo ili ufanye kazi zake akupende, umtumikie yeye.”

Amesema hayo katika mkutano na Wananchi Wilayani Gairo wakati wa ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.

Tunayetakiwa kumtumikia wa kwanza ni Rais halafu wanakuja watu wengine, lakini mnajisahau, kuna mawaziri nawajua, wameshamaliza vikao vyote wamebakiza Mabalozi wa nyumba 10.

Usicheze na mtu aliyeshika mpini, aliyeshika mpini ni Rais ambaye ndiye huyohuyo Mwenyekiti wa Chama.

View attachment 3051075
Matajiri nao kumbe wambea jamaa anapita na upepo
 
Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby amesema “Ubaya wenu nyie mawaziri mkishapewa Uwaziri mnajiona mnaweza kuwa Rais, naacha kazi za Uwaziri mnaanza mipango ya kuwa mtakuwaje Rais, mnasahau aliyekuteua amefanya hivyo ili ufanye kazi zake akupende, umtumikie yeye.”

Amesema hayo katika mkutano na Wananchi Wilayani Gairo wakati wa ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.

Tunayetakiwa kumtumikia wa kwanza ni Rais halafu wanakuja watu wengine, lakini mnajisahau, kuna mawaziri nawajua, wameshamaliza vikao vyote wamebakiza Mabalozi wa nyumba 10.

Usicheze na mtu aliyeshika mpini, aliyeshika mpini ni Rais ambaye ndiye huyohuyo Mwenyekiti wa Chama.

View attachment 3051075
Hatari sn
Kumbe haya mambo ni serious
 
Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby amesema “Ubaya wenu nyie mawaziri mkishapewa Uwaziri mnajiona mnaweza kuwa Rais, naacha kazi za Uwaziri mnaanza mipango ya kuwa mtakuwaje Rais, mnasahau aliyekuteua amefanya hivyo ili ufanye kazi zake akupende, umtumikie yeye.”

Amesema hayo katika mkutano na Wananchi Wilayani Gairo wakati wa ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.

Tunayetakiwa kumtumikia wa kwanza ni Rais halafu wanakuja watu wengine, lakini mnajisahau, kuna mawaziri nawajua, wameshamaliza vikao vyote wamebakiza Mabalozi wa nyumba 10.

Usicheze na mtu aliyeshika mpini, aliyeshika mpini ni Rais ambaye ndiye huyohuyo Mwenyekiti wa Chama.

View attachment 3051075
Ujumbe umfikie Makamba kwani umetumwa kwake moja kwa moja.

Uchekibobu mahali pake ni nje kabisa ya ofisi nyeti ya serikali.
 
Wanamchukulia mama poa. Ngoja waendelee kuisoma namba. Watapigwa hadi wachakae. Wasipokuwa makini, wengine hata ubunge wanaweza kukosa kabisa.
Mama kachafukwa!

Kama vita ni vita mura!

IMG-20240725-WA0012.jpg
 
ukiwa tajiri unajiamini..Amesema ukweli ambao wengi hawawezi kuthubutu kunena..

Vijana walioaminiwa kupewa nafasi kutumikia wananchi wapo busy kujijenga kisiasa na kuiba (Limbikiza mali ) kwa ajili ya Urais..
 
Back
Top Bottom