Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why?Huyu jamaa ataendelea kuwa mbunge wa gairo mpaka afariki hakuna mtu wa kumtoa hapo
Makamba namfahamu sanaMbona km Iko hivi🙄
Rais ndiye mtumishi mkuu wa wananchiMsomi/mfanya biashara kama huyu anasema viongozi wanatakiwa kumtumikia rais na sio wananchi???
Uchawa mpaka unakera
Nimeona insta ....Makamba namfahamu sana
huyo ana akili tu ya biashara, hanaga uwezo wa kutoa hoja.Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby amesema “Ubaya wenu nyie mawaziri mkishapewa Uwaziri mnajiona mnaweza kuwa Rais, naacha kazi za Uwaziri mnaanza mipango ya kuwa mtakuwaje Rais, mnasahau aliyekuteua amefanya hivyo ili ufanye kazi zake akupende, umtumikie yeye.”
Amesema hayo katika mkutano na Wananchi Wilayani Gairo wakati wa ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.
Tunayetakiwa kumtumikia wa kwanza ni Rais halafu wanakuja watu wengine, lakini mnajisahau, kuna mawaziri nawajua, wameshamaliza vikao vyote wamebakiza Mabalozi wa nyumba 10.
Usicheze na mtu aliyeshika mpini, aliyeshika mpini ni Rais ambaye ndiye huyohuyo Mwenyekiti wa Chama.
View attachment 3051075
Matajiri nao kumbe wambea jamaa anapita na upepoMbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby amesema “Ubaya wenu nyie mawaziri mkishapewa Uwaziri mnajiona mnaweza kuwa Rais, naacha kazi za Uwaziri mnaanza mipango ya kuwa mtakuwaje Rais, mnasahau aliyekuteua amefanya hivyo ili ufanye kazi zake akupende, umtumikie yeye.”
Amesema hayo katika mkutano na Wananchi Wilayani Gairo wakati wa ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.
Tunayetakiwa kumtumikia wa kwanza ni Rais halafu wanakuja watu wengine, lakini mnajisahau, kuna mawaziri nawajua, wameshamaliza vikao vyote wamebakiza Mabalozi wa nyumba 10.
Usicheze na mtu aliyeshika mpini, aliyeshika mpini ni Rais ambaye ndiye huyohuyo Mwenyekiti wa Chama.
View attachment 3051075
Hatari snMbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby amesema “Ubaya wenu nyie mawaziri mkishapewa Uwaziri mnajiona mnaweza kuwa Rais, naacha kazi za Uwaziri mnaanza mipango ya kuwa mtakuwaje Rais, mnasahau aliyekuteua amefanya hivyo ili ufanye kazi zake akupende, umtumikie yeye.”
Amesema hayo katika mkutano na Wananchi Wilayani Gairo wakati wa ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.
Tunayetakiwa kumtumikia wa kwanza ni Rais halafu wanakuja watu wengine, lakini mnajisahau, kuna mawaziri nawajua, wameshamaliza vikao vyote wamebakiza Mabalozi wa nyumba 10.
Usicheze na mtu aliyeshika mpini, aliyeshika mpini ni Rais ambaye ndiye huyohuyo Mwenyekiti wa Chama.
View attachment 3051075
Ujumbe umfikie Makamba kwani umetumwa kwake moja kwa moja.Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby amesema “Ubaya wenu nyie mawaziri mkishapewa Uwaziri mnajiona mnaweza kuwa Rais, naacha kazi za Uwaziri mnaanza mipango ya kuwa mtakuwaje Rais, mnasahau aliyekuteua amefanya hivyo ili ufanye kazi zake akupende, umtumikie yeye.”
Amesema hayo katika mkutano na Wananchi Wilayani Gairo wakati wa ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.
Tunayetakiwa kumtumikia wa kwanza ni Rais halafu wanakuja watu wengine, lakini mnajisahau, kuna mawaziri nawajua, wameshamaliza vikao vyote wamebakiza Mabalozi wa nyumba 10.
Usicheze na mtu aliyeshika mpini, aliyeshika mpini ni Rais ambaye ndiye huyohuyo Mwenyekiti wa Chama.
View attachment 3051075
Mungu ndiye anayemjua Rais wa Tanzania wa 2030 waache walishane sumu kadri watakavyoweza.Matukio
Bashite alisema atawataja mawaziri waomuhujumu raisi
Mama amewatengua akina January na nape
Bashite Yuko south Africa hoi bin taabani
Nuu mtiririko wa matukio vepe??
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
- Bado aliyepata ajali Dom na kulazwa
- Bado alotuambia tuhamie Burundi
- Bado wa shy alotuambia km hatukupata mkopo basi ss ni wakenya
Mama kachafukwa!Wanamchukulia mama poa. Ngoja waendelee kuisoma namba. Watapigwa hadi wachakae. Wasipokuwa makini, wengine hata ubunge wanaweza kukosa kabisa.
Unamchukulia poa lakini hata SSH alishalisemea hilo kipindi Ndugai anauzulishwa!Huyu nae ni mlopokaji, hata hana access ya kujua kinachoeendelea
Njia Salama ni kukiondosha ccm. Tofauti na hapo usitegemee makubwa kutoka kwenye uzao wa uvccm
- Bado aliyepata ajali Dom na kulazwa
- Bado alotuambia tuhamie Burundi
- Bado wa shy alotuambia km hatukupata mkopo basi ss ni wakenya