Pre GE2025 Shabiby: Mkipewa Uwaziri mnaanza kuweka mipango ya kuwa Rais

Pre GE2025 Shabiby: Mkipewa Uwaziri mnaanza kuweka mipango ya kuwa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
NDio inavyokuwa mkuu na sio unafikiria tuu huku matendo na maneno yako hayaakisi unachokisema.

Kila unachofanya na kukisema basi unatuma taarifa katika subconscious mind yako na kubadilisha kila seli ya mwili wako iamini hivyo...
Hivi umesoma vizuri law of attraction ilivyo au huelewi ipoje? Law of attraction IPO hivi sahizi Mimi nataka let say Million 1 nafocus kwamba nataka mtu fulani anipatie Million 1 bila kuongea nae yule mtu ananipigia Simu ananiambia ananitumia Million 1, ushanielewa?
 
Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby amesema “Ubaya wenu nyie mawaziri mkishapewa Uwaziri mnajiona mnaweza kuwa Rais, naacha kazi za Uwaziri mnaanza mipango ya kuwa mtakuwaje Rais, mnasahau aliyekuteua amefanya hivyo ili ufanye kazi zake akupende, umtumikie yeye.”

Amesema hayo katika mkutano na Wananchi Wilayani Gairo wakati wa ziara ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso.

Tunayetakiwa kumtumikia wa kwanza ni Rais halafu wanakuja watu wengine, lakini mnajisahau, kuna mawaziri nawajua, wameshamaliza vikao vyote wamebakiza Mabalozi wa nyumba 10.

Usicheze na mtu aliyeshika mpini, aliyeshika mpini ni Rais ambaye ndiye huyohuyo Mwenyekiti wa Chama.

View attachment 3051075
Wa kusifiwa ni Mungu pekee kwenye nafasi ya Kwanza! Sio RAIS,hiyo ni Kufuru. acha Uchawa.
 
Moja ya vitu nilivyojifunza katika maisha- ni kutokumchukulia poa bosi (kutokumdharau bosi)-kwa kuwa ndiye aliyeshika mpini wa kisu kwa wakati huo. Haijalishi huyo bosi ni kilaza kiasi gani. Unatakiwa uishi naye kwa akili. Kumwonyesha dharau za wazi au hata za kificho ni hatari kwako wewe uliyeshika makali ya kisu.
Acha woga ww huwa tunadeal nao vizuri tu
 
Shabiby bado hajasema bus zimedodaasss dar dom hapandi mtu.....
Amewehuka sasaa
 
Back
Top Bottom