Pre GE2025 Shabiby: Mkipewa Uwaziri mnaanza kuweka mipango ya kuwa Rais

Pre GE2025 Shabiby: Mkipewa Uwaziri mnaanza kuweka mipango ya kuwa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akiwa Jimboni kwake Gairo Mkoani Morogoro, Mbunge Mheshimiwa Shabibi amewatonya wananchi juu ya mawaziri watumbuliwa.

Akiongea kwa mtindo au style ya kumsifu waziri wa Maji Juma Aweso alisema " Mheshimiwa Aweso wewe ni mchapa kazi Usiye na makuu wa kutamani makubwa, mwenzio mmoja aliyetenguliwa alishaandaa baraza lake la mawaziri , Ma RC, Ma DC, Ma DED na alibakiza nafasi chache za ubalozi" Alisema Waziri Aweso sio mtu wa kujikweza.

Hìi ina maana mmoja wa watumbuliwa alishajiandaa kuwa Rais tutake tusitake.
Aisee!
 
Akiwa Jimboni kwake Gairo Mkoani Morogoro, Mbunge Mheshimiwa Shabibi amewatonya wananchi juu ya mawaziri watumbuliwa.

Akiongea kwa mtindo au style ya kumsifu waziri wa Maji Juma Aweso alisema " Mheshimiwa Aweso wewe ni mchapa kazi Usiye na makuu wa kutamani makubwa, mwenzio mmoja aliyetenguliwa alishaandaa baraza lake la mawaziri , Ma RC, Ma DC, Ma DED na alibakiza nafasi chache za ubalozi" Alisema Waziri Aweso sio mtu wa kujikweza.

Hìi ina maana mmoja wa watumbuliwa alishajiandaa kuwa Rais tutake tusitake.
Mlengwa hapo si mwingine bali kijana wa Yusufu.
 
Akiwa Jimboni kwake Gairo Mkoani Morogoro, Mbunge Mheshimiwa Shabibi amewatonya wananchi juu ya mawaziri watumbuliwa.

Akiongea kwa mtindo au style ya kumsifu waziri wa Maji Juma Aweso alisema " Mheshimiwa Aweso wewe ni mchapa kazi Usiye na makuu wa kutamani makubwa, mwenzio mmoja aliyetenguliwa alishaandaa baraza lake la mawaziri , Ma RC, Ma DC, Ma DED na alibakiza nafasi chache za ubalozi" Alisema Waziri Aweso sio mtu wa kujikweza.

Hìi ina maana mmoja wa watumbuliwa alishajiandaa kuwa Rais tutake tusitake.
SGR imemfanya achnganyikiwe ameanza uchawa kwa mama😀😀
Akae akijua tu jana imesafirisha abiria 900 sawa na mabasi kama yake 17😂
Aanze routy Dar to mpwampwa
 
Ndio uanze na kuwapanga kabisa physically? wakati Ile inakua km unamediteti huko kwenye subconscious mind ndio mambo yanajipanga sio unaonyesha wazi wazi kabla hujawa
NDio inavyokuwa mkuu na sio unafikiria tuu huku matendo na maneno yako hayaakisi unachokisema.

Kila unachofanya na kukisema basi unatuma taarifa katika subconscious mind yako na kubadilisha kila seli ya mwili wako iamini hivyo...
 
fisadi makamba urais wa tanzania ataishia kuusoma kwenye gazeti tu, nchi haiwezi kuongozwa na zwazwa kama fisadi januari, hata Mungu mwenyewe hawezi kuruhusu hilo
 
Ingependeza asaidie mamlaka kuwabaini wote waliopangwa kwenye uongozi wa huyo mtumbuliwa na wote waliopangwa wachunguzwe kama walikuwa wanafahamu ama laa kama walikuwa wanafahamu basi hatua kali za kinidhamu na kimaadili zichukuliwe dhidi yao
Mkuu, na kama wewe ni mmoja wapo ulipangwa kuwa Waziri, hauta lalamika kwa hatua hizo za kisheria zitakazo chukuliwa dhidi yako?
 
Akiwa Jimboni kwake Gairo Mkoani Morogoro, Mbunge Mheshimiwa Shabibi amewatonya wananchi juu ya mawaziri watumbuliwa.

Akiongea kwa mtindo au style ya kumsifu waziri wa Maji Juma Aweso alisema " Mheshimiwa Aweso wewe ni mchapa kazi Usiye na makuu wa kutamani makubwa, mwenzio mmoja aliyetenguliwa alishaandaa baraza lake la mawaziri , Ma RC, Ma DC, Ma DED na alibakiza nafasi chache za ubalozi" Alisema Waziri Aweso sio mtu wa kujikweza.

Hìi ina maana mmoja wa watumbuliwa alishajiandaa kuwa Rais tutake tusitake.
kama makamba alifikia hatua hiyo, basi kuna mengi hatujui.
 
Akiwa Jimboni kwake Gairo Mkoani Morogoro, Mbunge Mheshimiwa Shabibi amewatonya wananchi juu ya mawaziri watumbuliwa.

Akiongea kwa mtindo au style ya kumsifu waziri wa Maji Juma Aweso alisema " Mheshimiwa Aweso wewe ni mchapa kazi Usiye na makuu wa kutamani makubwa, mwenzio mmoja aliyetenguliwa alishaandaa baraza lake la mawaziri , Ma RC, Ma DC, Ma DED na alibakiza nafasi chache za ubalozi" Alisema Waziri Aweso sio mtu wa kujikweza.

Hìi ina maana mmoja wa watumbuliwa alishajiandaa kuwa Rais tutake tusitake.
Kwani hiyo inamnyima nafasi ya kugombea? Labda watoe fomu moja. Akienda TLP wanaweza kumpitisha kuwa mgombea johnthebaptist
 
Back
Top Bottom