Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Akiwa Jimboni kwake Gairo Mkoani Morogoro, Mbunge Mheshimiwa Shabibi amewatonya wananchi juu ya mawaziri watumbuliwa.
Akiongea kwa mtindo au style ya kumsifu waziri wa Maji Juma Aweso alisema " Mheshimiwa Aweso wewe ni mchapa kazi Usiye na makuu wa kutamani makubwa, mwenzio mmoja aliyetenguliwa alishaandaa baraza lake la mawaziri , Ma RC, Ma DC, Ma DED na alibakiza nafasi chache za ubalozi" Alisema Waziri Aweso sio mtu wa kujikweza.
Hìi ina maana mmoja wa watumbuliwa alishajiandaa kuwa Rais tutake tusitake.
Akiongea kwa mtindo au style ya kumsifu waziri wa Maji Juma Aweso alisema " Mheshimiwa Aweso wewe ni mchapa kazi Usiye na makuu wa kutamani makubwa, mwenzio mmoja aliyetenguliwa alishaandaa baraza lake la mawaziri , Ma RC, Ma DC, Ma DED na alibakiza nafasi chache za ubalozi" Alisema Waziri Aweso sio mtu wa kujikweza.
Hìi ina maana mmoja wa watumbuliwa alishajiandaa kuwa Rais tutake tusitake.