Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena saaana kavurugwa maana hayo mabasi yake sasa ayapeleke kilosa🤣🤣🤣Kavurugwa na Treni ya SGR 😂😂
Hakumtaja jinaUnamaanisha February Marope au Nupe Nuuye?
Yeye alisema Kaka zake anawajua waache kumchafua Mama yake wasipoacha atawataja watenguliwe na kweli wamechezea utenguziYupi
Kwenye nchi inayoheshimu misingi ya demokrasia na utawala bora hilo sio kosa, ni utaratibu wa kuweka bidhaa sokoni wanunuzi ndio wanaochagua bidhaa bora ya kununuaAkiwa Jimboni kwake Gairo Mkoani Morogoro, Mbunge Mheshimiwa Shabibi amewatonya wananchi juu ya mawaziri watumbuliwa.
Akiongea kwa mtindo au style ya kumsifu waziri wa Maji Juma Aweso alisema " Mheshimiwa Aweso wewe ni mchapa kazi Usiye na makuu wa kutamani makubwa, mwenzio mmoja aliyetenguliwa alishaandaa baraza lake la mawaziri , Ma RC, Ma DC, Ma DED na alibakiza nafasi chache za ubalozi" Alisema Waziri Aweso sio mtu wa kujikweza.
Hìi ina maana mmoja wa watumbuliwa alishajiandaa kuwa Rais tutake tusitake.
Kwani kutamani urais nchi hii ni kosa? Au jpm hakutaka tu mtu mwelevu alitaka vilaza kama akina makonda ndo wamzungukeJPM hakuwa anaonea mtu
Ingependeza asaidie mamlaka kuwabaini wote waliopangwa kwenye uongozi wa huyo mtumbuliwa na wote waliopangwa wachunguzwe kama walikuwa wanafahamu ama laa kama walikuwa wanafahamu basi hatua kali za kinidhamu na kimaadili zichukuliwe dhidi yao
Sasa kina January ndio siyo vilaza?Kwani kutamani urais nchi hii ni kosa? Au jpm hakutaka tu mtu mwelevu alitaka vilaza kama akina makonda ndo wamzunguke
Mkuu alikuwa anapractice ile law of attraction ili law hiyo ije kumanifest hapo baadae.Kumanufesti kabla hujawa?
Sawasawa, yenyewe. Asante sana.Nadhani hii HII HAPA video husika
Tupate na maoni ya Lucas tafadhali.JPM hakuwa anaonea mtu
Nani wapi na namna gani?Mwenzake kalishwa Sumu
Kwanza bashite alipata div zero form four, january makamba alipata div one form four. Bado unawafananisha tu?Sasa kina January ndio siyo vilaza?
Ndio uanze na kuwapanga kabisa physically? wakati Ile inakua km unamediteti huko kwenye subconscious mind ndio mambo yanajipanga sio unaonyesha wazi wazi kabla hujawaMkuu alikuwa anapractice ile law of attraction ili law hiyo ije kumanifest hapo baadae.
Wataalamu mbalimbali wanasema kwamba ili law of attraction ifanye kazi vizuri ni vyema uka act kama yule mtu ambaye unataka kuwa hapo baadae.
Story ya uongo alijuajeAkiwa Jimboni kwake Gairo Mkoani Morogoro, Mbunge Mheshimiwa Shabibi amewatonya wananchi juu ya mawaziri watumbuliwa.
Akiongea kwa mtindo au style ya kumsifu waziri wa Maji Juma Aweso alisema " Mheshimiwa Aweso wewe ni mchapa kazi Usiye na makuu wa kutamani makubwa, mwenzio mmoja aliyetenguliwa alishaandaa baraza lake la mawaziri , Ma RC, Ma DC, Ma DED na alibakiza nafasi chache za ubalozi" Alisema Waziri Aweso sio mtu wa kujikweza.
Hìi ina maana mmoja wa watumbuliwa alishajiandaa kuwa Rais tutake tusitake.