Tumewapeleka EDA,mitano mtasubiriNusu mbili zimekwisha, rasmi sasa u punga,
Vina unasahihisha, kwa 'scheme' ya kuvunga?
Kama ndiko kujishasha, ni sawia na kudanga!
Buku saba yote kwisha, sasa washindwe wenyewe!
Tumewapeleka EDA,mitano mtasubiri
Mtapoteza makada,mtaionja shuburi
Watahama makamanda,sisi tutawasitiri
Duri na dawiri zari,Tuipambe CCM.
Nani amewaibia,sera zenu ndiyo mbovuMitano yote ya wizi, vya halali mwaviweza?
Kwamba nyie ni mijizi, bado mwajisifu faza?
Kwamba ni majamba-wazi, nini cha kujipongeza?
Shubiri ionjwe vipi, kwetu tunajitolea!
Nani amewaibia,sera zenu ndiyo mbovu
Vurugu kwenu tabia,mnahusudu maovu
Lissu kawaharibia,kwa siasa mbovumbovu
Duri na dawiri zari,tuipambe CCM
Acheni kulalamika,mwende mjitafajari
Msome kuelimika,siasa zisizo shari
Mje mmekamilika,tujenge nchi ya heri
Duri na dawiri zari,tuipambe CCM
Hekima ndiyo karama, Mungu kamtunuku Mbowe.Kila mwananchi aliyefurahishwa na kamati kuu, hebu tupia japo ubeti mmoja hapa kuonyesha furaha yako!
Silabi hazitoshi kwenye kibwagizo "Hongera sana Mbowe, ........." Silabi moja inapungua. Kibadilishe kibwagizo chako kiwe hivi: Hongera sana e Mbowe, wewe ni mtu makini"Ameunguruma Simba, Nchi imetetemeka
Manyang'au yamevimba, Aibu imewashika
Yalijiona miamba, Ile isiyovunjika
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Hawa watu waonevu, Ni watu waso na soni
Matendo yao uovu, Na ghiliba za shetani
Mipango yao mibovu, Kaivunja Freemani
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Nchi imekuwa dampo, La uchafu wa wahuni!
Mambo wayafanya simpo, Kiburi cha Firauni
Wamejifanya madompo, hawamuogopi nani!
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Aibu yetu au yao?, Huu ni msala wao!
Wasaliti wana chao?, Chao ni ujinga wao!
Wameuza utu wao, Kwa uchu tamaa zao!
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Wananchi tunaona, Wananchi tunajua!
Hadaa tumeziona, Inda tunaitambua!
Mambo yao konakona, Akili zao vibua
Hongera sana Mbowe, wewe ni mtu makini!
Wewe umeona wapi, Dhulma ishinde haki?
Kwenye mwanga saa ngapi, Giza likatamalaki?
Maono yao mafupi, Kama yale mafataki.
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Hima sasa wananchi, Kamanda kaweka sawa
Hila zote kazipanchi, mambo sasa sawasawa
Hadaa kapiga tochi, wamebaki kupagawa
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini!
Nchi inasonga mbele,macho yenu makengeza,Acheni kujidanganya, nchi mmeichafua,
T-zedi ilichanganya, Dunia ili tambua,
Itakuwa kudanganya, kwamba tunakua!
Duniani tunanuka, tuna vibaka wa kura!
Silabi hazitoshi kwenye kibwagizo "Hongera sana Mbowe, ........." Silabi moja inapungua. Kibadilishe kibwagizo chako kiwe hivi: Hongera sana e Mbowe, wewe ni mtu makini"
Na mimi pia niliwahi kusoma Kiswahili, lol!
Nchi inasonga mbele,macho yenu makengeza,
Mtaumia milele,vyote mtavipoteza
Tanzania inogile,watakuja kututuza,
Duri na dawiri zari,Tuipambe CCM
Umetisha ile mbaya!! ๐๐๐Mbona kote ni kusonga, wende hasi au chanya?
Kwamba dereva mjinga, si full kujichaganya?
Ajuwe wapi kupanga, sembuse hata kufanya?
Kote kweli ni kusonga, hata kama Wenda hasi!
Umetisha ile mbaya!! ๐๐๐
Sisi tunasonga chanya,nyinyi mnakuja hasiMbona kote ni kusonga, wende hasi au chanya?
Kwamba dereva mjinga, si full kujichaganya?
Ajuwe wapi kupanga, sembuse hata kufanya?
Kote kweli ni kusonga, hata kama Wenda hasi!
Sisi tunasonga chanya,nyinyi mnakuja hasi
Makubwa tunayafanya,tunaenda mwendo kasi,
Si Bukombe si Makanya,kote huko kwetu sisi
Duri na dawiri zari,tuipambe CCM.
Wanawake mashoka unaowaona hapa ni kwasababu walipewa nafasi na CHADEMA hapa sitosema Chama chetu kinakandamiza Wanawake, kina Mfumo Dume, tupo hapa kwasababu tulipewa nafasi, Halima Mdee yupo hapa kwakuwa alijengwa, changamoto zinakuwepo ili zitatuliweโ -Mzee MDEEWanaenda fungua kesi mahakama itazuia kufutwa kwao sababu kesi inasikilizwa na kesi itaenda mpaka 2025 na baada ya hapo wataenda sisiemu, loser ni chadema! Mdee, bulaya, matiko wana influence kubwa sana kwa kina mama, ambao ndio wapigaji kura wakubwa..
Ni Sawa! mtizamo wako but huwezi kutudanganya! Tunataka maendeleo,tunataka AmaniAmeunguruma Simba, Nchi imetetemeka
Manyang'au yamevimba, Aibu imewashika
Yalijiona miamba, Ile isiyovunjika
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Hawa watu waonevu, Ni watu waso na soni
Matendo yao uovu, Na ghiliba za shetani
Mipango yao mibovu, Kaivunja Freemani
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Nchi imekuwa dampo, La uchafu wa wahuni!
Mambo wayafanya simpo, Kiburi cha Firauni
Wamejifanya madompo, hawamuogopi nani!
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Aibu yetu au yao?, Huu ni msala wao!
Wasaliti wana chao?, Chao ni ujinga wao!
Wameuza utu wao, Kwa uchu tamaa zao!
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Wananchi tunaona, Wananchi tunajua!
Hadaa tumeziona, Inda tunaitambua!
Mambo yao konakona, Akili zao vibua
Hongera sana Mbowe, wewe ni mtu makini!
Wewe umeona wapi, Dhulma ishinde haki?
Kwenye mwanga saa ngapi, Giza likatamalaki?
Maono yao mafupi, Kama yale mafataki.
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Hima sasa wananchi, Kamanda kaweka sawa
Hila zote kazipanchi, mambo sasa sawasawa
Hadaa kapiga tochi, wamebaki kupagawa
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini!
Senzighe nyumbani wapi, Chatto au usukuma?
Makubwa hayo ni kupi, Au kwenye lile chama?
Kipaumbele ni kipi, ndege au wakulima?
Haya ya vyuma kukaza, leo ndiyo kusikia?
Kwangu mimi ni Unguja,Nyumbani kwao HusseinSenzighe nyumbani wapi, Chatto au usukuma?
Makubwa hayo ni kupi, Au kwenye lile chama?
Kipaumbele ni kipi, ndege au wakulima?
Haya ya vyuma kukaza, leo ndiyo kusikia?